Jinsi Mzalendo Magufuli alivyofanana Sana kimtazamo na Idd Amin Dada

Jinsi Mzalendo Magufuli alivyofanana Sana kimtazamo na Idd Amin Dada

Kitu wasiokijua watanzania wengi NI kuwa mpaka Sasa Idd Amini Anaonekana NI shujaa na mtu mzalendo zaidi kwa karibu robo ya waganda wote na sehemu kubwa ya Afrika. Ndio maana ata Obote baada ya kurudishwa na nyerere kwenye madaraka hakuweza kukaa ata kwa miaka miwili na ndipo akaibuka mseveni kwa kivuli Cha kuwaunganisha watu wa Obote na Amini na kufanya Uganda moja.

Jinsi wanavyofañana.
1. Wote walikuwa wapinga rushwa haswa. Wakati Idd Amini Dada anamkwapua Obote nchi. Nchi ilikuwa inanuka rushwa. Na Sera zake juu ya wizi na wararushwa zilimfAnya kila apitapo watu wapige vigeregere. Alisafisha rushwa na kujenga moyo wa utu miongoni mwa waganda.

2. Wote walipendwa na watu wengi na kuwa Gumzo Africa Mwanzoni mwa utawala wao. Kwa umaarufu wake 1975 Idd Amini Dada alikuwa Mwenyekiti wa umoja wa Afrika na July aliongooza kikao maarufu cha Oau na aliweka ajenda ya kuwatoa wazungu Namibia na South Africa kwa mtutu. Ila hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na jirani mojawapo. Ilikuwa kwa Idd Amin na Nyerere na tz ya Magufuli na Kenya.

3. Hawakuvutiwa na wazungu. Wakati Idd Amini Dada akivunja Hadi uhusiano wa kibalozi na Uingereza 1977. Na kuweka urafiki na Saud Arabia na Libya waliompa mka ndege na wanajeshi kwenye Vita ya kagera. Kwetu huku tuliwaita wazungu makaburu na tulijaribu kuwavutia waarabu Kama Utawala wa Morocco na tukaahidiwa uwanja wa Mpira Dodoma. Sema hatukufanikiwa Sana sababu Sasa nchi za mashariki ni dhaifu Sana kiuchumi.

4. Wote hawakuamini Sana Wanawake. Kuna wakati Idd Amini Dada aliongooza balaza la mawaziri lenye mwanamke moja tu. Huku licha ya kuwa na mwanamke makamu wa Raisi. Na katiba kusisitiza usawa wa kijinsia Kuna wakati katika nafasi za wabunge wa Raisi waliteuliwa Hadi wabunge sita kiume kimakosa kwenye nafasi ya mwanamke. Inabidi mbuge mwingine apewe ubalozi. Na nafasi nyingi wanawake walisua sua.

5. Wote walikuwa wacheshi na wakati mwingine wakali. Wapenzi wa michezo. Idd Amini Dada aliweza kupiga gitaa, kinanda na ngoma vizuri. Na zipo picha za jpm akipiga ngoma.

6. Wote waliamini katika Mungu. Spichi zao nyingi ziliingiza maswala ya Imani. Waliweka urafiki na viongozi wa dini tofauti na dini zao. Idd Amini Dada alikuwa rafiki na askofu Lowum Ambaye baadae walikuja kukosana.

7. Wote kufikia mafanikio hawakutaka saana kufata Sheria. Mfano idd Amini Dada alitaka jambazi akipatina na ushaidi upo wasiisubiri mahaka wamalize uko uko.

8. Wote hawakupenda kukosolewa. Ila kwa wakati ule ilikuwa NI hatari zaidi kumkosoa Amini. Kwani aliamini kuwa ukimkosoa umetumwa na magharibi.

9. Wote hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na wafanyabiasha wakubwa. Waliamini NI wezi na wanyinyaji. Mfano Idd Amini Dada aliwapokonya Mali, fedha na kuwafukuza wahindi Uganda. Huku hao watu inasemekana wapo walioporwa na tra fedha kwenye ac na kesi za uhujumu uchumi. Hapo Dada alikuwa muwazi Sana.

Wote waliamini katika ununuzi wa vitu vya garama serikalini. Idi alinunua ndege nyingi na vifaru vya kivita huku raia wake uchumi ukishuka na bongo tulinunua ndege huku watu.

