Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Chapa kazi baba.


Nasema uongo ndugu zangu
 
Waombeni moderators episodi zote waziweke kule mbele kama walivyofanya. Kuna watu wananiuliza mwendelezo na nikiangalia walipoishia naona kuna episods nyingi tu hawajazisoma kwa sababu mods wameishia kuweka episods ya 24 inayoongelea 2010 World Cup wakati kuna episods nadhani zinaweza kufika 35 hivi.
 
👏
 
Hii story inaweza kushinda tuzo na kutungiwa movie moja Kali sana
 
Dah bro mapema tu unamwagilizia moyo na kitu cha vladimir....... Mambo yangu hayo kubabake

Hahahahahah karibu sana kama unavyojua wazee wa makamuzi tulivyo na ushirikiano, tuliangusha za kutosha sana hizo ila kubabeki siyo poa sijui malaria imeingilia kati ? Mdomo umezingua leo ila nikapiga kachumbari ya vitunguu maji na limao na pilipili kama zote now umechangamka ka story ya Konda msafi [emoji481][emoji481][emoji481][emoji481][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji481][emoji481][emoji481][emoji482][emoji482][emoji482]🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…