Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Chat Gpt wenyewe wanasema Nyeto haina madhara ila too much is harmful...

Haya ndo yale yale ya Sigara...

Uvutaji wa sigara ni hatari kwa Afya yako na bado unavuta

Unatumia Chat GPT kupata majibu kuhusu mambo ya kiafya? The website itself kwa chini pale inasema ChatGPT may produce inaccurate information about people, places, or facts.

Plus hata hizo taarifa za chatGPT zinatolewa Google na kwenye search engines.

Usitumie Chat GPT kuhalalisha nyeto mkuu.

Hapo kwenye sigara at least wanasema kwamba ni hatari kwa afya yako tofauti na nyeto ambayo most websites na professionals wanasema haina madhara while it does. Huo ni upotoshaji.
 
Akishindwa hiyo dawa atengeneze juice ya vitunguu maji, aweke asali vijiko vitatu kwa glass moja na limao akamulie, anakunywa asbh na jioni ataona matokeo yake,
 
Hili tatizo la kuchelewa kufika mshindo kwa mwanaume aliyewahi kujichua kwa kipindi kirefu ni lipo sana tu,na mara nyingi mtu hujishtukia kwamba huenda amepoteza uwezo wa hisia lakini ukweli ni kama vile mfumo neva umepungua uwezo wa kuhisi under normal friction,unahitaji rough handling kama ulivyouzoesha kwa mkono.Inasikitisha sana.
 
Umeelewa point yangu soma hadi mwisho Mkuu...
 
Bii umeongea kitaalamu.
 
Hiki kizazi kimefungwa kujua ukwel nyeto ni hatari sana kuliko sigara[emoji51]
Pombe, sigara, sukari, wanga, chips, nyama, kuku wa broiler, soda, simu, n.k, vyote vinaweza kukuadhiri kwa namna moja au nyingine kulingana na matumizi yako.

kuna watu wamepata erectile dysinfunction(Kutokudindisha) kwa kupata kisukari kilichosababishwa na ulaji mmbovu. Kuna watu wamepata erectle disfunction kwa kuugua mangonjwa ya ngono, kuna maelfu ya watu wamekufa kwa kufanya ngono wakapata Ukimwi.

Nyie mnaosema Nyeto ni agenda ya kupunguza Population wakati uo wewe unatumia condom, unatumia dawa za uzazi wa mpango, na bado kuna watu wanakufa kwa ukimwi unaosababishwa na kufanya ngono. Izo sio mbinu za kupunguza population?

Kila siku nyeto nyeto, nani alikufa kwa kupiga nyeto[emoji23]
 
Kuhusu advance ww hukuenda Kusoma ila ulienda Kupiga Nyeto ndo maana ulizingua ukawa bize kupiga Nyeto ukasahau kusoma.

Kingine vipi baada ya Kuacha Nyeto ulitumia tiba yeyote ukapona au ilijirudi yenyewe
 
Punyeto ina madhara makubwa ni sawa sawa na kuangalia porn. Wanasayansi walikuwa hawana ushahidi lakini kuanzia mwaka huu 2023. Wana ushahidi mahususi kuwa punyeto na video za ngono zina madhara kwenye afya ya akili ya binadamu.
Weka Tafiti hizo mkuu .. tusome wote..
na kufanya Analysis .. tuone kama zina kidhi vigezo vya kuwa tafiti..
na tujue hao wasayansi ni watu gani?

kila tafifiti hupingwa kwa tafiti
 
Kuhusu advance ww hukuenda Kusoma ila ulienda Kupiga Nyeto ndo maana ulizingua ukawa bize kupiga Nyeto ukasahau kusoma.

Kingine vipi baada ya Kuacha Nyeto ulitumia tiba yeyote ukapona au ilijirudi yenyewe
Sikutumia dawa yoyote,
Nlifanikiwa kuiacha kwa sababu ilikuwa nikishapiga nyeto nikamwaga, nilikua najichukia sana, yan najiona kama sio mtu wa kawaida, yaan naanza kujiuliza hv hawa madem wote nimekosa hata mmoja kweli??? I am that ugly????

Remind you, nlikua napiga nyeto kwa sabab sina demu ,,,,mm ni domozege!¡!!!!

Nlivokuja kupata demu ndo nikaacha nyeto rasmi tangu 2018 to today,,,, afu skupiga nyeto miaka mingi,,, nlipoga form 5 mpaka chuo mwaka wa kwanza ndo nkapataga demu!!!

Ili uache nyeto lazma uwe tayari kuiacha yaan uwe na msukumo kutoka ndani mwako,, yaan uichukue kabisa,,, mm leo hii naweza kukaa hata miezi miwili bila kugonga demu lakn siwez kupiga nyeto yaan hata kuwaza kupga nyeto sjawahi!!!!
 
Yaan kujichua miaka mi3 tu ndo neva zipoteze sense? Ina maana tangu nmeacha mpaka leo neva zmeshindwa ku regain sense??
 
Kukaa mwez bila kupiga demu wala nyeto, ilo nalo ni tatizo. Wanaume sisi tunaojijua kila ukiamka kitu kimesimama kama mpini kinataka pussy afu nikae mwez bila kugonga. Labda mwenzetu umezeeka, libido au hisia zimepungua [emoji23]


Jitaidi ule ule ata matunda yanaongeza libido.
 
Humu wengi washakubuhu, si wanawake, si wanaume, Ma mods ndio usiseme, Huu uzi wataufuta.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti ma Mods[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eha!! Vipi Sasa huo Udomo zege Umekutoka Mkuu au Bado ulikutokaje wengne tujifunze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…