10. Hakuna ushaidi wowote kuwa ata moja wao alikuwa mwizi. Wote hawakuwa na account za fedha nje ya nchi wakiwa madarakani.

11. Sio watu wa diplomasia au democracy in nature.

12. Walipendwa watu wa chini kabisa. Idd Amini Dada alikuwa Raisi wa kwanza duniani aliyeamuru wafanyakazi wa Uganda walipewa mshahara kila rth 23 na kufanikisha Hilo kutoka walipokuwa wanakaa miezi kadhaa bila mishahara.

13. Wote waliongoza kwa mbwembwe. Mfano Kuna mkutano wa adhra Uganda Idd Amini alimteua daktari wa kawaida kuwa mganga mkuu baada ya kutamka mapungufu kwenye hospital.

Kasoro kubwa iliyobadili Taswira ya Idd Amini Dada ni ubabe na kutokukosolewa, mzaha na dharau. Kuamini kilakitu kinaisha kwa nguvu. Mfano Aliivamia Tanzania sababu makundi mengi ya waasi wa Uganda Viongozi wao walikuwa Tanzania akina mseveni Enzi hizo. Hakutumia mbinu za kidiplomasia.

14. Wote walipenda Sana kuonekana kwenye vyombo vya habari. Vikao vyake na mawaziri na kila alichokifanya waliweka kwenye media za nchi yake.
15. Walipenda kusifiwa na kuogopwa. Ile habari ya mkurunjenji Mimi NI mkurunjenji. Iliwakuta wachungaji wa makanisa yaliyopigwa marufuku Uganda. Baada ya idd Amini kuwaita kwa kosa la kuhubiri na wakijua idd Amini ndio Sheria aliwauliza mi NI Nani. Moja wao alijibu. Wewe NI General Idd Amini Dada, fieldmarsho, king, the conquer of British Empire, the only president for life Basi jamaa akacheka akawasamehe.
16. Wote walituhumiwa kuweka watu wa karibu au ndugu sehemu nyeti. Maliyamungu inasemekana alikuwa NI mpwa wake ndie aliyekuwa mkuu wa vikosi vya ulinzi. Huku kelele za mlipaji mkuu na upwa zilikuwepo pia huku kwetu.
17. Wote walipenda kila mwananchi achape Kazi, hawakutaka uvivu au kuwa na mtu tegemezi ktk taifa.

18. Wote waliibuka kutoka familia zenye maisha ya chini Hadi kuwa watawala. Hakuna ndugu au wazazi wao waliojulikana katikauongozi wowote Kama uchifu au uongozi wowote wa juu Kama ulivyo kwa viongozi wengi wa Africa.

19. , wote waliimiza matumizi ya kiswahili. Idd Amini ndie alisisitiza kiswahili kuwa Lugha ya Jeshi la Uganda na hawakuwa wazungumzaji wazuri wa kiingereza. Idd Amin Aliongea kiingereza kwa shida zaidi

Kitu ambacho kilimchafua Idd Amin Kwa watanzania, moja alimtoa madarakani rafiki wa nyerere Obote, Pili Vita ya kagera na tatu Propaganda za wazungu na hasa ile filamu ya kuigiza inayomuhusisha na kila nyama za watu kitu ambacho hakiwezi kusibitishwa Hadi Leo ingawa alitokea jamii yenye Tania hizo. Idd Amini alizidisha chuki dhidi ya wazungu na mbaya zaidi alikalibisha na kuwashika mateka raia wa Israel.

Tofauti kubwa waliokuwa nayo Amini aliingia kijeshi, pia Amini aliingusha Sana sarafu ya Uganda uku Magufuli alijitahidi kuidhibiti.
Bila shaka umetumwa na j October [emoji16][emoji16][emoji16]
 
... the Marshal of the Republic of Uganda.
His Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin Dada Oumee , VC, DSO, MC, CBE, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular
 
Kitu wasiokijua watanzania wengi NI kuwa mpaka Sasa Idd Amini Anaonekana NI shujaa na mtu mzalendo zaidi kwa karibu robo ya waganda wote na sehemu kubwa ya Afrika. Ndio maana ata Obote baada ya kurudishwa na nyerere kwenye madaraka hakuweza kukaa ata kwa miaka miwili na ndipo akaibuka mseveni kwa kivuli Cha kuwaunganisha watu wa Obote na Amini na kufanya Uganda moja.

