Jinsi mtu aliyekata roho anavyoweza kurudi kwenye mwili wake

Jinsi mtu aliyekata roho anavyoweza kurudi kwenye mwili wake

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Jamii zetu za Kiafrika na Tanzania kwa upekee wamekuwa wakifanya sayansi hii ingawa miaka ya karibuni umeonekana kumezwa na maendeleo ya sayansi na teknolojia.

Ipo hivi.." Mtu anapokata roho hufa taratibu na kwa hatua na kwa yeyote aliyewahi kuona wakati mtu anakata roho anaweza kubaini hatua chache zinazotokea"..ndiyo maana jamii zetu zulikuwa na utamaduni maalumu wa kuandaa mwili wa mtu aliyekata roho vizuri kwa kutambua tabia ya kurudi kwa roho ya mtu katika mwili.

Roho inapotoka inakuwa inaamini inaweza kurudi tena kwenye mwili kama watu waliopo hai wanavyoamini kuwa mtu aliyekufa anaweza kufufuka tena.

Mfano katika Bara la Asia wamekuwa na utaratibu wa kuchoma moto miili ya watu wanapokuwa wamepitia hatua zote za kifo mara moja na hii inafanya roho inayotaka kurudi inaukosa mwili na hivyo usumbufu wa mizimu kupunguzwa kwa namna hiyo.

images (10).jpeg
images (8).jpeg
5d03345e2500004e12e79ce2.jpeg
images (11).jpeg
images (10).jpeg
images (13).jpeg
images (12).jpeg
images (11).jpeg
images (10).jpeg
images (13).jpeg
images (12).jpeg
 
mlakimtoto hapa kuna mambo kadhaa umeyachanganya pamoja na pengine hayafanani hasa kulingana na matukio ya picha... Naomba nifafanue
Jamii zetu za Kiafrika na Tanzania kwa upekee wamekuwa wakifanya sayansi hii ingawa miaka ya karibuni umeonekana kumezwa na maendeleo ya sayansi na teknolojia.
Ipo hivi.." Mtu anapokata roho hufa taratibu na kwa hatua na kwa yeyote aliyewahi kuona wakati mtu anakata roho anaweza kubaini hatua chache zinazotokea"..ndiyo maana jamii zetu zulikuwa na utamaduni maalumu wa kuandaa mwili wa mtu aliyekata roho vizuri kwa kutambua tabia ya kurudi kwa roho ya mtu katika mwili.

Roho inapotoka inakuwa inaamini inaweza kurudi tena kwenye mwili kama watu waliopo hai wanavyoamini kuwa mtu aliyekufa anaweza kufufuka tena.
Jamii nyingi za Kitanzania na mataifa mengine mfano katika Bara la Asia wamekuwa na utaratibu wa kuchoma moto miili ya watu wanapokuwa wamepitia hatua zote za kifo mara moja na hii inafanya roho inayotaka kurudi inaukosa mwili na hivyo usumbufu wa mizimu kupunguzwa kwa namna hiyo
1. Kwa muktanda wa picha kuna mmojawapo sio ya kifo bali ya ufundi wa tahajudi maizi kwenye mnyumbuliko kiroho, inaitwa Astral projection. Hili ni tendo la hiari la kuifanya roho ijitenge na mwili. Hili sio tendo la kifo kwakuwa muunganiko wa mwili na roho bado unakuwepo.

2. Picha nyingine ni namna ya mwili kutengana na roho (uhai) pindi tendo la kifo linapochukua nafasi.. Hili ni tendo la fumba fumbua japo kuna kandarasi nyingi zimejaribu kulielezea hatua kwa hatua.

3. Picha hizo nyingine ni picha za Malaysia.. Kuna tamaduni kule Malaysia/Indonesia za kuonesha upendo kwa marehemu mara moja kwa mwaka kwa kwenda makaburini kufukua miili yao, kuiremba upya na kupiga nayo picha.. Huku kwetu ni ile tunasema kulimia makaburi

4. Kuhusu kuchoma moto si kweli kwamba ni kuzuia marehemu roho zao zisirudi kwenye miili.. Kinachokufa ni mwili uharibikao hivyo roho kamwe haiwezi kurejea humo badala yake hugeuka mzimu.. Na kwa ishu ya kuchoma moto... Waafrika kwa sehemu kubwa hatuchomi bali huzika ardhini
Aina nyingine ya mazishi ukiachana na kuzika ardhini na kuchoma moto ni
. kuitupa mtoni maiti
. kujenga kichanja na kuweka pale ili iliwe na wanyama
. kukatakata kwa matumizi mengine ikiwemo chakula cha wanyama
. kuitupa porini
. kuichovya kwenye pipa la siki

Jr[emoji769]

Zaidi soma Ni wakati gani wafu hufika kuzimu?


