Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

mkuu hongera sana mimi sina cha kuongezea nakuombea baraka na mafanikio...na kikubwa ili ufanikiwe ni lazima uwainue wengine...ili ukishuka hao wengine wakuinue na wewe
Fact!!
 
Mdogo wangu hapa umeongea mambo mazito sana. Hata sisi kaka zako umetutoa nishai. Nimependa sana jinsi ulivyopanga vizuri maelezo yako kwa sababu kwa kiasi kikubwa sana wengi wetu humu hata kupangilia tu maelezo huwa ni tatizo. Sijui kama shida ni shule tunazopita au kuna kingine?

Kitu kimoja umenifundisha leo ni kuthubutu na kuchagua kitu kimoja ambacho unaamua kukifanya vizuri zaidi kuliko washindani wako wote. Hongera sana, umenifundisha kitu leo hii.
 
Haha kama nawaona vijana wa mawingu wanaoongeleaga fursa wakat wanagoogle hawajawah hata fuga kifaranga ila ww mbwa sio wa nchi hii unaakili kuliko yule cjui kiyombo na sikanyika ambae am sure wanakukimbiza GPA sema you are blessed keep it up nigger umemuinspire mzee nafkiria kuacha kazi kwa baba ake bashite nikomae Na kilimo Maan sio kwa motivation hii ww ni zaidi ya mfalme wa nguvu hongera sana buda
 
Dah! You have make too much Exaggerate your story.
But Realistick its very low...
 
Back
Top Bottom