Jinsi Meli ya Titanic inavyo zidi kuoza tazama picha

Jinsi Meli ya Titanic inavyo zidi kuoza tazama picha

Picha yako ya kwanza inaonesha meli imelalia ubavu wa kulia.

Lakini picha ya pili inaonesha meli imesimama wima.

Sasa sijui kuna muda inajinyoosha au Camera Man ilibidi ainyanyue ili apate clear view.
Meli kabla ya kuzama ilikatika vipande viwili kwahiyo hizo ni picha za vipande viwili tofauti, ukiangalia kwa makini utagundua ni picha mbili tofauti

Hata kama ingekua ni picha ya kutengeneza hawawezi kufanya mistake ya waziwazi kama hiyo
 
Hilo jambo hua linanifikirisha na kuona kabisa binadamu tuna uwezo Mkubwa sana, wengi wetu hatutumii hata asilimia moja ya uwezo wa kufanya mambo tulionao.
Sema wenzetu Wana jua kutumia vitu au watu kikamilifu.
Sisi tume kalia kuminyana, angalia Jamaa aliye tengeneza helicopter ali tulizwa.

Back to the future ni movie ya Mwaka 1985 inayo onyesha kuhusu concept ya time travel na magari ya umeme .

Imagine 6 day ina zungumzia cloning miaka hiyo ya 2000, waza aisee.
 
Kwenye Titanic yenyewe hio, kuna band ya music ilikua inatumbuiza, walikua jamaa 8 wakipiga muziki(orchestra) hadi meli inazama, inasemekana jamaa walikuwa wakipiga muziki kuwatuliza abiria na kuwaondolea hofu, waliendelea kupiga muziki hadi meli ilipodhihirika inazama jamaa waliendelea hadi meli inazama na wao wakafariki.
 
Kwenye Movie alinifurahisha yule mzee aliye kataa life jackets yeye na wapambe wake.
"Mr Guggenheim, these are for you"

Mzee akasema... " No, we prepared to go down as gentlemen"
images (15).jpeg

kuna hawa jamaa, wenyewe meli inazama wao kama hawaelew kinachoendelea hiv
 
Kinacho nishangaza ni huo mwaka, 1912 hao jamaa walikuwa na maarifa ya kujenga meli kubwa kihasi hicho. Sasa najiuliza ivi sisi wabongo tunashidwa nini leo hii 2024 kufanya vitu vikubwa zaidi.
Ujafanya research
Kinacho nishangaza ni huo mwaka, 1912 hao jamaa walikuwa na maarifa ya kujenga meli kubwa kihasi hicho. Sasa najiuliza ivi sisi wabongo tunashidwa nini leo hii 2024 kufanya vitu vikubwa zaidi.
Wabongo bado sana,ikilinganishwa na meli za kisasa, Titanic sasa ingechukuliwa kama meli ndogo. Meli nyingi za kisasa za kitalii na mizigo ni kubwa zaidi kwa ukubwa na uwezo. Meli za leo zimetengenezwa kwa teknolojia ya kisasa na huduma za hali ya juu, ambazo huwafanya kuwa bora zaidi na za kifahari kuliko Titanic ilivyokuwa.Kwa mfano, meli kama Wonder of the Seas au hata meli kubwa za kubeba mizigo zinazotumika katika biashara ya kimataifa ni kubwa sana kuliko Titanic kwa kila kipimo. Hivyo basi, kwa viwango vya leo, Titanic si ya ajabu tena kwa ukubwa.
 
Hii kwenye tukio halisi ni kweli walipiga muziki hadi meli inazama , hii band waliitwa RMS TITANIC BAND.
kuna muda walitaka kuacha ili kila mtu akapambane jamaa yao akawaaga "gentlemen, It has been a privilege playing with you tonight" ile wanasepa. mwamba akaanzisha melody ya "near, my God to thee" Daaaah hiyo ndo ilikuwa ala ya mwisho kupigwa baada ya hapo ikawa total disaster. By the way ile movie sahivi ni 27 years but itabaki kuwa best drama
 
Ujafanya research

Wabongo bado sana,ikilinganishwa na meli za kisasa, Titanic sasa ingechukuliwa kama meli ndogo. Meli nyingi za kisasa za kitalii na mizigo ni kubwa zaidi kwa ukubwa na uwezo. Meli za leo zimetengenezwa kwa teknolojia ya kisasa na huduma za hali ya juu, ambazo huwafanya kuwa bora zaidi na za kifahari kuliko Titanic ilivyokuwa.Kwa mfano, meli kama Wonder of the Seas au hata meli kubwa za kubeba mizigo zinazotumika katika biashara ya kimataifa ni kubwa sana kuliko Titanic kwa kila kipimo. Hivyo basi, kwa viwango vya leo, Titanic si ya ajabu tena kwa ukubwa.
Kuna hizi meli huwa zinazunguka majini watu wanazipanda kama vacationing zinaitwa cruise ship, aisee ni kubwa sana.

Hapo kila kitu kipo, hotels, night clubs, viwanja vya michezo, balaa tupu.
 
Back
Top Bottom