sangujoseph
Senior Member
- Nov 30, 2015
- 164
- 183
.
By Sangu Joseph
.
Ebwana ni siku nyingine tena, natimiza ahadi niliyoitoa kwenye Andiko langu lililopita () juu ya maoni yangu namna ambavyo Boss Majizzo huenda akaitumia silaha yake mpya ndani ya EFM na TV- E.
Kabla sijaenda ukiangalia kwa sasa EFM wako Transition period, kuna kundi fulani la mashabiki ambao kwa sasa wamelilenga baada ya lile kundi la Mtaa kuliteka, kiufupi wanalikuza Soko lao.
Kama huamini kasikilize interview ya Kwanza Boss Majizzo alipohojiwa na Bro SkyTanzania alipohojiwa kuhusu kumsajili Jonijo alisema EFM ni ya Waswahili na Waswahili kuna mahali wameifikisha Radio yetu sasa tunataka pale wakipotufikisha twende mbele zaidi.
So kutokea hapo Mimi binafsi nilijua Mswahili Majizzo yuko kwenye Transition period ya kulisaka soko jipya, ndiyo maana unaona mtu kama BDozen anasajiliwa akakidhi viwango vipya ambavyo Waswahili hawa wanataka kuvifikia, kwa mawazo nadhani sio Dozen tu kuna wengine wako njiani wanaokuja kikubwa ni nyakati na subira na kama walichokipanga kitatimia.
Mfano mwingine wa kujua wako kwenye kulisaka soko jipya (Transition Period) ni kuanzishwa kwa kipindi kama #HomaTVE hichi kipindi ukikitazama kiundani kwa muonekano, uwekezaji, aina ya Mtangazaji ni kimelenga watu fulani, wale waswahili wenzake atakutana nao kwenye #MzikiMnene, #ShikaNdinga, #NjeNdani.
.
Turudi kwenye hoja sasa Kwa kua tumekubali EFM na TV - E wako kwenye mabadiliko (Transition Period), sasa huenda yakaenda na mabadiliko ya Program (Ninavyowaza Mimi BDozen huenda akawa Mkuu wa Entertainment pia akapewa kipindi cha masaa 2 au matatu, na akapewa kipindi TV - E)
.
Utaniuliza yaani Sangu iweje BDozen apewe kipindi Efm kwenye muda upi? , maana kote kote kuna watu, Mimi nadhani ataongezwa kwenye #Ladha3600 ya Broh Seleh Jabir na kile kipindi kitaongezwa masaa walau mawili halafu wale wanetu wa #Genge SamioLove na Fido wenyewe watasogezwa mbele ili Mkubwa Twangalla #DozenAmetua atoe tiba ya burudani, lakini pia nadhani Twangalla huenda akapewa kipindi chake pale TV - E kama anavyofanyaga kwenye Dozen Selection.
.
(NB Haya ni mawazo yangu juu watakavyomtumia Twangalla, si uhalisia so Inaweza ikatokea au isitokee)
Andiko hii itakua kwenye YouTube ya Brain Ujazo kesho Jumatatu, Swipe kuona makala ya Mwanzo.
Nicheki Instagram : FB : Twit : SanguJoseph
.
.
#KijanaMzalendo #IloveTZ
By Sangu Joseph
.
Ebwana ni siku nyingine tena, natimiza ahadi niliyoitoa kwenye Andiko langu lililopita () juu ya maoni yangu namna ambavyo Boss Majizzo huenda akaitumia silaha yake mpya ndani ya EFM na TV- E.
Kabla sijaenda ukiangalia kwa sasa EFM wako Transition period, kuna kundi fulani la mashabiki ambao kwa sasa wamelilenga baada ya lile kundi la Mtaa kuliteka, kiufupi wanalikuza Soko lao.
Kama huamini kasikilize interview ya Kwanza Boss Majizzo alipohojiwa na Bro SkyTanzania alipohojiwa kuhusu kumsajili Jonijo alisema EFM ni ya Waswahili na Waswahili kuna mahali wameifikisha Radio yetu sasa tunataka pale wakipotufikisha twende mbele zaidi.
So kutokea hapo Mimi binafsi nilijua Mswahili Majizzo yuko kwenye Transition period ya kulisaka soko jipya, ndiyo maana unaona mtu kama BDozen anasajiliwa akakidhi viwango vipya ambavyo Waswahili hawa wanataka kuvifikia, kwa mawazo nadhani sio Dozen tu kuna wengine wako njiani wanaokuja kikubwa ni nyakati na subira na kama walichokipanga kitatimia.
Mfano mwingine wa kujua wako kwenye kulisaka soko jipya (Transition Period) ni kuanzishwa kwa kipindi kama #HomaTVE hichi kipindi ukikitazama kiundani kwa muonekano, uwekezaji, aina ya Mtangazaji ni kimelenga watu fulani, wale waswahili wenzake atakutana nao kwenye #MzikiMnene, #ShikaNdinga, #NjeNdani.
.
Turudi kwenye hoja sasa Kwa kua tumekubali EFM na TV - E wako kwenye mabadiliko (Transition Period), sasa huenda yakaenda na mabadiliko ya Program (Ninavyowaza Mimi BDozen huenda akawa Mkuu wa Entertainment pia akapewa kipindi cha masaa 2 au matatu, na akapewa kipindi TV - E)
.
Utaniuliza yaani Sangu iweje BDozen apewe kipindi Efm kwenye muda upi? , maana kote kote kuna watu, Mimi nadhani ataongezwa kwenye #Ladha3600 ya Broh Seleh Jabir na kile kipindi kitaongezwa masaa walau mawili halafu wale wanetu wa #Genge SamioLove na Fido wenyewe watasogezwa mbele ili Mkubwa Twangalla #DozenAmetua atoe tiba ya burudani, lakini pia nadhani Twangalla huenda akapewa kipindi chake pale TV - E kama anavyofanyaga kwenye Dozen Selection.
.
(NB Haya ni mawazo yangu juu watakavyomtumia Twangalla, si uhalisia so Inaweza ikatokea au isitokee)
Andiko hii itakua kwenye YouTube ya Brain Ujazo kesho Jumatatu, Swipe kuona makala ya Mwanzo.
Nicheki Instagram : FB : Twit : SanguJoseph
.
.
#KijanaMzalendo #IloveTZ