 

Jr[emoji769]
 

Jr[emoji769]
Sawa Kaka ila hakuna namna moja ya kuelewa au kuelezea jambo.Niliyoyaandika yote yana chanzo chake na maelezo yake mfano kama ukitaka kuelewa zaidi fuatilia speech za Sadhguru utaona namna ya masuala hayo yanavyoelezewa.
Nakubaliana na mchango wa hoja zako nzuri katika kuelezea sanaa ya kifo ila ni vizuri zaidi ukimaizi kuwa masuala hayo yanaweza kuelezeka kwa namna tofautitofauti.
 
Sawa hakuna shida...
Sawa Kaka ila hakuna namna moja ya kuelewa au kuelezea jambo.Niliyoyaandika yote yana chanzo chake na maelezo yake mfano kama ukitaka kuelewa zaidi fuatilia speech za Sadhguru utaona namna ya masuala hayo yanavyoelezewa.
Nakubaliana na mchango wa hoja zako nzuri katika kuelezea sanaa ya kifo ila ni vizuri zaidi ukimaizi kuwa masuala hayo yanaweza kuelezeka kwa namna tofautitofauti.

Jr[emoji769]
 
Hapana kaka sio mpambano nimetoa ufafanuzi je kuna ubaya kufanya hivyo?

Jr[emoji769]
Well said MshanaJr nakubali Mimi ni mwanafunzi wako juu ya hizi mada na nimefarijika sana kuona unavyozidi kunipa ufafanuzi mzuri.
 
Pamoja sana hatupo kushindana bali kuelimishana
Well said MshanaJr nakubali Miminno mwanafunzi wako juu ya hizi mada na nimefarijika sana kuona unavyozidi kunipa ufafanuzi mzuri.

Jr[emoji769]
 
Tafiti zinaonesha kuwa kutoka nje ya mwili "Astral projection" kunaweza kufanyika kwa kunuwia na utamaduni huu umekuwa kufanyika kwenye utamaduni nyingi Duniani.

Out-of body-experience (OBE) na aghalabu utamaduni huu umekuwa ukihusishwa na sayansi kale "pseudoscience"

Yogayanda wanaamini kuwa karibu kila mtu kuingia kwenye eneo la kutoka nje ya mwili "astral planes" baada ya kufa na hapa ndipo huna mbegu za karma.

Yapo maelezo mengi mno yanayoonesha mtu anaweza asife anapokuwa kwenye hali ya kutoka (mtoko) "astral projection" kwa sababu ya uwepo wa kiunganisho "silver cord" kati ya mwili wa kawaida na mwili wa mtoko "astral body"

Lakini ikiwa mtu nimejifunza mafunzo ya "Shaman"anaweza nakamura kufa akiwa katika mwili wa mtoko "astral body" na pia inawezekana kabisa kwa watu wenye umri mkubwa na magonjwa kufa kabisa wanapokuwa kwenye mwili wa mtoko.
 
Lakini unatambua ya kwamba Astral ni hatua ya juu zaidi? Msingi wa haya ni meditation na ili uweze kufanya meditation kwa ufanisi unahitaji kufanya yafuatayo
. kupunguza matumizi ya nyama hatimaye kuacha kabisa
. kupunguza matumizi ya vileo hatimaye kuacha kabisa
. kupunguza ngono hatimaye kuacha kabisa
Kupunguza matumizi ya vitunguu maji hatimaye kuacha kabisa
Tafiti zinaonesha kuwa kutoka nje ya mwili "Astral projection" kunaweza kufanyika kwa kunuwia na utamaduni huu umekuwa kufanyika kwenye utamaduni nyingi Duniani.
Out-of body-experience (OBE) na aghalabu utamaduni huu umekuwa ukihusishwa na sayansi kale "pseudoscience"
Yogayanda wanaamini kuwa karibu kila mtu kuingia kwenye eneo la kutoka nje ya mwili "astral planes" baada ya kufa na hapa ndipo huna mbegu za karma.
Yapo maelezo mengi mno yanayoonesha mtu anaweza asife anapokuwa kwenye hali ya kutoka (mtoko) "astral projection" kwa sababu ya uwepo wa kiunganisho "silver cord" kati ya mwili wa kawaida na mwili wa mtoko "astral body"
Lakini ikiwa mtu nimejifunza mafunzo ya "Shaman"anaweza nakamura kufa akiwa katika mwili wa mtoko "astral body" na pia inawezekana kabisa kwa watu wenye umri mkubwa na magonjwa kufa kabisa wanapokuwa kwenye mwili wa mtoko.

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom