Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Afterthought 5:

Picha nyingi nimeficha identity yangu, off course hakuna mtu anayependa kujulikana JF zaidi ya Le mbebeez, le akili kubwa. Sisi wengine wote ni waoga.

So kama incase ukawa unanifahamu kupitia hizo pic ama operations zangu, naomba ukaushe, usianze kuropoka please nakuomba.
Tatizo hua unajimwambafai sana,punguza ego's
 
pole sana unafahamu mjengo wake ulipo? Kuna jamaa anafanya nae kazi huwa anatuambia jamaa ana misimamo sana na kujisikia, sio mashamba ya mikaratusi, morogoro ana mashamba analima mapapai, hukk kama unaelekea ana mashamba, huwa jamaa anatembea nae na mpaka vdeo anatuonyesha.
Janja yupo smart sana nakuambia hapa bongo anayo kampuni na magogo mengine anapeleka migodini. Hawakati kujulikana kukwepa kodi ila shida yake ni kujisikia na misimamo mikali
 
Back
Top Bottom