Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,647
Ila Ladislaus Matindi akiisimamisha ATCL ikakaa poa.....atafaa kupewa tuzo ya Heshima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we did this to u! remember?Hii ilikua wakati wa uzindunzi wa safari za ndege ya shirika la ATCL kuruka baina ya Dar na Jo burg, viongozi hao walikwenda kuipokea ila walipofika kwenye uwanja wakazuiwa mbali.
Dah! yaani kule Afrika Kusini huwa hawaendeshwi kwa mikurupuko, ni mbepari mwanzo mwisho hamna cha undugu wala nini...
Ukizingatia sasa hivi wamekamata ndege ya Tanzania bila kujali kama rais wao alikwenda Bongo kutoa matamko ya kisiasa na kuwakuna Watanzania kwamba ameanza kujifunza Kiswahili. Hayo yote kwa jamii ya kibepari ni zero, hata mkitumia kete ya kwamba mliwakomboa.
------------------------------------------
Air Tanzania Company Limited (ATCL) managing director Ladislaus Matindi yesterday explained why a delegation from the national carrier was turned away at Oliver Tambo International Airport after its inaugural flight to South Africa last Friday.
Mr Matindi blamed “miscommunication” between the airport and immigration officials for the hitch that saw him, Works, Transport and Communication deputy minister Elias Kwandikwa, other ATCL officials and journalists denied entry into the airport for a welcome ceremony.
He told The Citizen in a telephone interview that their hosts, Airports Company South Africa (ACSA), and immigration officials were not aligned over their arrival.
![]()
Air Tanzania boss explains hitch in maiden SA flight
Dar es Salaam. Air Tanzania Company Limited (ATCL) managing director Ladislaus Matindi yesterday explained why a delegation from the national carrier was turned away at Oliver Tambo Internationalwww.thecitizen.co.tz
SA wame-mind competition tunayowapa! Next is Nairobi!Ila Ladislaus Matindi akiisimamisha ATCL ikakaa poa.....atafaa kupewa tuzo ya Heshima
Wamerithi na akili za hovyo ?, kama walijua kabisa kuna madeni na kuna uwezekano wa kushikwa kwanini wapeleke ndege huko ?..., gharama ya bad publicity na madoa kama haya huenda yakaenda mpaka awamu ya 20..., kwenye makosa tupende kukosoa ili tusirudia makosa yaleyale...Dua la kuku halimpati mwewe. Mnataka saaana nchi yetu iharibikiwe, mnatamani sana nchi yetu tupigane vita, mnauchu sana na rasilimali za nchi ili ziwanufaishe ninyi, sasa kwa ufupi ni kwamba kila jambo hutokea kulingana na wakati, sababu za hiyo ndege kushikiliwa inaweza kuwa imesababishwa na ninyi mafisadi na uzuri serikali ya awamu ya 5 imerithi vitu vingi vya ovyo, hivyo na hili litatuliwa na litaisha.
Hata wao wanafanya figisu kwa fastjet na Precision AirSielewi kwnn kuna watu wanashangilia ndege kuzuiliwa, hizi siasa za hapa no hatari sn
wacha hawa wakolomije wanyoloshwe nyambaf - wamezoea kuwaonea kina Lissu, Mbowe, Maalim, Zitto & co!Nashangaa sana SAA wanapata kichefuchefu na mshtuko wa roho sababu ya ATCL kuingia Rasmi soko la Sauzi.
SAA wanawezaje enda kortini bila kuwajulisha ATCL ama kujifanya hawajui ofisi za Atcl ambapo wanafaa kupeleka notisi ya kesi, wapewe hukumu bila pande zote kusikizwa?
Hii kesi mwishowe ita watia Aibu SAA Na Korti za Sauzi zitajivunjia heshima kwa wawekezaji
SAA ni ya mkaburu, anajifanya kutikisa kiberiti na namna tumewazibia soko lao la Dar ndio wanachanganyikiwa kabisa
Sasa tutawanyoosha rasmi
Umesahau kuwa sisi ni nyangau, hata tukifanya niniLeo unawaita makaburu, juzi uliwaita ndugu wa damu....hehehe kazi yenu rahisi, kuguswa kidogo mnaachia.
hii jamuhuri ishapoteana kitambo sana, endelea kujifariji bt jahazi linazid kudidimiaDua la kuku halimpati mwewe. Mnataka saaana nchi yetu iharibikiwe, mnatamani sana nchi yetu tupigane vita, mnauchu sana na rasilimali za nchi ili ziwanufaishe ninyi, sasa kwa ufupi ni kwamba kila jambo hutokea kulingana na wakati, sababu za hiyo ndege kushikiliwa inaweza kuwa imesababishwa na ninyi mafisadi na uzuri serikali ya awamu ya 5 imerithi vitu vingi vya ovyo, hivyo na hili litatuliwa na litaisha.
Haya maneno mlianza kuyasema tokea jamaa ana shika nchi ila cha kushangaza mpaka leo bado mnalialia hamna linalokaa jema kwenu viva JPMhii jamuhuri ishapoteana kitambo sana, endelea kujifariji bt jahazi linazid kudidimia
Usilalamike bwana ulizaga kwanza kama ninavo uliza mwenzio je africa kusin inatudai nini?maana mimi sielewiDua la kuku halimpati mwewe. Mnataka saaana nchi yetu iharibikiwe, mnatamani sana nchi yetu tupigane vita, mnauchu sana na rasilimali za nchi ili ziwanufaishe ninyi, sasa kwa ufupi ni kwamba kila jambo hutokea kulingana na wakati, sababu za hiyo ndege kushikiliwa inaweza kuwa imesababishwa na ninyi mafisadi na uzuri serikali ya awamu ya 5 imerithi vitu vingi vya ovyo, hivyo na hili litatuliwa na litaisha.
[emoji90][emoji90]Nonsense
Mbona hii ni hela ya mboga kwa serikali, si walipe tu kuliko kututia aibu huku. Walipe kisha wawashughulikie waliotufikishe hapa.OP tofautisha business na siasa.
Unachotakiwa kufahamu ni kwamba SAA is in a death bed right now, ATCL inazidisha maumivu kuwa kuwapokonya juicy route ya DAR - JHB na sasa Mumbai na wamesikia China & London tayari, ni lazima wakimbilie kortini kukumbushia deni la 2008.
Kipindi kIle cha partnership, SAA walichukua spare parts zetu na baadhi ya vifaa na kuhamishia OR Tambo airport na kuangamiza uwezo wa maintenance hangar facility yetu pale KIA ili tuwe tegemezi.
Anyways, sheria ziheshimiwe, 4 mil. USD is nothing kwa Serikali, italipwa tu hata Leo, uzuri wa courts za SA zinafanya kazi hata jumapili usiku.
Tutabanana tu, hio route hatuiachii....
Iliishia kwa mwasiti featuring mwana fa utaolewa lini??Tuliwakomboa imeishia wapi redeemer??😂😂