careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,652
Bongo siwapatiKwani hapa bongo tumeisha? Weee dada wewe [emoji3061][emoji3061][emoji3061]
Wenye vimbaui a.k.a sindano ya kushona akiibua stori ni namna kiungo chake kiligonga mfupa wa katkat ya mapaja akafungwa P.O.P dudu. Na alivyomwinamisha chuma mboga katako kakamchoma akaugua kichomi!Daaa nawaonea huruma sana wenye mademu vimbau mbau,stori kama hzi za khumbu wanaumia mbayaa[emoji23][emoji23]
Saana yaanHapo roho inakuuma balaaa
Hutak upate shemeji tajiri?Afadhali
Nadhani auto correct ilipita na neno, Google earth 3D versionDlamini[emoji3581] mkuu sio Damiani [emoji777] hapo unetumia map category gan ina view vizuri hivyo?
Hahhaahahahahahahahaha sawa mkuu nimekupata
Umejua kutunyoosha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamani itaendelea kesho asubuhi. Sasa ni mida ya kuspend time na Khumbu, ananihitaji chumbani. Hahahahahaha.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Shape la Khumbu sio poa..wamekimbia na vitambi vyao..Natania
Aisee [emoji847][emoji847][emoji28][emoji28][emoji28] utapendanaje na dadako wewe
Kuanzia juzi hapa JF pamekuwa patam sana, kuna nyuzi kama 3 hivi nkiingia lazima nizipitie.
1.hii ya khumbu
2.Jamaa anaye mkataa mtoto rasmi.
3.ya mzee wetu Mwitore na bi mdogo wake.
Yaani mambo ni Hot
Achana nao banaNdo ujinga wenu watoto wa humu kumsifia mtu mnadhani ana maanisha nini?
Hiyo midude ndio itatwaa pumzi zako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tuache na vitambi vyetuShape la Khumbu sio poa..wamekimbia na vitambi vyao..Natania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumeridhika na matumbo yetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tuache na vitambi vyetu
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu hajamtesa bana, muulize yule mzee Mwitore alivyoteswa na Bi mdogo wake. 🙂
[emoji23][emoji23][emoji23]Uki search kifala yanakuja mamilima na makarasha ya mawe tu