Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Tatizo kubwa la hizi za kwetu inaonekana wataalam wa kuwamudu zile roho waliisha wakabaki makanjanja. hatari yake ni unaenda na tatzo dogo unarudi umeibuliwa tatzo kubwa sana jipya. ndo hapo unapoteza mwelekeo kwa hofu ya kufa au kuharibikiwa mambo. ikibidi unafilisiwa. hata hawa wahubiri wapigaji wanaiga staili hii ya waganga ya kuanza na kukutisha na hofu ili wakutaftie suluhu. Mimi nimebaki na amri moja tu USICHOTAKA KUFANYIWA USIMFANYIE MTU. Matatizo mengi anajiundia mtu mwenyewe kwa namna anavyotafsiri mambo au anavyoingiziwa mambo akilini(content). kifupi dunia ilishasetiwa tangu uumbaji kuwa nguvu ya kuwa utakavyo i mikonon mwako. majibu mengi unayo mwenyewe. garbage in garbage out!Mimi nimerudia za kwetu...hizo za wayaudi na warumi zimenishinda....zile mbaya sizifwati...ila nzuri