Jinsi mwanamke anavyojua kutongoza

πŸ€ πŸ€ πŸ€ πŸ€ πŸ€ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚! Unanijua kwenye hio sekta nilivo domo zege love πŸ˜‚πŸ˜‚
Nimwagie mistari vyovyote mpaka niingie kingi...
 
Yaan umechelewa sana kumkula huyo mrembo ,ilitakiwa cku ya kwanza tu umeamia alivyokusaidia kupanga vitu geto hapo hapo mngezindua geto na ukimalizana naye unakata mazoea Ili asikugande akuharibie kuvusha warembo wengine, (mabaharia ndivyo tunafanyaga )
 
Nikikuaminisha ni kama vile nakutongoza tena sweetheart...
Nitongoze upya ndio napenda sasa ntakumbukia enzi hizo umenibananisha kwenye gari wanambia look at me mahoo huku misuli yote imekusimama ile nakucheki tu unarukuia πŸ’‹ nilikusukumajee najifanya kukudindia lol ulinivutaaa hadi nikaogopa ukanikumbatia kwanguvuuuuπŸ’ž

Kutongoza kazi sana aisee wanaume mna hiko kipaji
 
Ukapime ukimwi
 
Umenikumbusha incident moja. Nilihamia nyumba fulani wanafamilia wanaishi nyumba kubwa halafu pembeni kabisa kuna ki-apartment self contained. Basi siku nahamia mtoto wa mwenye nyumba tukasalimiana fresh nikaendelea na kupanga vitu. Baada ya kumaliza uchovu nikaenda pub ya karibu kunyonya kidogo. Piga maji hadi saa 6 hivi nikarejea. Kesho yake naona text ndefu kama gazeti toka kwa yule dada. Ooh sijui una familia sijui umeoa sijui ukiwa umetoka akirudi geti kubwa usifunge na komeo funga Tu funguo cz naye mtu wa tungi huwa anarudi mida mibovu mara unakunywa bia gani. Mara mtaa huu usizoee sana watu. Nikajiuliza huyu dada kulikoni. Nikajibu simpo ok sawa.
Basi bwana siku mbili mbele niko pub nanyonya mdogo mdogo huyo naona naletewa bia 2 na mhudumu Nani kaagiza yule dada. Nikamwambia mhudumu anasema asante. Mara naona text akaja yaliyofuata history. Kifupi nlkw nalipa Kodi nusu nusu mpaka nikaja huhama pale after 5 yrs. Nilikuwa nalipa kwa mwaka, so natoa nusu demu anajazia nusu then napeleka kwa mama mwenye nyumba. Cha kufurahisha kingine pale kwangu ndo ilikuwa hideout yake. Anaaga kwa weekend au zile long weekend haendi kazini kuwa anaenda kwa shoga zake kumbe Yuko humo humo. Najipakulia nnavyotaka.
Shida ilikuja nikiingiza mademu ananua hatari ila siku mbili nampanga tunaongea yanaisha.
Ujana maji ya Moto.
 
Mh mnapata muda wapi kutunga haya mambo[emoji23] yan huyo binti mshamba wa kutongoza kwanza sio kazi yake au basi niache hii chai..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…