Jinsi Mawakala wa Huduma ya pesa kwa simu wanavyo shirikiana na matapelii wa ile hela tuma kwenye simu hii.

Jinsi Mawakala wa Huduma ya pesa kwa simu wanavyo shirikiana na matapelii wa ile hela tuma kwenye simu hii.

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Nimestukia huu mchezo. Unaenda kwa wakala wa pesa unatoa lets say laki moja. Wakala anazuga hajaona meseji yako then anakwambia hebu nipe simu yako niangalie kama umepata meseji. Kumbe lengo lake anataka kujua unasalio kiasi gani. Atakupa hela yako utaondoka then meseji ya tapeli itaingia soon. Huyo tapeli anakuwa amepangwa na huyo mhudumu wa kibanda cha huduma ya hela. Nimekutana na situation kama hii Leo nika connect dot.
So next time kama una muda wa kupoteza ukikutana na situation kama hii wewe deal na huyo wakala utamjua aliekutumia hiyo meseji
 
ngoja nikalewe kwanza halafu nimfate yule wakala anieleze elfu mbili yangu iliendaje endaje kimakosa!.
 
Hiyo hela tuma kwenye namba hii 0756784331 Jina litakuja BICHWA KOMWE.
 
Back
Top Bottom