Huyu yupo Day!Shule kwani zimefungwa[emoji19][emoji19][emoji19]
Halafu anamsifu anajua kutongoza... Huyi alikutongoza au alimlazimisha!Mbakaji huyo. Ulibakwa blaza. Kachukue PF3 chap
Mkuu umeamua KUKAZIA kabisa[emoji419][emoji375]
am where you never there angalia kwenye profileSi
Hii itakua uji ya chumvi mkuuππsijui la wapi hili jamaa
New Member huyoJF ya 2024
Embu nitongoze sweetheart nione...Mbona kama uliashaanzishwaga humu uzi wahivo!π€
Mi ntafeli aseee inahitaji guts sio za nchi hiii uwiii!
Kivipi, hakuna kaz rahis kama kumpiga spana demu aliyejitongozesha. Yan ni kaz rahis mnoo kumkataa.Hongera, sasa kaa mkao wa kulishwa majukumu ya kumtunza yeye na uwatunza wazazi wake pamoja na ndugu.
π€ π€ π€ π€ π€ ππππ! Unanijua kwenye hio sekta nilivo domo zege love ! Sijui hata naanzaje wapi ππEmbu nitongoze sweetheart nione...