Jinsi ndege ya Rais Habyarimana ilivyotungiliwa

Jinsi ndege ya Rais Habyarimana ilivyotungiliwa

We jamaa ni hopeless sana.
Umeandika kidogo tu unasema umechoka sa si bora usingeweka uzi wako huu
 
Naitafsiri kidogo Ile posting ya JF ya Jager Master ya Sec, 2011.

Hii makala ya 2001, imeandikwa na kachero Wayne Madsen. Anasema Marekani Wana kambi Cyangugu, Rwanda karibu na mpaka wa Congo.

Wizara ya Ulinzi ya Marekani mara nyingi inaàjiri PMC (private military contractors) ambao zamani walikuwa wanaitwa 'mamluki'. Haya mambo yameandikwa 2001.

Hawa Marais waliopo madarakani sasa hivi Uganda, Rwanda, Ethiopia, Angola, Eritrea na DRC wanaongoza nchi nchi zenye vurugu kubwa za kikabila na kisiasa ambazo zinawezesha kampuni za madini za kimataifa kupeana mali za Afrika.

Hizi kampuni nyingine zinashirikiana na PMC zilizotajwa hapo juu. Kwa mfano, American Mineral Fields Inc,ambayo ilishiriki sana katika kumuweka hayati Laurent- Desire Kabila madarakani. Kampuni hiyo inamilikiwa kwa kiasi kikubwa na washirika wa Bill Clinton.

Pia, lengo moja kubwa la RCD, Warwanda wanaopigana Congo dhidi ya Kasbila ni kuwasaidia Barrick Gold kupata madini.

Sasa hivi,Barrick na makumi ya makampuni ya madini yanachochea mgogoro wa Congo.

Vurugu za sasa, Afrika ya Kati zinasababishwa kwa kiasi kikubwa na tukio la Aprili 6,1994, liliporushwa kombora kwa ndege iliyokuwa imembeba Rais wa Rwanda, Mhutu,Juvenal Habyarimana,na mwenzake, Rais wa Burundi, Cyprien Ntaryamira.

Oh, I am dead tired. Nitaendelea kesho. Inatoa ushahidi mwingi, kuliko unaohitajika kuonyesha Kagame kaitungua ile ndege. Pia unasema hawa watu ndio waliomuua Director wa TISS.. Labda, hakuna haha ya kuendelea(kesho). Yaliyoandikwa yanatosha.
mtu chake zitto junior JokaKuu Moronight walker wa kupuliza pitieni hapa tafadhali...

Mzimu wa mwaka 1994 huko Rwanda bado unasumbua tu maziwa makuu mpaka kesho na umegoma kutoweka.
 
Michael Hourigan,mwanasheria wa Australia anasema,"Sisi tulikuwa UNO tunashughulika na hili swala, lakini wakubwa wetu kule walikuwa wanatukwamisha.
Baada ya hao majasusi watatu wa RPF kutoa hizo habari,waliungwa mkono na jasusi mwingine wa zamani wa RPF, Jean-Piere Mugabe. Mugabe alisema mauaji na lile kombora yaliongozwa na Kagame na 2i/c wake James Kabarebe.
Jasusi mwingine wa RPF,Christophe Hakizebara,aliwaambia UNO kwamba "taifa la kigeni" lililoisaidia RPF lilikuwa Uganda. Hakizabera alisema mkutano wa kwanza na wa pili wa kufanya mipango ilifanyika Uganda katika miji ya Kabale na Mbarara,wa tatu ulifanyika Machi 2994,Bobo-Dioulassi,Burkina Faso,ambapo Kagame alihudhuria.
Kama kawaida yake,UNI ilipuuzia ushahidi huu uliotolewa.
Uchunguzi wangu,ambao nimefanya kwa miaka minne,unaonyesha haya makombora yalitekwa na Marekani katika Vita ya Desert Storm na yakaletwa na CIA kupitia Cairo,Misri. Uganda ikaweka baadhi, mengine ikawapa SPLA na RPF.
 
