Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Jinsi ndoa ya Mabeste Ilivyovunjika

Aisee ..ana elements za kishetani kama Ni hivyo
Mke wa Mabeste ana mdomo sana.

Nakumbuka wayback alimdanganya Mabeste ajitoe kwa Hammy B. Na huo ndio ulikuwa mwanzo wa Mabeste kupotea kwenye ramani.

Alimdanganya mwenzie akafulia, sasa hivi kamuacha na kumporomoshea matusi juu.

Wanawake muishi nao kwa akili.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake na huo ushenzi wao ndio kitu pekee tu ambacho hakiwatofautishi. Mwanaume kosa kazi hata mwezi tu hayo manyanyaso utakayopitia utajuta kuzaliwa. Ila mke anaweza ishi na wewe hata miaka 40 anapika na kupakua mi Hotpot ya wali nyama na kujinenepea kwa raha mustarehe hamna siku mume atamkosesha raha eti kisa anamlisha.

Unakuta ramani zimekataa unaamka huna pa kwenda ila hizo lawama, unaambiwa unashinda ndani tu unaangalia tv.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enyi wanaume ukiona huna vitu vifuatavyo USIOE,
Akili
Nguvu za kiume
Uwezo wa kujikimu mkeo(uchumi wa kueleweka)

Utii wa mkeo upo kwenye vitu hivyo hapo juu kikipungua kimoja utadharauliwa na utalia machozi,,

Naona mnalaumu mwanamke hivi mwanamke vile ikumbukeni ile laana mtakula kwa jasho sasa we kaa ndani uliogope jasho heshima watapewa wanaume wenzio

Mwanamke laana yake ni kuzaa kwa uchungu sasa mkeo akitimiza hili ila wewe ukashindwa kula kwa jasho haustahili kupata utii wowote
 
Enyi wanaume ukiona huna vitu vifuatavyo USIOE,
Akili
Nguvu za kiume
Uwezo wa kujikimu mkeo(uchumi wa kueleweka)

Utii wa mkeo upo kwenye vitu hivyo hapo juu kikipungua kimoja utadharauliwa na utalia machozi,,

Naona mnalaumu mwanamke hivi mwanamke vile ikumbukeni ile laana mtakula kwa jasho sasa we kaa ndani uliogope jasho heshima watapewa wanaume wenzio

Mwanamke laana yake ni kuzaa kwa uchungu sasa mkeo akitimiza hili ila wewe ukashindwa kula kwa jasho haustahili kupata utii wowote

Umeolewa dada? Au unaongea kwa matamanio tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enyi wanaume ukiona huna vitu vifuatavyo USIOE,
Akili
Nguvu za kiume
Uwezo wa kujikimu mkeo(uchumi wa kueleweka)

Utii wa mkeo upo kwenye vitu hivyo hapo juu kikipungua kimoja utadharauliwa na utalia machozi,,

Naona mnalaumu mwanamke hivi mwanamke vile ikumbukeni ile laana mtakula kwa jasho sasa we kaa ndani uliogope jasho heshima watapewa wanaume wenzio

Mwanamke laana yake ni kuzaa kwa uchungu sasa mkeo akitimiza hili ila wewe ukashindwa kula kwa jasho haustahili kupata utii wowote
Unaweza ukaoa ukiwa Timamu,Nguvu za nyati pamoja na uwezo mkubwa kifedha ila baada ya muda yote hayo yakapotea labda kwa magonjwa na mahangaiko ya maisha..

Muhimu kuheshimu kiapo kuwa mtakuwa wote kwenye shida na raha!! Mpka pale kifo kitakapowatenganisha!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza ukaoa ukiwa Timamu,Nguvu za nyati pamoja na uwezo mkubwa kifedha ila baada ya muda yote hayo yakapotea labda kwa magonjwa na mahangaiko ya maisha..

Muhimu kuheshimu kiapo kuwa mtakuwa wote kwenye shida na raha!! Mpka pale kifo kitakapowatenganisha!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake tu ndo wataelewa uhalisia wa hivyo vitu hatukuumbiwa kula kwa jasho,, sitaki kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa

Ukiugua hapo itategemea hekima na uvumilivu wa mkeo,,
 
Back
Top Bottom