Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Hahaaa pamoja sana jemedari.

Juzi tu hapo tarehe mwezi wa2 tumechoma mahindi, tumepasua sana madafu kuadhimisha birthday yangu ya miaka 23.
 
Ulipotaja matrekta nakuelewa kabisaaa na hizo shuruba bimezipitia na nimeona faida yake ipo. Msimu ujao na mm nitafanya kitu.... Nakuelewa sana mkuu
Mkuu kuna huu msimu wa mwezi wa 6-8 kule kilombero kwenye uvunaji wa mpunga. Unafunga teller unasomba mizigo kutoka kule mashambani kuleta town kwenye magodown na mashine za kukoboa.

Ule ndio msimu wa pesa, achana na huu wa kulima. Nausubiria vby mno hapa.
 
Acha kuwa muoga wewe bhana
Mbona mi nime gooogle hiyo summit nkakuona kabisa mkuu...Ila ngoja nkausheeee [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
 
Mkuu nimekuelewa saanaa,, Upo vizuri saanaa . Kwenye kilimo kuna PESA Sana binafsi na dil na zao la korosho Kusini, mwaka Jana nimepata pesa ambayo sikutarajia kabisa... Jins unavyosubiria wewe msimu wa mwenz wa 6-8 kirombero, sawa na Mimi navyosubiri mwenz wa 9-12 Kusini.
 

Mkuu hiii sina uzoefu nayo aisee nina uzoefu na hiyo ya kulima na nilikuwa na John Deere ya hp 55 huko kusini japo nilikuwa nasimamia lakini niliiona Fursa
 
Mkuu hiii sina uzoefu nayo aisee nina uzoefu na hiyo ya kulima na nilikuwa na John Deere ya hp 55 huko kusini japo nilikuwa nasimamia lakini niliiona Fursa
Mkuu kuvuta mzigo pesa yake ni nzuri kuliko kulima. Inategemea na umbali, gunia 1 huwa ni 4000-6000, na ukipata teller kubwa na tractor ya 4 WD, trip 1 unagonga gunia 50. Kwa siku katika hali ya kawaida unalaza chomba saa 12 ukiwa umegonga trip 3. Ukitaka kwenda beyond comfort zone ndio utapiga pesa si mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…