Jinsi wanavyofañana.
1. Wote walikuwa wapinga rushwa haswa. Wakati Idd Amini Dada anamkwapua Obote nchi. Nchi ilikuwa inanuka rushwa. Na Sera zake juu ya wizi na wararushwa zilimfAnya kila apitapo watu wapige vigeregere. Alisafisha rushwa na kujenga moyo wa utu miongoni mwa waganda.

2. Wote walipendwa na watu wengi na kuwa Gumzo Africa Mwanzoni mwa utawala wao. Kwa umaarufu wake 1975 Idd Amini Dada alikuwa Mwenyekiti wa umoja wa Afrika na July aliongooza kikao maarufu cha Oau na aliweka ajenda ya kuwatoa wazungu Namibia na South Africa kwa mtutu. Ila hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na jirani mojawapo. Ilikuwa kwa Idd Amin na Nyerere na tz ya Magufuli na Kenya.

3. Hawakuvutiwa na wazungu. Wakati Idd Amini Dada akivunja Hadi uhusiano wa kibalozi na Uingereza 1977. Na kuweka urafiki na Saud Arabia na Libya waliompa mka ndege na wanajeshi kwenye Vita ya kagera. Kwetu huku tuliwaita wazungu makaburu na tulijaribu kuwavutia waarabu Kama Utawala wa Morocco na tukaahidiwa uwanja wa Mpira Dodoma. Sema hatukufanikiwa Sana sababu Sasa nchi za mashariki ni dhaifu Sana kiuchumi.

4. Wote hawakuamini Sana Wanawake. Kuna wakati Idd Amini Dada aliongooza balaza la mawaziri lenye mwanamke moja tu. Huku licha ya kuwa na mwanamke makamu wa Raisi. Na katiba kusisitiza usawa wa kijinsia Kuna wakati katika nafasi za wabunge wa Raisi waliteuliwa Hadi wabunge sita kiume kimakosa kwenye nafasi ya mwanamke. Inabidi mbuge mwingine apewe ubalozi. Na nafasi nyingi wanawake walisua sua.

5. Wote walikuwa wacheshi na wakati mwingine wakali. Wapenzi wa michezo. Idd Amini Dada aliweza kupiga gitaa, kinanda na ngoma vizuri. Na zipo picha za jpm akipiga ngoma.

6. Wote waliamini katika Mungu. Spichi zao nyingi ziliingiza maswala ya Imani. Waliweka urafiki na viongozi wa dini tofauti na dini zao. Idd Amini Dada alikuwa rafiki na askofu Lowum Ambaye baadae walikuja kukosana.

7. Wote kufikia mafanikio hawakutaka saana kufata Sheria. Mfano idd Amini Dada alitaka jambazi akipatina na ushaidi upo wasiisubiri mahaka wamalize uko uko.

8. Wote hawakupenda kukosolewa. Ila kwa wakati ule ilikuwa NI hatari zaidi kumkosoa Amini. Kwani aliamini kuwa ukimkosoa umetumwa na magharibi.

9. Wote hawakuwa na uhusiano mzuri Sana na wafanyabiasha wakubwa. Waliamini NI wezi na wanyinyaji. Mfano Idd Amini Dada aliwapokonya Mali, fedha na kuwafukuza wahindi Uganda. Huku hao watu inasemekana wapo walioporwa na tra fedha kwenye ac na kesi za uhujumu uchumi. Hapo Dada alikuwa muwazi Sana.

Wote waliamini katika ununuzi wa vitu vya garama serikalini. Idi alinunua ndege nyingi na vifaru vya kivita huku raia wake uchumi ukishuka na bongo tulinunua ndege huku watu.

10. Hakuna ushaidi wowote kuwa ata moja wao alikuwa mwizi. Wote hawakuwa na account za fedha nje ya nchi wakiwa madarakani.

11. Sio watu wa diplomasia au democracy in nature.

12. Walipendwa watu wa chini kabisa. Idd Amini Dada alikuwa Raisi wa kwanza duniani aliyeamuru wafanyakazi wa Uganda walipewa mshahara kila rth 23 na kufanikisha Hilo kutoka walipokuwa wanakaa miezi kadhaa bila mishahara.

13. Wote waliongoza kwa mbwembwe. Mfano Kuna mkutano wa adhra Uganda Idd Amini alimteua daktari wa kawaida kuwa mganga mkuu baada ya kutamka mapungufu kwenye hospital.

