Mkuu ungeeleza zaidi n kwa nn sio type ya mabeste ..au una maanisha labda demu anapenda maisha ya gharama Sana ..Nimesikiliza pande zote mbili kwa makini.
Nilichokuja kugundua ni kuwa huyo mwanamke hakuwa type ya mabeste.
Ndio maana hata familia ya mchizi haikumkubali. Wengi mtabisha lakini hakuna mzazi anayetaka kuona mwanae akiangamia. Trust me.
Hivyo kosa lilifanyika tangu mwanzoni. Hayo mengineyo ni by product ya aftermath (ndoa).
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ungeeleza zaidi n kwa nn sio type ya mabeste ..au una maanisha labda demu anapenda maisha ya gharama Sana ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna kitu, typical wanawakeUkipata nafasi ya kumsikiliza huyo dada utamwelewa.
Hapo imewekwa summary tu.
Moja ya sababu za sisi wamakonde mwanaume kupitia jandoni ni kumuweka tayari kwa majukumu ya kulea familia yake pamoja na kuwa na kifua cha kuhifadhi mambo nyeti ya familia yake.....namdharau sana mwanaume anayeenda kwenye media au hadharani na kuanza kuongelea matatizo ya ndoa yake,NAMDHARAU SANA.Mwanzilishi wa harakati za Piga Kambi Utalii wa Ndani, Lisa Karl Fickernscher ambaye alikuwa ni mke wa msanii wa Hip Pop hapa nchini Mabeste amefunguka kiundani kuhusu maisha yake na aliyekuwa mume wake.
Maisha ya wawili hao yalikuwa maarufu zaidi kupitia mtandao wa instagram ambapo watu wengi zaidi pasi kujua nyuma ya pazia ya maisha yao walikuwa wakifurahia familia yao na kutamani kuwa kama wao.
Ambapo Lisa kupitia Youtube chaneli ya simulizi na sauti amefunguka mazito ukweli kuhusu maisha ya mahusiano yao nje ya kile ambacho mashabiki wengi walikuwa wanakiona kupitia kurasa zao za mitandao ya kijamii.
Ndoa si siri tena, juzi tumeyasikia ya Stamina kupitia sanaa yake leo Lisa amefunguka kinagaubaga sababu ambazo zimepelekea kuvunja ndoa yake na Mabeste na yapita mwaka sasa tangu wawili hao kufarakana.
Akihojiwa Lisa amehadithia sababu kuu mbili za kuachana na Mabeste ambapo ametaja kuwa Mabeste alikuwa mwanaume mwenye mkono mwepesi wa kumpiga hata mbele ya watoto wake , lakini pia ameeleza kuwa Mabeste hakuwa mwanaume wa kujitoa na mtafutaji kwaajili ya familia yake.
Pili amesema kwa asilimia 80 Mabeste alikuwa hasimamii majukumu yake kama baba wa familia na mume kwake.
”Hakuwahi kusimamia majukumu yake, sikuwahi kula hela ya muziki wake,… Kuna tofauti kubwa sana kati ya mkulima anayeenda shambani analima lakini hapati mavuno kuliko yule ambaye hafanyi kitu anashonda tu nyumbani…
Mabeste alikuwa mzito sana infika stage mnagombana nageuka kama mzazi kwake namlea kama navyolea watoto” amesema Lisa
Lisa ameongezea ”Alikuwa hataki kufanya chochote, kunipenda sio kusema unanipenda kunipenda ni matendo, sikuajiliwa, mwenzangu alirelax hakuwa na wivu mwanamke nimehudumia familia miezi miwili mitatu, alikuwa hata hajiulizi natoa wapi hakuwa na wivu”.
Aidha Mabeste na Lisa wameachana yapita mwaka sasa wakiwa na watoto wawili, Kendrick na Catelyn Mabeste.
Pia tumeona kumekuwa na mfumuko wa matukio ya aina hiyo ya ndoa za watu maarufu kufarakana jambo ambalo si jema sana kwani linatishia pakubwa sana wale wanaotarajia kuingia kwenye ndoa.
