Hahaha fala sana dogo wewe...
Haya kapige zako wali harage wa buku jero kwa mama amina hapo ukalale
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama anayo hiyo buku jero[emoji23][emoji23][emoji23] vinginevyo anywe maji ya 'kudanilodi' alale.Hahaha fala sana dogo wewe...
Haya kapige zako wali harage wa buku jero kwa mama amina hapo ukalale
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinasaidia kupunguza stress kwakweli.Safi sana, nyuzi zako zinanifurahisha sana ahahahahaha
Kiduku Lilo Hapo Home kuna sehem ya kuvutia ganja kwa amani? Wengine kushiba lazima tumalizie na kukumoshiUtakula mkuu siyo issue kubwa sana. Chakula kitakuwepo cha kutosha. Hii catering nliyowakodi ndo huwa wanaandaa dhifa za kimataifa pale Ikulu.wapo fresh sana.mimi wamenifanyia plate moja tsh 130,000 sababu jamaa anayeimiliki nliwai msaidia one time alikuja USA akapungukiwa pesa za matumizi.so nlimpa kiasi flani.amekuwa kama ndugu though amenizidi sana umri.alitaka anifanyie bure nlimwambia hapana.kama hela ninazo nitumie tu why nifanye ubahili?
Kiduku Lilo Hapo Home kuna sehem ya kuvutia ganja kwa amani? Wengine kushiba lazima tumalizie na kukumoshi
Kama anayo hiyo buku jero[emoji23][emoji23][emoji23] vinginevyo anywe maji ya 'kudanilodi' alale.
Sent using Jamii Forums mobile app