Kasoro kubwa iliyobadili Taswira ya Idd Amini Dada ni ubabe na kutokukosolewa, mzaha na dharau. Kuamini kilakitu kinaisha kwa nguvu. Mfano Aliivamia Tanzania sababu makundi mengi ya waasi wa Uganda Viongozi wao walikuwa Tanzania akina mseveni Enzi hizo. Hakutumia mbinu za kidiplomasia.

14. Wote walipenda Sana kuonekana kwenye vyombo vya habari. Vikao vyake na mawaziri na kila alichokifanya waliweka kwenye media za nchi yake.
15. Walipenda kusifiwa na kuogopwa. Ile habari ya mkurunjenji Mimi NI mkurunjenji. Iliwakuta wachungaji wa makanisa yaliyopigwa marufuku Uganda. Baada ya idd Amini kuwaita kwa kosa la kuhubiri na wakijua idd Amini ndio Sheria aliwauliza mi NI Nani. Moja wao alijibu. Wewe NI General Idd Amini Dada, fieldmarsho, king, the conquer of British Empire, the only president for life Basi jamaa akacheka akawasamehe.
16. Wote walituhumiwa kuweka watu wa karibu au ndugu sehemu nyeti. Maliyamungu inasemekana alikuwa NI mpwa wake ndie aliyekuwa mkuu wa vikosi vya ulinzi. Huku kelele za mlipaji mkuu na upwa zilikuwepo pia huku kwetu.
17. Wote walipenda kila mwananchi achape Kazi, hawakutaka uvivu au kuwa na mtu tegemezi ktk taifa.

18. Wote waliibuka kutoka familia zenye maisha ya chini Hadi kuwa watawala. Hakuna ndugu au wazazi wao waliojulikana katikauongozi wowote Kama uchifu au uongozi wowote wa juu Kama ulivyo kwa viongozi wengi wa Africa.

19. , wote waliimiza matumizi ya kiswahili. Idd Amini ndie alisisitiza kiswahili kuwa Lugha ya Jeshi la Uganda na hawakuwa wazungumzaji wazuri wa kiingereza. Idd Amin Aliongea kiingereza kwa shida zaidi

Kitu ambacho kilimchafua Idd Amin Kwa watanzania, moja alimtoa madarakani rafiki wa nyerere Obote, Pili Vita ya kagera na tatu Propaganda za wazungu na hasa ile filamu ya kuigiza inayomuhusisha na kila nyama za watu kitu ambacho hakiwezi kusibitishwa Hadi Leo ingawa alitokea jamii yenye Tania hizo. Idd Amini alizidisha chuki dhidi ya wazungu na mbaya zaidi alikalibisha na kuwashika mateka raia wa Israel.

Tofauti kubwa waliokuwa nayo Amini aliingia kijeshi, pia Amini aliingusha Sana sarafu ya Uganda uku Magufuli alijitahidi kuidhibiti.
 
Wakati Idd Amin Dada anaingia madarakani ndiyo tu nilikuwa nimezaliwa. Sijui alitawala vipi zaidi ya kusoma historia na kumbukumbu za utawala wake...

Lakini utawala wa Magufuli unayemlinganisha naye, nimeushuhudia nikiwa mtu mzima na umeniathiri kwa kiwango kikubwa...

Nikirudi kwa IDD AMIN DADA, kama kumbukumbu ya historia ya matendo ya utawala wake iliyohifadhiwa kwa picha na video za filamu mbalimbali zinazoonesha alivyokuwa katili zilizopo mitandaoni ni za kweli, basi mimi nachelea kusema kuwa huyu mtu alikuwa katili sana kuliko ulivyoeleza hapa...

Mfano, kuna kumbukumbu ya picha na video zinaonesha ktk matukio tofauti tofauti Iddi Amin Dada akitoa amri au yeye mwenyewe akiua kwa risasi hadharani baadhi ya maafisa wa serikali yake kwa kile anachoeleza kuwa ni kwa sababu ya usaliti....

Hayati John Pombe Magufuli, alikuwa mtu mzuri sana. At first lianza vizuri na mimi nilikuwa mmoja wa mashabiki wake. Lakini kafuri muda ulivyienda akaanzakubadilika na kuanza kufanya makosa kidogo kidogo....

