Sure! Kweli Mabeste alihangaika sana kuchangisha pesa ya kumtibia mke wake! Kumbe ndo kukaa tu vile! Tenda Wema Chapa lapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna lolote ule ulikuwa mpango tu wakupiga pesa .
Oa achana na hizi nyingine. Ndoa tamu sana
Hahaha hajawahi kuumwa huyo dem ile ilikuwa ishu ya kupiga pesa mi nawafaham kinaga ubaga....naomba niishie hapo
Mke wa Mabeste ana mdomo sana.
Nakumbuka wayback alimdanganya Mabeste ajitoe kwa Hammy B. Na huo ndio ulikuwa mwanzo wa Mabeste kupotea kwenye ramani.
Alimdanganya mwenzie akafulia, sasa hivi kamuacha na kumporomoshea matusi juu.
Wanawake muishi nao kwa akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake na huo ushenzi wao ndio kitu pekee tu ambacho hakiwatofautishi. Mwanaume kosa kazi hata mwezi tu hayo manyanyaso utakayopitia utajuta kuzaliwa. Ila mke anaweza ishi na wewe hata miaka 40 anapika na kupakua mi Hotpot ya wali nyama na kujinenepea kwa raha mustarehe hamna siku mume atamkosesha raha eti kisa anamlisha.
ukweli ni kwamba PESA ndio kitu kimewaachanisha, nyingine ni story tu.
Bado nipo nipo kuoa ni baadae sana kama wimbo wa mabeste
Enyi wanaume ukiona huna vitu vifuatavyo USIOE,
Akili
Nguvu za kiume
Uwezo wa kujikimu mkeo(uchumi wa kueleweka)
Utii wa mkeo upo kwenye vitu hivyo hapo juu kikipungua kimoja utadharauliwa na utalia machozi,,
Naona mnalaumu mwanamke hivi mwanamke vile ikumbukeni ile laana mtakula kwa jasho sasa we kaa ndani uliogope jasho heshima watapewa wanaume wenzio
Mwanamke laana yake ni kuzaa kwa uchungu sasa mkeo akitimiza hili ila wewe ukashindwa kula kwa jasho haustahili kupata utii wowote
Unaweza ukaoa ukiwa Timamu,Nguvu za nyati pamoja na uwezo mkubwa kifedha ila baada ya muda yote hayo yakapotea labda kwa magonjwa na mahangaiko ya maisha..Enyi wanaume ukiona huna vitu vifuatavyo USIOE,
Akili
Nguvu za kiume
Uwezo wa kujikimu mkeo(uchumi wa kueleweka)
Utii wa mkeo upo kwenye vitu hivyo hapo juu kikipungua kimoja utadharauliwa na utalia machozi,,
Naona mnalaumu mwanamke hivi mwanamke vile ikumbukeni ile laana mtakula kwa jasho sasa we kaa ndani uliogope jasho heshima watapewa wanaume wenzio
Mwanamke laana yake ni kuzaa kwa uchungu sasa mkeo akitimiza hili ila wewe ukashindwa kula kwa jasho haustahili kupata utii wowote
Wanawake tu ndo wataelewa uhalisia wa hivyo vitu hatukuumbiwa kula kwa jasho,, sitaki kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupaUnaweza ukaoa ukiwa Timamu,Nguvu za nyati pamoja na uwezo mkubwa kifedha ila baada ya muda yote hayo yakapotea labda kwa magonjwa na mahangaiko ya maisha..
Muhimu kuheshimu kiapo kuwa mtakuwa wote kwenye shida na raha!! Mpka pale kifo kitakapowatenganisha!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeachika
Una vitu vingi vya kujifunza Kwenye ndoa unaonekana bado mchanga.Nimeachika
Sawa vipi kuhusu lile agano la kuishi kwa shida na raha!??Wanawake tu ndo wataelewa uhalisia wa hivyo vitu hatukuumbiwa kula kwa jasho,, sitaki kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Ukiugua hapo itategemea hekima na uvumilivu wa mkeo,,
Hahaha Stry ndfu, bila umjini, ujanjaujanja