Ushahidi mwingine ni ushahidi wa redio: watu wenye radio receivers, wanajeshi au redio za kiraia katika eneo lile walisikia radio ya RPF inatangaza,"Target imepigwa."
Pia alikuwepo mtu wa radio wa Ubelgiji katika eneo lile, ambaye alisema alisikia tangazo kutoka kwenye redio ya PMC ya Kibelgiji ikitangaza,"Tumemuua Le Grand( Habyarimana). PMC ndio wale mamluki waliotajwa.
Pia Mbelgiji huyo anasema baada ya yale mauaji wanajeshi wote wa Rwanda walichanganyikiwa,jambo ambalo lisingeweza kutokea jama wao wenyewe ndio walikuwa wamemuua Rais wao.
Baada ya ajali,black box,kisan duku cheusi kilichukuliwa kikapelekwa New York,UN Hq,,kupitia Nairobi,ambako kipo mpaka leo. Serikali ya Marekani inawakataza UN kutangaza habari zilizomo ndani ya hiyo black box.
Mystere-Falcon,ndio jina la Ile ndege, ilikuwa inakwenda kutua kwenye airport ya Kayibanda, lakini siku Ile jioni shambulizi lilipotokea,RPF walikuwa wanathibiti maeneo mengi kuzunguka airport,na mamluki walioajiriwa na RPFna shirika la ujasusi la Marekani waliitungua Ile ndege. CIA imetajwatajwa sana UN ilipokuwa inafanya uchunguzi wa hii ajali .
Msako wa wauaji uliwapeleka wachunguzi wa UN mpaka kwenye warehouse ( godown) pale Kayibanda airport ambapo wale mamluki waliweka missile launcher zao. Ilikuwa ni warehouse inamilikiwa na kampuni ya KiSwiss. Wachunguzi wa UN walipokaribia kufikia uamuzi wao wa mwisho na kukabidhi ushahidi wao,hii kampuni ikamaliza mkataba wake upesi.
 
Inaelekea kwamba Marekani imehusika sana katika mauaji ya halaiki ya Rwanda lakini wao wenyewe wanapinga. Pia Marekani wakaendelea kushirikiana na Rwanda na Uganda katika uvamizi wa Congo
Halafu sasa hivi alipouawa Laurent-Desire Kabila Rwanda wanashukiwa kuhusika wakisaidiwa na CIA.
CIA wanashukiwa kumuua Kabila,kwa sababu hata ukitazama tarehe aliyouawa Kabila ni miaka arobaini kamili baada ya kifo cha Lumumba. Lumumba aliuawa Jan 17,1961. Kabila aliuawa Jan 16,2001.
Halafu ghafla mtoto wake , Joseph Kabila akatangazwa kuwa Rais,halafu ghafla akaenda Marekani kuonana na mabepari. Inatoa mashaka sana.
Halafu ilikuwepo memo ya CIA ,miezi michache kabla ya mauaji ya halaiki kutokea Rwanda iliyokuwa inasema,kama,kwa mfano, Habyarimana akiuawa,yatatokea mauaji ya watu wasiopungua 500 na wasiozidi 500,000.
 
