Jinsi mkurugenzi wa ATCL na waziri walizuiwa kuingia uwanja wa Oliver Tambo, Afrika Kusini

Jinsi mkurugenzi wa ATCL na waziri walizuiwa kuingia uwanja wa Oliver Tambo, Afrika Kusini

Tattizo kwa nchi ambazo zinaheshimu amri za mahakama huwa hatari sana, kama mnajua mna madeni huko msirushe rushe ndege kwenda huko, kuna mataifa rais hana uwezo wowote juu ya mahakama.
Hawa wajinga Tz wamezoea vile JPM akisema ujinga flani inakuwa ndio sheria .Halafu walijifanya hapa ati ATCL imefufuliwa "kwa pesa zetu za ndani"...karma has a funny way of exposing liars and pretenders.
 
"Imerithi vitu vingi vya ovyo". Duuuhh
Hapo sasa JK,Mkapa,Mwinyi sijui wanajisikiaje kwa kufanya vitu vya hovyo hatari sana uzuri mmoja mabaya yalifanyika chini ya chama tawala wakati huo na sio sisiemu!
 
Hapo sasa JK,Mkapa,Mwinyi sijui wanajisikiaje kwa kufanya vitu vya hovyo hatari sana uzuri mmoja mabaya yalifanyika chini ya chama tawala wakati huo na sio sisiemu!
Wewe ndiyo umesema sawa viongozi waliopita walifanya ufisadi hata hiyo SAA usikute ilitufanyia ufisadi wa kutosha maana iliwai kufanya biashara na atcl kipindi cha maraisi waliopita hii itakuwa ujuma tu Ila ole wao tukiwashinda watalipa fidia ndefu
 
Wewe ndiyo umesema sawa viongozi waliopita walifanya ufisadi hata hiyo SAA usikute ilitufanyia ufisadi wa kutosha maana iliwai kufanya biashara na atcl kipindi cha maraisi waliopita hii itakuwa ujuma tu Ila ole wao tukiwashinda watalipa fidia ndefu
Usilie mwanangu, dawa la deni Ni kulipa hamna Cha undugu (tuliwakomboa) katika biashara.
 
Hii ilikua wakati wa uzindunzi wa safari za ndege ya shirika la ATCL kuruka baina ya Dar na Jo burg, viongozi hao walikwenda kuipokea ila walipofika kwenye uwanja wakazuiwa mbali.
Dah! yaani kule Afrika Kusini huwa hawaendeshwi kwa mikurupuko, ni mbepari mwanzo mwisho hamna cha undugu wala nini...
Ukizingatia sasa hivi wamekamata ndege ya Tanzania bila kujali kama rais wao alikwenda Bongo kutoa matamko ya kisiasa na kuwakuna Watanzania kwamba ameanza kujifunza Kiswahili. Hayo yote kwa jamii ya kibepari ni zero, hata mkitumia kete ya kwamba mliwakomboa.
------------------------------------------

Air Tanzania Company Limited (ATCL) managing director Ladislaus Matindi yesterday explained why a delegation from the national carrier was turned away at Oliver Tambo International Airport after its inaugural flight to South Africa last Friday.
Mr Matindi blamed “miscommunication” between the airport and immigration officials for the hitch that saw him, Works, Transport and Communication deputy minister Elias Kwandikwa, other ATCL officials and journalists denied entry into the airport for a welcome ceremony.
He told The Citizen in a telephone interview that their hosts, Airports Company South Africa (ACSA), and immigration officials were not aligned over their arrival.
Hiyo inaitwa kulaaanyoko.. Kama ulizoea kufanya fujo kwako usidhani na kwa watu utafanya hivyo hivyo
 
Sielewi kwnn kuna watu wanashangilia ndege kuzuiliwa, hizi siasa za hapa no hatari sn
Pride comes before a fall...yani kina Geza Ulole , joto la jiwe redeemer @mulisaa na wajinga wengine wamekuwa wakipitisha kelele humu vile their shithole country/ Serikali imenunua mindege kuipiga Rwandair competition afu waingie KQ Ila wameambulia patupu Tena kwa aibu nyingi 😂😂😂

Vile mwasiti and co wanashangilia habari hizi
images (11).jpeg
 
Bora umekiri kuwa tunadaiwa na unaamini tutalipa ilo deni ili safarii iendelee. Naomba nikuulize kitu huoni kuna ujinga mwingiwa makusudi unafanywa na serikali ambao unatugarimu sisi kama taifa? Mfano wangeongeaa mapema na SAA kuhusu ilo deni je abiria wangeathirika? Je sisi wananchi tungejua kuwa kuna uozo na uzembe umetokea huko South Africa?

