Jinsi navyoteseka moyoni. Nahitaji faraja yenu ndugu zanguni

Jinsi navyoteseka moyoni. Nahitaji faraja yenu ndugu zanguni

Utakula mkuu siyo issue kubwa sana. Chakula kitakuwepo cha kutosha. Hii catering nliyowakodi ndo huwa wanaandaa dhifa za kimataifa pale Ikulu.wapo fresh sana.mimi wamenifanyia plate moja tsh 130,000 sababu jamaa anayeimiliki nliwai msaidia one time alikuja USA akapungukiwa pesa za matumizi so nlimpa kiasi flani.amekuwa kama ndugu though amenizidi sana umri.alitaka anifanyie bure nlimwambia hapana kama hela ninazo nitumie tu why nifanye ubahili?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kmmmke kiduku lilo in the m.i.c! We jamaa ni shida sana.
 
Aiseee.
Huyu jamaa katajirika ndani ya mwaka mmoja 2019. Mana wakati anajiunga mwishon mwa 2018 alikuwa masikini wa kujitupa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Its ok. You just come on saturday hayo mengine yasikupe shida dada yangu.karibu sana usikose ili uje wasimulia na wengine.waone tofauti ya surviving and living hapa duniani.


[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wanakuzingua na nini Boss
Imeona request yangu ya Shopping Voucher lakini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom