Jinsi mkurugenzi wa ATCL na waziri walizuiwa kuingia uwanja wa Oliver Tambo, Afrika Kusini

Jinsi mkurugenzi wa ATCL na waziri walizuiwa kuingia uwanja wa Oliver Tambo, Afrika Kusini

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hii ilikua wakati wa uzindunzi wa safari za ndege ya shirika la ATCL kuruka baina ya Dar na Jo burg, viongozi hao walikwenda kuipokea ila walipofika kwenye uwanja wakazuiwa mbali.
Dah! yaani kule Afrika Kusini huwa hawaendeshwi kwa mikurupuko, ni mbepari mwanzo mwisho hamna cha undugu wala nini...
Ukizingatia sasa hivi wamekamata ndege ya Tanzania bila kujali kama rais wao alikwenda Bongo kutoa matamko ya kisiasa na kuwakuna Watanzania kwamba ameanza kujifunza Kiswahili. Hayo yote kwa jamii ya kibepari ni zero, hata mkitumia kete ya kwamba mliwakomboa.
------------------------------------------

Air Tanzania Company Limited (ATCL) managing director Ladislaus Matindi yesterday explained why a delegation from the national carrier was turned away at Oliver Tambo International Airport after its inaugural flight to South Africa last Friday.
Mr Matindi blamed “miscommunication” between the airport and immigration officials for the hitch that saw him, Works, Transport and Communication deputy minister Elias Kwandikwa, other ATCL officials and journalists denied entry into the airport for a welcome ceremony.
He told The Citizen in a telephone interview that their hosts, Airports Company South Africa (ACSA), and immigration officials were not aligned over their arrival.
 
Hii ilikua wakati wa uzindunzi wa safari za ndege ya shirika la ATCL kuruka baina ya Dar na Jo burg, viongozi hao walikwenda kuipokea ila walipofika kwenye uwanja wakazuiwa mbali.
Dah! yaani kule Afrika Kusini huwa hawaendeshwi kwa mikurupuko, ni mbepari mwanzo mwisho hamna cha undugu wala nini...
Ukizingatia sasa hivi wamekamata ndege ya Tanzania bila kujali kama rais wao alikwenda Bongo kutoa matamko ya kisiasa na kuwakuna Watanzania kwamba ameanza kujifunza Kiswahili. Hayo yote kwa jamii ya kibepari ni zero, hata mkitumia kete ya kwamba mliwakomboa.
------------------------------------------

Air Tanzania Company Limited (ATCL) managing director Ladislaus Matindi yesterday explained why a delegation from the national carrier was turned away at Oliver Tambo International Airport after its inaugural flight to South Africa last Friday.
Mr Matindi blamed “miscommunication” between the airport and immigration officials for the hitch that saw him, Works, Transport and Communication deputy minister Elias Kwandikwa, other ATCL officials and journalists denied entry into the airport for a welcome ceremony.
He told The Citizen in a telephone interview that their hosts, Airports Company South Africa (ACSA), and immigration officials were not aligned over their arrival.
Nonsense
 
Hii ilikua wakati wa uzindunzi wa safari za ndege ya shirika la ATCL kuruka baina ya Dar na Jo burg, viongozi hao walikwenda kuipokea ila walipofika kwenye uwanja wakazuiwa mbali.
Dah! yaani kule Afrika Kusini huwa hawaendeshwi kwa mikurupuko, ni mbepari mwanzo mwisho hamna cha undugu wala nini...
Ukizingatia sasa hivi wamekamata ndege ya Tanzania bila kujali kama rais wao alikwenda Bongo kutoa matamko ya kisiasa na kuwakuna Watanzania kwamba ameanza kujifunza Kiswahili. Hayo yote kwa jamii ya kibepari ni zero, hata mkitumia kete ya kwamba mliwakomboa.
------------------------------------------

Air Tanzania Company Limited (ATCL) managing director Ladislaus Matindi yesterday explained why a delegation from the national carrier was turned away at Oliver Tambo International Airport after its inaugural flight to South Africa last Friday.
Mr Matindi blamed “miscommunication” between the airport and immigration officials for the hitch that saw him, Works, Transport and Communication deputy minister Elias Kwandikwa, other ATCL officials and journalists denied entry into the airport for a welcome ceremony.
He told The Citizen in a telephone interview that their hosts, Airports Company South Africa (ACSA), and immigration officials were not aligned over their arrival.