Nashauri kama kuna madeni mengine sehemu zingine yalipwe mapema tusipate aibu mahakamani kama inavoendelea haya matukio
OP tofautisha business na siasa.

Unachotakiwa kufahamu ni kwamba SAA is in a death bed right now, ATCL inazidisha maumivu kuwa kuwapokonya juicy route ya DAR - JHB na sasa Mumbai na wamesikia China & London tayari, ni lazima wakimbilie kortini kukumbushia deni la 2008.

Kipindi kIle cha partnership, SAA walichukua spare parts zetu na baadhi ya vifaa na kuhamishia OR Tambo airport na kuangamiza uwezo wa maintenance hangar facility yetu pale KIA ili tuwe tegemezi.

Anyways, sheria ziheshimiwe, 4 mil. USD is nothing kwa Serikali, italipwa tu hata Leo, uzuri wa courts za SA zinafanya kazi hata jumapili usiku.

Tutabanana tu, hio route hatuiachii....
 
Hii ilikua wakati wa uzindunzi wa safari za ndege ya shirika la ATCL kuruka baina ya Dar na Jo burg, viongozi hao walikwenda kuipokea ila walipofika kwenye uwanja wakazuiwa mbali.
Dah! yaani kule Afrika Kusini huwa hawaendeshwi kwa mikurupuko, ni mbepari mwanzo mwisho hamna cha undugu wala nini...
Ukizingatia sasa hivi wamekamata ndege ya Tanzania bila kujali kama rais wao alikwenda Bongo kutoa matamko ya kisiasa na kuwakuna Watanzania kwamba ameanza kujifunza Kiswahili. Hayo yote kwa jamii ya kibepari ni zero, hata mkitumia kete ya kwamba mliwakomboa.
------------------------------------------

Air Tanzania Company Limited (ATCL) managing director Ladislaus Matindi yesterday explained why a delegation from the national carrier was turned away at Oliver Tambo International Airport after its inaugural flight to South Africa last Friday.
Mr Matindi blamed “miscommunication” between the airport and immigration officials for the hitch that saw him, Works, Transport and Communication deputy minister Elias Kwandikwa, other ATCL officials and journalists denied entry into the airport for a welcome ceremony.
He told The Citizen in a telephone interview that their hosts, Airports Company South Africa (ACSA), and immigration officials were not aligned over their arrival.

Safi sana

Haya majinga yanafikiri kila nchi ni shithole kama TZ

Nchi hizi zina sheria na utaratibu sio unapeleka kongoro kama unavyojisikia tu sababu wewe ni kibaraka wa CCM!

Sijui tunakosea wapi!
 
Dua la kuku halimpati mwewe. Mnataka saaana nchi yetu iharibikiwe, mnatamani sana nchi yetu tupigane vita, mnauchu sana na rasilimali za nchi ili ziwanufaishe ninyi, sasa kwa ufupi ni kwamba kila jambo hutokea kulingana na wakati, sababu za hiyo ndege kushikiliwa inaweza kuwa imesababishwa na ninyi mafisadi na uzuri serikali ya awamu ya 5 imerithi vitu vingi vya ovyo, hivyo na hili litatuliwa na litaisha.

Imani za kiswahili hizi

Dua la kuku ni upumbavu!

Kwahiyo una believe kama kuna nchi imekaa inaombea TZ for anything?

Kabisa?

Imani za chooni hizi!

Fateni sheria za nchi za watu nyie!

Mnafata mazoea ya chooni tuliyozoea TZ!

Stop that!
 
Tattizo kwa nchi ambazo zinaheshimu amri za mahakama huwa hatari sana, kama mnajua mna madeni huko msirushe rushe ndege kwenda huko, kuna mataifa rais hana uwezo wowote juu ya mahakama.
Sheria ujinga ujinga ndio maana mashoga tu
 
Back
Top Bottom