Kuna sababu za kuamini kwamba watu kadhaa waliokuwa wanazifahamu njama za Kagame waliuawa. Kwa mfano Mkuu wa zamani wa TISS Major General Imran Kombe ambaye alipigwa risasi na polisi kwa kufikiriwa kwamba yeye ni mwizi fulani sugu wa magari. Kombe alikuwa anafahamu siyo tu njama ya kuwaua Marais wa Rwanda na Burundi, lakini pia alikuwa anafahamu njama za kumuua Moi,Rais wa Kenya na Rais Mobutu .
Sasa,kwa nini Habyarimana akiuawa? Kwa sababu alikuwa kibaraka,alikuwa rafiki wa France na Belgium. Hii ripoti ya huyu kachero inaishia hapa.
Ripoti nzuri ya kijasusi, lakini from my point of view,I see things a bit differently. Ile vita, Laurent Kabila alipokelewa vema na WaCongomani. It was mostly a March to Kinshasa.
Wale watu walikuja Dar kuongea na Mwalimu Nyerere, wakamwambia,Kama unavyoona kwenye vyombo vya habari,Tumeamua kumwondoa Mobutu. I was there. Wakaongea na Mwalimu for some time,halafu wakasimama kumuaga na kuondoka. Wakamwambia Mwalimu,"Mwalimu tutakupa briefing tena na tena kuhusu kampeni yetu." Mwalimu akasema,"Ah. That will be fine. Kwa sababu itamaanisha kwamba nimi ndio nitakuwa...nitakuwa", Mwalimu alikuwa nadhani anataka kusema,"Mimi ndio nitakuwa Mastermind"
Indeed Mwalimu ndie aliyepangiwa kuiongoza Ile vita, lakini hawakumwambia. Wale wafadhili wa Kabila, hao watu waliowatuma Kagame na Museveni waiteke Zaire walitaka Mwalimu Nyerere ashirikishwe.
Kwa hiyo Mobutu akaondolewa. Wakafanya mkutano mwisho wa vita. Mobutu akafika ( in a wheelchair). Mambo yalimalizika kistaarabu.
Kabila alichaguliwa kuyaongoza yale Mapinduzi kwa sababu alikuwa part of what they called the "Nyerere Kindergarten." Nyerere Kindergarten ndilo wale Wazungu walivyokuwa wanawaita wanasiasa wote wa eneo hili ambao walikuwa influenced na Nyerere.
Kwa hiyo wakaona ni bora wamshirikishe,the man from Edinburgh,no doubt kwa sababu walikuwa wanataka kuzuia watu wengine 800,000 wasiuawe.
 
Naitafsiri kidogo Ile posting ya JF ya Jager Master ya Dec, 2011.

Hii makala ya 2001, imeandikwa na kachero Wayne Madsen. Anasema Marekani Wana kambi Cyangugu, Rwanda karibu na mpaka wa Congo.

Wizara ya Ulinzi ya Marekani mara nyingi inaàjiri PMC (private military contractors) ambao zamani walikuwa wanaitwa 'mamluki'. Haya mambo yameandikwa 2001.

Hawa Marais waliopo madarakani sasa hivi Uganda, Rwanda, Ethiopia, Angola, Eritrea na DRC wanaongoza nchi nchi zenye vurugu kubwa za kikabila na kisiasa ambazo zinawezesha kampuni za madini za kimataifa kupeana mali za Afrika.

Hizi kampuni nyingine zinashirikiana na PMC zilizotajwa hapo juu. Kwa mfano, American Mineral Fields Inc,ambayo ilishiriki sana katika kumuweka hayati Laurent- Desire Kabila madarakani. Kampuni hiyo inamilikiwa kwa kiasi kikubwa na washirika wa Bill Clinton.

Pia, lengo moja kubwa la RCD, Warwanda wanaopigana Congo dhidi ya Kasbila ni kuwasaidia Barrick Gold kupata madini.

Sasa hivi,Barrick na makumi ya makampuni ya madini yanachochea mgogoro wa Congo.

Vurugu za sasa, Afrika ya Kati zinasababishwa kwa kiasi kikubwa na tukio la Aprili 6,1994, liliporushwa kombora kwa ndege iliyokuwa imembeba Rais wa Rwanda, Mhutu,Juvenal Habyarimana,na mwenzake, Rais wa Burundi, Cyprien Ntaryamira.

Oh, I am dead tired. Nitaendelea kesho. Inatoa ushahidi mwingi, kuliko unaohitajika kuonyesha Kagame kaitungua ile ndege. Pia unasema hawa watu ndio waliomuua Director wa TISS.. Labda, hakuna haha ya kuendelea(kesho). Yaliyoandikwa yanatosha.
Kagame na congo ugomvi wao upo hapa na wacongo wamesha mchoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya hii ndege kutunguliwa, Serikali ya Rwanda ikaanzisha yale mauaji ya halaiki ambapo watu 800,000 waliuawa. Baadaye RPF wakalipiza kisasi kwa kuua Wahutu 500,000,wengi wao wakiwa wakimbizi waliokuwa Zaire.

Watu walioutungungua Ile ndege mpaka leo hawajulikani ni kina nani,na hawajafikishwa mahakamani.

Umoja wa Mataifa ukifanya uchunguzi ukashindwa kuwapata. OAU ilifanya uchunguzi ikashindwa kuwabaini.