Na kasoro yake kubwa iliyomharibia kila kizuri alichokuwa nacho na kukifanya ni namna alivyowa - treat wakosoaji wake na kuamini kuwa mambo yote yanaweza kutatuliwa kwa mabavu tu kwa kupuuza sheria na katiba...

Mathalani; alifanya makosa makubwa sana kutesa, kuteka na kumpoteza kila aliyemdhania anakwamisha mipango yake...

Na the greatest mistake of all times during his administration, lilikuwa ni kujaribu kumuua Tundu Lissu kwa staili ile ya kijinga na kipumbavu kabisa mchana kweupe na mahali peupe kama pale AREA D, Dodoma...

All in all, Magufuli alikuwa hajafikia ukatili wa IDD AMIN DADA. Labda asingekufa na angeendelea ktk miaka hii mitano tuliyonayo (2020 - 2025), possibly angefikia ukatili wa dikteta halisi....!!
Thus Mungu alimpangia majukumu mengine Ili asifikie kiwango cha idi amin.
Madikteta wote wanafanana kwa maana wote ni luciferiors.
Na wote wapo kuzimu.
 
... the Marshal of the Republic of Uganda.
His Excellency, President for Life, Field Marshal Al Hadji Doctor Idi Amin Dada Oumee , VC, DSO, MC, CBE, Lord of All the Beasts of the Earth and Fishes of the Seas and Conqueror of the British Empire in Africa in General and Uganda in Particular
 
Stallin aliuwa warusi zaidi ya milioni 9, mazishi yake ndiyo yanayoongoza kwa kuhudhuriwa na watu wengi Duniani - hao walioitwa wanyonge.

Dikteta anachofanya, ni kama alivyokuwa anafanya marehemu Magufuli hapa kwetu, kuua uhuru wa vyombo vya habari, kuua uhuru wa maoni, baada ya hapo kinachofuata ni kusikia habari za kumsifia yeye tu. Wenye akili ndogo, baadaye huchotwa akili zao na hizo sifa za hila. Ndiyo maana hata hapa kwetu, ni vigumu sana kumwona mtu mwenye akili tamu kabisa, mwenye akili huru, na mkweli wa nafsi yake, akausikia utawala wa Magufuli. Wengi wanaosifia ni ama wenye elimu ndogo, wenye akili kidogo ja watu wanafiki.
Na wengi wako facebook na Instagram
 
NI Nani. Moja wao alijibu. Wewe NI General Idd Amini Dada, fieldmarsho, king, the conquer of British Empire, the only president for life Basi jamaa akacheka akawasamehe.
 
Wewe ulikuwa fisadi na Muuza ng'ada uliyekubuu ndio maana bado unalilia pamoja na Jpm kumaliza mwendo wake.Sisi tunamwona Jpm alikuwa Rais bora kutokea Afrika mzima sio Tanzania tu,Sikiliza hotuba za marais waliokuja kwenye mazishi yake Dodoma, Rais aliyejivunia utanzanzania wake,akupiga goti kwa mabeberu apate msaada, alifanya Mambo ambayo yaliwashinda marais wengine waliomtangulia miaka 40, according Ally Mwinyi tena akayafanya kwa miaka 5tu ,ni wivu tu ndio unaowasumbua.
Unazungumzia maraisi wa Afrika?
Akina Museveni ?
Aisee!
 
Dah! Kweli wanafanana aiseee !!
Ha ha ha haa.

Tena Idi aliiba sehemu ya ardhi yetu JWTZ wakairudisha.
Na Idi akishambulia Bugando hospitali.
Alikua adui wa kipenzi Chetu Baba wa Taifa.
Kwa hiyo huyu wa kwetu kufanana na Idi ni laana aisee.
Idi alikua adui wa taifa.
 
Yaani ulivyoandika,inaonekana una uelewa mdogo. Kudhibitishwa-kusibitishwa
Hata-atalafu namba 16 umedanganya
 
Yaani ulivyoandika,inaonekana una uelewa mdogo. Kudhibitishwa-kusibitishwa
Hata-atalafu namba 16 umedanganya
Narudia inasemekana mlipaji mkuu alikuwa mpwa. Ndugu sehemu nyeti kwenye Vita ya kiuchumi. Na maliyamungu alikuwa mkuu wa vikosi vya jeshi mpya wa idd Amin.
 
Back
Top Bottom