ππππhapa nawaza kwenye stoo yako vitu ulivyoweka maana vyakula hivyo si vitaharibika?Utakula mkuu siyo issue kubwa sana. Chakula kitakuwepo cha kutosha. Hii catering nliyowakodi ndo huwa wanaandaa dhifa za kimataifa pale Ikulu.wapo fresh sana.mimi wamenifanyia plate moja tsh 130,000 sababu jamaa anayeimiliki nliwai msaidia one time alikuja USA akapungukiwa pesa za matumizi.so nlimpa kiasi flani.amekuwa kama ndugu though amenizidi sana umri.alitaka anifanyie bure nlimwambia hapana.kama hela ninazo nitumie tu why nifanye ubahili?
Tajiri Hajibu PM jamani!!!!!!!Mtakaoenda jamani tunasubiri vipicha picha
Hahahh usiniambie umempm mama
Nimempm... Anapiga kimya tu... Mweeeeeh!!!Hahahh usiniambie umempm mama
Hahaha ukijibiwa pm niambie na mimi nitumeNimempm... Anapiga kimya tu... Mweeeeeh!!!
Akirudi hapa atakuja kusema alikuwa anaweka mafuta moja ya Magari yake ya Kifahari.... Ha ha ha
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu mko serious
Sasa tufanyeje Boss Wangu?Watu mko serious
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kuwa mpole, huenda zile AC zake heavy-duty zimempuliza vya kutosha hivyo kalala huku akiiota Jeep zake. Akiamka atakujibu, kakika utatuwakilisha wana jf sote kwenye 'pati'