Nilitamani watekwe na wazuiliwe huko pia
 
Tattizo kwa nchi ambazo zinaheshimu amri za mahakama huwa hatari sana, kama mnajua mna madeni huko msirushe rushe ndege kwenda huko, kuna mataifa rais hana uwezo wowote juu ya mahakama.
Nyie mnauwezo juu ya alikababu?
 
Itabidi wametulia tu
Tattizo kwa nchi ambazo zinaheshimu amri za mahakama huwa hatari sana, kama mnajua mna madeni huko msirushe rushe ndege kwenda huko, kuna mataifa rais hana uwezo wowote juu ya mahakama.
 
Hii ilikua wakati wa uzindunzi wa safari za ndege ya shirika la ATCL kuruka baina ya Dar na Jo burg, viongozi hao walikwenda kuipokea ila walipofika kwenye uwanja wakazuiwa mbali.
Dah! yaani kule Afrika Kusini huwa hawaendeshwi kwa mikurupuko, ni mbepari mwanzo mwisho hamna cha undugu wala nini...
Ukizingatia sasa hivi wamekamata ndege ya Tanzania bila kujali kama rais wao alikwenda Bongo kutoa matamko ya kisiasa na kuwakuna Watanzania kwamba ameanza kujifunza Kiswahili. Hayo yote kwa jamii ya kibepari ni zero, hata mkitumia kete ya kwamba mliwakomboa.
------------------------------------------

Air Tanzania Company Limited (ATCL) managing director Ladislaus Matindi yesterday explained why a delegation from the national carrier was turned away at Oliver Tambo International Airport after its inaugural flight to South Africa last Friday.
Mr Matindi blamed “miscommunication” between the airport and immigration officials for the hitch that saw him, Works, Transport and Communication deputy minister Elias Kwandikwa, other ATCL officials and journalists denied entry into the airport for a welcome ceremony.
He told The Citizen in a telephone interview that their hosts, Airports Company South Africa (ACSA), and immigration officials were not aligned over their arrival.
Dua la kuku halimpati mwewe. Mnataka saaana nchi yetu iharibikiwe, mnatamani sana nchi yetu tupigane vita, mnauchu sana na rasilimali za nchi ili ziwanufaishe ninyi, sasa kwa ufupi ni kwamba kila jambo hutokea kulingana na wakati, sababu za hiyo ndege kushikiliwa inaweza kuwa imesababishwa na ninyi mafisadi na uzuri serikali ya awamu ya 5 imerithi vitu vingi vya ovyo, hivyo na hili litatuliwa na litaisha.
 
OP tofautisha business na siasa.

Unachotakiwa kufahamu ni kwamba SAA is in a death bed right now, ATCL inazidisha maumivu kuwa kuwapokonya juicy route ya DAR - JHB na sasa Mumbai na wamesikia China & London tayari, ni lazima wakimbilie kortini kukumbushia deni la 2008.

Kipindi kIle cha partnership, SAA walichukua spare parts zetu na baadhi ya vifaa na kuhamishia OR Tambo airport na kuangamiza uwezo wa maintenance hangar facility yetu pale KIA ili tuwe tegemezi.

Anyways, sheria ziheshimiwe, 4 mil. USD is nothing kwa Serikali, italipwa tu hata Leo, uzuri wa courts za SA zinafanya kazi hata jumapili usiku.

Tutabanana tu, hio route hatuiachii....
 
Dua la kuku halimpati mwewe. Mnataka saaana nchi yetu iharibikiwe, mnatamani sana nchi yetu tupigane vita, mnauchu sana na rasilimali za nchi ili ziwanufaishe ninyi, sasa kwa ufupi ni kwamba kila jambo hutokea kulingana na wakati, sababu za hiyo ndege kushikiliwa inaweza kuwa imesababishwa na ninyi mafisadi na uzuri serikali ya awamu ya 5 imerithi vitu vingi vya ovyo, hivyo na hili litatuliwa na litaisha.
"Imerithi vitu vingi vya ovyo". Duuuhh
 
Nashangaa sana SAA wanapata kichefuchefu na mshtuko wa roho sababu ya ATCL kuingia Rasmi soko la Sauzi.
SAA wanawezaje enda kortini bila kuwajulisha ATCL ama kujifanya hawajui ofisi za Atcl ambapo wanafaa kupeleka notisi ya kesi, wapewe hukumu bila pande zote kusikizwa?
Hii kesi mwishowe ita watia Aibu SAA Na Korti za Sauzi zitajivunjia heshima kwa wawekezaji
 
Ahaa haa
An ailing SAA is trying to defeat the competitors.
Tayari wameshalipwa. Dude litaanza kuchanja anga kuelekea nyumbani.
😁😂🤣

Serikali ya TZ inazo assets nyingi zisizohamishika na zenye thamani nchini SA pengine kuliko ktk nchi zote, sasa kwanini mahakama wakimbilie ku-attach movable asset kama ndege?

This smells fishy, ni dirty tricks za SAA baada ya kwanza kubanwa mbavu na ATCL ktk ruti ya DAR-JNB.
 
Serikali ya TZ inazo assets nyingi zisizohamishika na zenye thamani nchini SA pengine kuliko ktk nchi zote, sasa kwanini mahakama wakimbilie ku-attach movable asset kama ndege?

This smells fishy, ni dirty tricks za SAA baada ya kwanza kubanwa mbavu na ATCL ktk ruti ya DAR-JNB.

It's a sort of dirt game.
Pia if you recall, we have been so hard to these guys since their proven bad performance in management contracts of tanesco and ATCL.
 
Umekula kaka?
Nashangaa sana SAA wanapata kichefuchefu na mshtuko wa roho sababu ya ATCL kuingia Rasmi soko la Sauzi.
SAA wanawezaje enda kortini bila kuwajulisha ATCL ama kujifanya hawajui ofisi za Atcl ambapo wanafaa kupeleka notisi ya kesi, wapewe hukumu bila pande zote kusikizwa?
Hii kesi mwishowe ita watia Aibu SAA Na Korti za Sauzi zitajivunjia heshima kwa wawekezaji
 
Hii ilikua wakati wa uzindunzi wa safari za ndege ya shirika la ATCL kuruka baina ya Dar na Jo burg, viongozi hao walikwenda kuipokea ila walipofika kwenye uwanja wakazuiwa mbali.
Dah! yaani kule Afrika Kusini huwa hawaendeshwi kwa mikurupuko, ni mbepari mwanzo mwisho hamna cha undugu wala nini...
Ukizingatia sasa hivi wamekamata ndege ya Tanzania bila kujali kama rais wao alikwenda Bongo kutoa matamko ya kisiasa na kuwakuna Watanzania kwamba ameanza kujifunza Kiswahili. Hayo yote kwa jamii ya kibepari ni zero, hata mkitumia kete ya kwamba mliwakomboa.
------------------------------------------

Air Tanzania Company Limited (ATCL) managing director Ladislaus Matindi yesterday explained why a delegation from the national carrier was turned away at Oliver Tambo International Airport after its inaugural flight to South Africa last Friday.
Mr Matindi blamed “miscommunication” between the airport and immigration officials for the hitch that saw him, Works, Transport and Communication deputy minister Elias Kwandikwa, other ATCL officials and journalists denied entry into the airport for a welcome ceremony.
He told The Citizen in a telephone interview that their hosts, Airports Company South Africa (ACSA), and immigration officials were not aligned over their arrival.
wee "Nyang'au" embu tupe pole wenzio badala ya kutuzodoa bana!!
 
Back
Top Bottom