Jinsi mtu aliyekata roho anavyoweza kurudi kwenye mwili wake

Jamaa kadukua,dukua picha namaelezo tofauti hovyo hovyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo tofauti ni yapi?..weka hoja yako vizuri..
Ujuvi siyo kigezo cha kuonesha unachokielewa au mpangilio wake ni sahihi sana kuliko mipangilio mingine.
Wenzako wanaonesha mtazamo wao unavyotofautiana na wengine na siyo kejeli za kitoto "hovyohovyo"..ninaamini unachokifahamu ni sahihi kwako na siwezi kukiiita cha hovyo kwa sababu kinachangia kuelewa ila ukileta kejeji unajiharibia tu mwenyewe.
 
Comrade siyo vibaya ila, nimejaribu kuona mkufunzi anawezaje kukubali anachotoa mwalimu!
Hapana kaka sio mpambano nimetoa ufafanuzi je kuna ubaya kufanya hivyo?
Jr[emoji769]
 
Asante Kaka picha hii nimeiapload kwa makosa.Nashukuru kwa kunionesha nitaitoa
Nilidhani wanaoishi humo wao ni ahera moja kwa moja so hawatapitia njia uliyoelezea.


Jokes.
 

Vileo... Na weed ikiwemo?
 
Brother Mshana Vitunguu hasa navyo vina madhara gani? Pia Ni kweli meditation inakufanya ujitenge na watu?
 
Brother Mshana Vitunguu hasa navyo vina madhara gani? Pia Ni kweli meditation inakufanya ujitenge na watu?
Vitunguu huchochea mtu kuwa active sana kwenye ishu za hisia hasa matamanio ya kingono hasira na paniki
Meditation huchochea watu kujitenga kwakuwa inahitaji utulivu na tafakuri kwa kila jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…