Mwaka 1988,Jaji wa zamani wa Ufaransa ,Jean-Louis Bruguire,alichunguza kushambuliwa kwa Ile ndege. Baada ya kuzungumza na mashahidi Switzerland,Rwanda, Tanzania,na Russia,Bruguire inaelekea ana ushahidi wa kutosha kuamuru hati ya kimataifa itolewe kumkamata Kagame.

Jaji mwingine mstaafu wa Ufaransa, Thiery Jean-Piere,ambaye sàsa ni Mbunge wa Bunge la Ulaya,katika uchunguzi mwingine kabisa wa kibinafsi alifikia uamuzi kwamba Kagame alikuwa nyuma ya shambulizi Hilo.

Wakati shambulizi hilo lilipotokea,RPF ilikuwa inasaidiwa na Marekani na Uganda.
Kabla ya shambulizi, miezi mitatu kabla ya shambulizi Jenerali Kagame alikuwa Fort Leavenworth, Kansas, kwenye General Staff College akipata mafunzo ya kijeshi,pamoja na mafunzo ya SAM( Surface to Air Missiles),katika kambi ya Air Force ya Barry Goldwater, Arizona.
Huyu jamaa hata motoni hato kaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kutoa ushahidi mbele ya Kamati ya uchunguzi ya Ufaransa ( kumbuka Ile ndege ilikuwa inaendeshwa na rubani Wafaransa), Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Ufaransa,Bernard Debre alisisitiza kwamba makombora maeili ya SAM-16 yaliyotumika katika hilo shambulizi yalikuwa yametokea katika Jeshi la Uganda, ambayo probably walipewa na Marekani kutoka katika Vita ya Ghuba.

Aliungwa mkono na wakuu wawili wastaafu wa idara ya ujasusi ya Ufaransa (DFSE) Jacques Dewatre na Claude Silberzahn.

Waziri wa Ulinzi wa Habyarimana, James Gasana, aliyekuwa Waziri wa Ulinzi kuanzia April 1992 mpaka July 1993 alisema hawakuona sababu ya kupoteza fedha kununua SAM,kwa sababu RPF walikuwa hawana ndege. Kwa hiyo siyo sahihi kusema Wahutu waliitungua Ile ndege.

Haya maelezo ya hawa officials wa serikali ya Ufaransa DFSE yanaungwa mkono na majasusi wa zamani wa RPF ambao walitoa ushuhuda kwa U. N.

Hawa wanasema ndege ilitunguliwa na kikosi cha watu kumi cha RPF. Hizi ripoti alipewa Mkuu wa ule uchunguzi, Jaji Louise Arbor wa Canada ambaye hakuufanyia kazi,hasa alipoona Rwanda wanashutumiwa.
Duh!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Michael Hourigan,mwanasheria wa Australia anasema,"Sisi tulikuwa UNO tunashughulika na hili swala, lakini wakubwa wetu kule walikuwa wanatukwamisha.
Baada ya hao majasusi watatu wa RPF kutoa hizo habari,waliungwa mkono na jasusi mwingine wa zamani wa RPF, Jean-Piere Mugabe. Mugabe alisema mauaji na lile kombora yaliongozwa na Kagame na 2i/c wake James Kabarebe.
Jasusi mwingine wa RPF,Christophe Hakizebara,aliwaambia UNO kwamba "taifa la kigeni" lililoisaidia RPF lilikuwa Uganda. Hakizabera alisema mkutano wa kwanza na wa pili wa kufanya mipango ilifanyika Uganda katika miji ya Kabale na Mbarara,wa tatu ulifanyika Machi 2994,Bobo-Dioulassi,Burkina Faso,ambapo Kagame alihudhuria.
Kama kawaida yake,UNI ilipuuzia ushahidi huu uliotolewa.
Uchunguzi wangu,ambao nimefanya kwa miaka minne,unaonyesha haya makombora yalitekwa na Marekani katika Vita ya Desert Storm na yakaletwa na CIA kupitia Cairo,Misri. Uganda ikaweka baadhi, mengine ikawapa SPLA na RPF.
M7 naye mshenzi ndio maana wanatunishiana vifua tu na kutumiana EBOLA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom