🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kmmmke kiduku lilo in the m.i.c! We jamaa ni shida sana.Utakula mkuu siyo issue kubwa sana. Chakula kitakuwepo cha kutosha. Hii catering nliyowakodi ndo huwa wanaandaa dhifa za kimataifa pale Ikulu.wapo fresh sana.mimi wamenifanyia plate moja tsh 130,000 sababu jamaa anayeimiliki nliwai msaidia one time alikuja USA akapungukiwa pesa za matumizi so nlimpa kiasi flani.amekuwa kama ndugu though amenizidi sana umri.alitaka anifanyie bure nlimwambia hapana kama hela ninazo nitumie tu why nifanye ubahili?
Kuwa mpole, huenda zile AC zake heavy-duty zimempuliza vya kutosha hivyo kalala huku akiiota Jeep zake. Akiamka atakujibu, kakika utatuwakilisha wana jf sote kwenye 'pati'
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kmmmke kiduku lilo in the m.i.c! We jamaa ni shida sana.
Sio muda mrefu utakua Platinum member. Nunua Jamiiforums
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Binafsi nataka kuinunua JF lakini naona kama kuna mizengwe flani
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wanakuzingua na nini Boss
Imeona request yangu ya Shopping Voucher lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Its ok. You just come on saturday hayo mengine yasikupe shida dada yangu.karibu sana usikose ili uje wasimulia na wengine.waone tofauti ya surviving and living hapa duniani.
surviving na livingIts ok. You just come on saturday hayo mengine yasikupe shida dada yangu.karibu sana usikose ili uje wasimulia na wengine.waone tofauti ya surviving and living hapa duniani.
Hahahahah jamaa ana Tambo.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tajiri wa JF.. Na Wamuacheeeeee...
Sent using Jamii Forums mobile app