magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Ukitoa kutekana, Mwafrika ni mweupe hadi sio poa.Watu wamerusha satellite miaka ya 1950's hadi leo sisi hatuwezi.
Muafrika ni kima aliyechangamka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitoa kutekana, Mwafrika ni mweupe hadi sio poa.Watu wamerusha satellite miaka ya 1950's hadi leo sisi hatuwezi.
Muafrika ni kima aliyechangamka.
Sema jamaa nilichowakubali ni ile kucheza music until the very end, halafu hio nyimbo ni ya msiba near my god to thee japo sijafuatilia kama ni kweli walicheza hio nyimbo.kuna muda walitaka kuacha ili kila mtu akapambane jamaa yao akawaaga "gentlemen, It has been a privilege playing with you tonight" ile wanasepa. mwamba akaanzisha melody ya "near, my God to thee" Daaaah hiyo ndo ilikuwa ala ya mwisho kupigwa baada ya hapo ikawa total disaster. By the way ile movie sahv ni 27 years but itabaki kuwa best drama
Hatutofikia maendeleo hayo, kama watu wanarusha satellite 1950's but 60 years later hamjarusha hata jiwe angani, sisi ni watu au maiti?Ukitoa kutekana, Mwafrika ni mweupe hadi sio poa.
Hapana mkuuUli zamia Sasa ??
Yes. Hata hivyo, imedumu muda mrefu sana kabla ya kuanza kuoza.
Meli ya RMS Titanic inaendelea kuoza polepole chini ya bahari tangu ilipozama mnamo 1912. Kwa sasa, Titanic ipo umbali wa mita 3,800 chini ya uso wa Atlantiki ya Kaskazini. Korosi, viumbe vya baharini, na mazingira ya kina kirefu yamechangia kuharibika kwake taratibu.
Mabaki ya meli hiyo yamekuwa yakichunguzwa na watafiti kwa zaidi ya miaka 100. Kuoza huko kunasababishwa na bakteria wa baharini wanaoitwa Halomonas titanicae, ambao hushambulia chuma cha meli, wakitoa kutu. Uchunguzi wa hivi karibuni umeonyesha kuwa sehemu nyingi za chuma zimeanza kudondoka na maeneo mengine kuanza kupotea kabisa, kama mnara wa kuchungulia (crow's nest) na vipande vya sitaha.
Watafiti wamepiga picha za kina za mabaki ya Titanic, zikionyesha jinsi ilivyoathiriwa na mazingira ya chini ya bahari. Picha hizo zinaonyesha sehemu kubwa ya meli ikiwa imejaa kutu, viumbe vidogo vya baharini, na mashimo kwenye chuma kutokana na kuoza. Ingawa baadhi ya sehemu, kama sehemu za ndani ya meli, ziko katika hali nzuri zaidi kwa sababu zimefichwa na maji, zinatarajiwa pia kuharibika polepole.
Soma Pia: Meli ya Titanic: Mwonekano wa Video ya kwanza ya 3D tangu kuzama kwake
Kwa kasi ya kuoza inavyoendelea, inakadiriwa kwamba mabaki ya Titanic yanaweza kupotea kabisa ndani ya miaka 20-40 ijayo, kulingana na mazingira ya sasa ya bahari.
Ikiwa unahitaji picha zinazohusiana na hali ya sasa ya mabaki ya Titanic, naweza kutengeneza taswira inayochanganya maelezo haya na hali ya kuoza kwa meli hiyo.
Sisi hakuna tunachokiwezaKinacho nishangaza ni huo mwaka, 1912 hao jamaa walikuwa na maarifa ya kujenga meli kubwa kihasi hicho. Sasa najiuliza ivi sisi wabongo tunashidwa nini leo hii 2024 kufanya vitu vikubwa zaidi.
Ule uchafu uko pale tunduma ndio mnaita helicopter?Juzi kati Mbeya kuna mtu alitengeza Helicopter.. Tuko yente mzee!
Kupiga picha za meli ya Titanic, vifaa mbalimbali vya kisasa vilitumika, hasa kwa kuchunguza mabaki yaliyoko chini ya bahari. Baadhi ya vifaa hivyo ni:Iko wazi picha ni ya kutengeneza hakuna taa itakayofikia melo kule chini na kuja kumulika hivyo kisha camera ikapiga iyo
😂😂Ule uchafu uko pale tunduma ndio mnaita helicopter?
Eneo kubwa ilikuwa na materials ya Brass, Shaba na AluminiumYes. Hata hivyo, imedumu muda mrefu sana kabla ya kuanza kuoza.
Tafuta picha za National Geographic ndio za kweli, hao jamaa wapo Atlantic kwa zaidi ya miaka 20 au 30 wakifanya uchunguzi mpaka leoHizo pic zimepigwa na nani
FineTafuta picha za National Geographic ndio za kweli, hao jamaa wapo Atlantic kwa zaidi ya miaka 20 au 30 wakifanya uchunguzi mpaka leo
Tunawaza ngono msanii gani katrent tiktok tunaambiana vyerehani vinne viwonder wanyonge wachukie matajiri nunua wapinzaniKinacho nishangaza ni huo mwaka, 1912 hao jamaa walikuwa na maarifa ya kujenga meli kubwa kihasi hicho. Sasa najiuliza ivi sisi wabongo tunashidwa nini leo hii 2024 kufanya vitu vikubwa zaidi.
HiziFine
Kuzamia maana yake kuingia, Sasa mi nikawa nawaza weye waingia bahariniHapana mkuu
Sisi nasi technology yetu ya kutiana mazagaza tumboni nayo ikaangaliwe.Hatutofikia maendeleo hayo, kama watu wanarusha satellite 1950's but 60 years later hamjarusha hata jiwe angani, sisi ni watu au maiti?
Shame...