miamiatz
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 505
- 941
Jamaa mmoja alifika sokoni na mchele gunia 180 za kilo mia kila moja.
Akatokea dalali mmoja akaja kama mteja. Wakaanza kupatana bei mpaka ikafika 1700 kwa kilo bei ya jumla.
Dalali akalipa cash 1700x180x100 = 30.6m. Jamaa akachukua mkwanja akasepa.
Dalali akaunadi ule mchele kwa 1800 akapiga 1800x180x100 = 32.4m.
Hapa alinufaika kwa 1.8m.
Ushauri wangu. Kwa wanopeleka mizigo sokoni tuwe wavumilivu. Ukienda na pupa za kuwahi kuondoka utajikuta unauza bei ya hasara afu dalali anapiga ela ndefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akatokea dalali mmoja akaja kama mteja. Wakaanza kupatana bei mpaka ikafika 1700 kwa kilo bei ya jumla.
Dalali akalipa cash 1700x180x100 = 30.6m. Jamaa akachukua mkwanja akasepa.
Dalali akaunadi ule mchele kwa 1800 akapiga 1800x180x100 = 32.4m.
Hapa alinufaika kwa 1.8m.
Ushauri wangu. Kwa wanopeleka mizigo sokoni tuwe wavumilivu. Ukienda na pupa za kuwahi kuondoka utajikuta unauza bei ya hasara afu dalali anapiga ela ndefu.
Sent using Jamii Forums mobile app