Tumeona Stamina na mke ndoa yao ikiwa na doa na Stamina kupitia sanaa yake ameamua kuweka wazi kisa mkasa.
Ndoa ni fumbo zito sana, ni Mungu tuu azijalie ndoa amani, upendo na ushirikiano kwani kila ndoa ina changamoto yake ni namna tu mnavyoweza kutatua changamoto hizo ili kusogeza familia.
Share this:
Chanzo Dar24
mimi ndio mana vianamke vipenda smart phone sanaaa siwezi OABro kama mwanaume unakubaliana na huo upupu dem almost mwaka mzima anaumwa je alikua anapata wapi mda wa kuandaa hayo matamasha...?., mi ninachokiona dem hakua level za mabeste ni wale madem unapata huamini..halafu mbaya zaidi ndo zile wasanii wa bongo pesa ya kuungaunga hadi tamasha lije dah utaweza vp mhandle shombeshombe. ?..na mbaya zaidi dem ndo kaenda toka na mwana kabisaaa kumfunga mdomo. ? Ogopa sana madem wanaorekodi kila unachofanya...anaweza kukuua huyo
watu wanachukulia poa sana mtu kujianika public kuomba msaadaNiko upande wa mabeste sababu nimeona kwenye media alivyokuwa akipambana kwa hali ili mkewe apone
Mabeste alionyesha uanaume kwa kupambana hata kama hana pesa ila alionyesha msaada mkubwa wa hali kwa mkewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamjudge mtu pasi na kumsikiliza?watu wanachukulia poa sana mtu kujianika public kuomba msaada
atoke tu mtu mmoja aende akatege pale barabarani aigize omba omba just for a day
halafu atege njia ambayo kila ataepita atamjua huyu ni flani,halafu aone jinsi ilivyo.
Lisa sijamsikiliza,simsikilizi na sitaki kumsikiliza ila tayari nina picha ya alichoongea.
Ameoa video vixen.... Hapo si balaa
Maana ni sawa na kuoa porn star au stripper
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Namsikilizaje mtu anae enda kujipeleka kuanzisha mahusiano na rfk wa mume wake?
Unajua sababu Ni nini?Namsikilizaje mtu anae enda kujipeleka kuanzisha mahusiano na rfk wa mume wake?
Ningemsikiliza kama katika soma soma nisingeona kuwa huyo dada alienda kwa rfk wa mume wake.
yani ningeona labda kaenda anzisha mahusiano hukooo au na mtu mwingine.
Unamsikilizaje mtu aliekua ana record mambo ya ndani "alikua anarecord ili iweje"? apeleke wapi?
Kuna vitu hata kama alikua ana haki 100% tayari vimeshamtia doa sana kwa mtu kama mimi asiniletee hiyo kesi.
Na assume mabeste alikua hawajibiki ktk ndoa
Una assume?Na assume mabeste alikua hawajibiki ktk ndoa
Na assume mabeste alikua ana matatizo ktk ndoa
Na assume mabeste alikua ana michepuko ktk ndoa
Na assume mabeste alikua mvivu,mlevi,nk ktk ndoa
Na assume mabeste alikua na makosa 98% ktk ndoa
SWALI:
Alichofanya huyo mwanamke before breakup,tuweke hilo la recording tu
mambo ya ndani ya familia na kuyahifadhi,ilikua ni akili au ushuzi wa popo?
Hapa ni mwendo wa ku assume tu maana hata wewe na mimiUna assume?
Acha kufanya Mambo kwa kuassume.
Aliyeanza kuropoka kuhusu familia Ni Nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeliona Hilo tu la kurecord!?Hapa ni mwendo wa ku assume tu maana hata wewe na mimi
hatuna ukweli wa yasemwayo na wahusika,hatuna na hatutoweza kuwa nao.
Tu assume tena hawa watu bado hawajaachana,Tu assume wapo pamoja.
Narudia kuku uliza swali ambalo umeruka kulijibu..[emoji116]
Mnagombana ndani ya nyumba then mwanamke ana record ugomvi Hii ni akili????