Mabeste wa kwenye Press play na sirudi tena unaweza kumlinganisha na Unju au Singasinga kwenye ngoma gani?Mabeste n rapper Bora Sana Ila hapo kwa unju na singasinga hajafikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata uwe tajiri wa namna gani watu tukiamua kumchukua mkeo tunamchukua tu, watu wanaodhani mapenzi ni pesa nawaonaga malofa sana.Anatakiwa abadilishe ukubwa wa jina lake kwenda kwenye kipato.
Otherwise ataendelea kulalamika kunyanganywa wanawake.
Maisha ya wawili hao yalikuwa maarufu zaidi kupitia mtandao wa instagram ambapo watu wengi zaidi pasi kujua nyuma ya pazia ya maisha yao walikuwa wakifurahia familia yao na kutamani kuwa kama wao.
Kuna la kujifunza hapa kwenye hii habari; MAISHA YA INSTA YAKO TOFAUTI SANA NA MAISHA HALISI. WAKATI WATU WANASTAILI KUONEWA HURUMA, WEWE UNATAMANI MAISHA YAO!
Ungeeleza hatufuatilii kipi ingekuwa vyema zaidi.Watu humu wengi sio wafuatiliajo wa mambo halafu kujikuta ujuaji.
Question is alizungumza radio gani au ndio kwenye maujinga ya vi YouTube channels vya kishamba hivi ambavyo siwezi hata kuviongezea views?Aliyeanza kuongea ni MABESTE aanzae mmalize. Yeye kaanza kumkandia ex wife maneno kibao ofcourse hata mimi nilikua upande wake. Kuja kumsikiliza lisa nikabaki OMG najuta.
Hili mimi ndilo nalolikataa hata marehemu Pancho akifufuka atakufumua makofi au Hermy B akisoma hili anaweza aka lost in words mapema sanaa.Mabeste livivu linakaa tu kutegemea mwanamke atafute.
Mabeste aliwahi kuimba katika ngoma yake ya Headache "altitude yako ndo itastop altitude zao"Mwanaume yuko radhi afanye kazi za nyumban ashinde na watoto lakini asitoke nje kutafuta. Huyo ni mke au mume?
Wewe umemsaidia nani kwenye maisha yako isitoshe hujawahi kuuguza mtu aliyekaribia kifo na akapona ndio maana huelewi haya, na hapa ndo yanapokujaga majibu ya kishamba eti "kusaidia kwangu hadi ujue wewe" pumbaaavuKumsaidia kipindi anaumwa sio justification ya kumnyanyasa. Kila mtu kuna mtu amemsaidia maishani mwake lakini maisha yameendelea. Dume vivu mfyuuuu. Huyo lisa alijua kumvumilia dume suruali.
Mwana ukiisikia hiyo interview, straight utachukua upande wa Lisa.
Sijasikia hiyo issue ya miezi mitatu, sijui mwandishi kaitoa wapi.
Lisa kasema, Mabeste alihamia kwake Lisa, na kwa kipindi chote cha mahusiano yao, kama Mabeste kachangia basi ni 20%. Kilichomuuma Lisa mpaka kuibuka ni baada ya Mabeste kuanza kuzungumza kwenye media. So ikabidi na yeye aongee ili kuweka records clear.
BTW kulikuwa na tuhuma kwamba kwao Mabeste ndo walikuwa wanamchezea Lisa, hiyo anasema hata Mabeste amewahi kuwatuhumu ndugu zake.
Yan mim niliposikia kua Lisa analalamika kuwa jamaa hatimizi majukumu yake nimeamin kabisa.Ndio kasema hivyo? Na hiyo miezi 3 imekaaje? Univumilie, interview nitaisikiliza nikishawishika na maelezo uliyoyaleta maana tayari umeshaamua kuwa wakili wa Lisa.
Ungeeleza hatufuatilii kipi ingekuwa vyema zaidi.
Question is alizungumza radio gani au ndio kwenye maujinga ya vi YouTube channels vya kishamba hivi ambavyo siwezi hata kuviongezea views?
CMG walifuata January 14 yani juzi
Hili mimi ndilo nalolikataa hata marehemu Pancho akifufuka atakufumua makofi au Hermy B akisoma hili anaweza aka lost in words mapema sanaa.
