Kama ana wivu na husuda hapana shaka ni mtu mbayaMK254 sio mtu mbaya bali anaonesha ni mzalendo kwa nchi yake ila ni ile type ya watu wenye wivu na husda haswa kwa Tz..
Anaiogopa Tanzania balaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ana wivu na husuda hapana shaka ni mtu mbayaMK254 sio mtu mbaya bali anaonesha ni mzalendo kwa nchi yake ila ni ile type ya watu wenye wivu na husda haswa kwa Tz..
Anaiogopa Tanzania balaa!
It is a no-brainer that Rwanda presented the best earning capacity for Kenyan banks despite having fewer subsidiaries. Rwanda walitupiku kwenye rank ya 'ease of doing business' mwaka wa 2019 na 2020 pia. Rwanda is definately the place to be for Kenyan companies, tuna mengi ya kujifunza kule Kigali. Alafu kwenye sekta moja tu ya finance, faida ya benki za Kenya ukanda huu mwaka wa 2018 iliongezeka kwa $106.5 Million(35%)! Hongera kwa manyang'au, endeleeni kwa moyo huo huo.
Equity bado ipo, mwaka ujao Equity Bank Congo ndio itakuwa benki kubwa kabisa DRC. Wapo kwenye hatua za mwisho za kununua BCDC Bank kwa 'tune' ya $105 Million. Equity Bank targets trillion league by 2022Hivi status ya mabenki yetu kuingia DRC iko vipi, kuna kipindi Equity walikua wameanza kuingia kwa fujo pale.
Equity bado ipo, mwaka ujao Equity Bank Congo ndio itakuwa benki kubwa kabisa DRC. Wapo kwenye hatua za mwisho za kununua BCDC Bank kwa 'tune' ya $105 Million. Equity Bank targets trillion league by 2022
Atakuwa wale wanaooa wazee wapate kumiliki ardhi
Did you know?
i) KCB group’s asset base of US$8.6 billion is larger than the four top banks in Uganda and Tanzania combined whose asset base stands at US$7.24. The largest Tanzanian bank, CRDB, holds an estimated $2.52 billion worth of assets followed closely by NMB with an estimated $2.36 billion.
ii) Equity Bank Group’s capital base is the second largest in East Africa standing at US$6.38 billion.
iii) The merger between the NIC group and CBA group has created the largest bank in Africa by customer base with 41 million customers and the third largest bank in east africa with an asset base of US$4.9 Billion.
iv) safaricom alone has a valuation larger than all the telco companies in Tanzania and Uganda combined.