Mabeste aliwahi kuimba katika ngoma yake ya Headache "altitude yako ndo itastop altitude zao"
Wewe umemsaidia nani kwenye maisha yako isitoshe hujawahi kuuguza mtu aliyekaribia kifo na akapona ndio maana huelewi haya, na hapa ndo yanapokujaga majibu ya kishamba eti "kusaidia kwangu hadi ujue wewe" pumbaaavu
.
That chick need to be controlled by her mother otherwise kataumia
Mwana ukiisikia hiyo interview, straight utachukua upande wa Lisa.
Sijasikia hiyo issue ya miezi mitatu, sijui mwandishi kaitoa wapi.
Lisa kasema, Mabeste alihamia kwake Lisa, na kwa kipindi chote cha mahusiano yao, kama Mabeste kachangia basi ni 20%. Kilichomuuma Lisa mpaka kuibuka ni baada ya Mabeste kuanza kuzungumza kwenye media. So ikabidi na yeye aongee ili kuweka records clear.
BTW kulikuwa na tuhuma kwamba kwao Mabeste ndo walikuwa wanamchezea Lisa, hiyo anasema hata Mabeste amewahi kuwatuhumu ndugu zake.
Livivu hii ni offensive word iondoe chuki zako peleka leba.Sasa kama hutaki kuongeza views huko utapataje taarifa? Au ndio unavizia taarifa nusu nusu ambazo zinaletwa kama hivi.
Halafu issue ya marehemu pancho hata lisa ameongelea kua mabeste alikua anataka afanye kazi na pancho tu hataki kwenda kwa wengine. Mchagia jembe si mkulima.
Madaktari wanatusaidia sana mahosptalini mbona hatuwalipii vile hutufanyia.
Wewe seems unamjua sana mabeste. Haya tuambie kwanini mabeste hapatani na ndugu zake? Kwanini livivu?
Sasa unakuta mtu hana kazi anashinda nyumbani lkn mwanamke akitoka kazini anaanza Adi kumtolea kikombe alichonywea chai asubuhi kwann malalamiko yasiwepo.Labda nikuambie kitu kimoja tuu mtoa maada, mwanamke akihudumia familia mwezi mmoja tuu basi mtaa mzima watajua
Hapo kwenye maada anasema alihudumia familia miezi 2 , sasa kipindi cha maisha yao yote nani alikua analipa bills?
Ndoa zinachangamoto hiyo iko wazi lakini wanawake wengi wako hivyo...
Hata kipindi nakua mzee wangu anaweza kutuma hela kwa bi Mkubwa ili akupatie, basi akikupatia anaanza kusema mi nawasomesha kwa pesa yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulichapa huyu dem anayeitwa lisa?? Auhuyu demu hakuna kitu..nilishachapa sana
huyo huyo
HahahaLivivu hii ni offensive word iondoe chuki zako peleka leba.
.
Mchagua jembe si mkulima ni uzamani ingelikuwa hivyo tuzingechagua waks wazuri wakuoa tungeparamia majanamke yoyote tu.
.
Pancho alikuwa chini ya Hermy B kwenys studio zinazoitwa B-hits
Mabeste kafanya kazi na makochali ngoma kibao tu hizo story apelekee wagonjwa wenzake maana kale sio kazima.
.
Siongezi views kwenye vichanel uchwara mimi nimeitazama clip nikujuapo.
Mabeste alikuwa hapatani na ndugu zake kwa sababu ha hako ka mwanamke ndio maana hata kalipougua ni kama walimtupa.
Angalau kamekwenda nyota ya Mabeste itang'ara tena
Alitoaje Wazo Wakati alikua Kitandani hajitambui, kwa maana hiyo Walikua Wanatuigizia.Hivi kuna mtu mbaya duniani kama yule anayefanya hata mazuri uliyoyafanya kuonekana kama ilikuwa ni nguvu zake binafsi !!!..
Lisa kafanya kulipiza ili amchoreshe mabeste kama ni GOOD FOR NOTHING hata kwa ile kampeni ya ugonjwa wake. That's totally bad
Mabeste kamuhangaikia sana regardless yeye ndiye aliyetoa wazo kama anavyosema maana mwisho wa siku ni jitihada na jina la mabeste ndo lilileta pesa. Sio IDEA
Either ways Kuna cha kujifunza
Yaani kasema hivyo kwenye media ...Au ??Familia yA Mabeste WACHAWI.