Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

Jinsi nilivyofanikiwa kutengeneza Sh. Milioni 19.9 ndani ya siku 35 kwa kutumia Milioni 3.8

UTAPELI HUU

Unadanganya watu tu,
Kama umemaliza chuo 2016 nwez wa 8 , tena kozi ya miaka minne ya OIL AND GAS

ina maana wewe chuo umeanza mwaka 2012

Na hapo hapo unadai Ulienda JKT baada ya form 6.

Wewe ni muongo na tapeli

Program ya kwenda jkt imeanza kwa form 6 waliomaliza 2013.

Hivo mpaka hapo hii ni story ya kutunga yenye malengo binafsi.


Kwa maelezo yako kipindi ukiwa COET umezunguka sana nchi nyingi, umefanya biashara na semina,

Kwa maelezo hayo ,tu COET ungedisco au usingemaliza chuo.

NARUDIA WEWE NI TAPELI MKUBWA

ngoja niishie hapa kabla sijakuumbua zaidi
Kama hujui ni bora kuwa kmya,
Ud pana koz tatu zinazo husu mafuta na gas,,
Petrolum chemistry ilianzishwa mwaka 2013 ndi ilikuwa intake ya kwanza imbayo inasomwa miaka mitatu,, ambao ndo wamehitimu 2016;,
 
Pamoja kiongozi, tunangoja kwa hamu hayo madini, wacha na mini nijifue mdogo mdogo kuzijua ABCs za forex trading....oyaa ni pm basi formular ya chakula cha kuku , ama niconnect na mdau uliye mwachia madesa ili nifanye site visit kujifunza.
Mkuu formula ya kuku hiyo ni siri ya mtengenezaji na huwa zinauzwa. Kwa kukusaidia tafuta Dr mzuri wa mifugo atakutengenezea formula na wewe utampa chake. Ontario piga ua hawezi kikupa formula yake, hiyo ni siri ya jeshi mkuu.

Mimi mwenyewe Niko kwenye mchakato wa kutafuta formula yangu, na usikae ukategemea utaipata formula kirahisi namna hiyo.

Alafu mkuu Ontario yeye formula yake alinunua naivasha Kenya. Ila formula pia huwa inabadilika kulingana na mazingira
 
Boss, hiyo article ya mwananchi ambayo walitranslate kutoka article ya gazeti la The citizen iliniletea usumbufu mkubwa sana sana. Yani hawa journalists wa Bongo niliwavua vyeo wote na kuwadharau.

Kabla gazeti halijatoka niliwaambia kuna vitu wasiviandike kabisa, lkn hivyo vitu ndio walivitumia kama headlines. Yani acha tu, ningekua najua sheria au ht kujuana na Tundu Lissu tungekimbizana mahakamani.

Nashukuru sana pia kwa complements zako, kuna kipindi nilikua natamani nitumie kipaji changu cha uandishi kupiga pesa, lkn nikaona huko pesa hakuna, but ipo siku nitaandika kitabu kuhusu maisha yangu, nasubiri tu nifike level fulani ambayo sitahitaji kujiintroduce ili watu wanitambue.

... Kuhusu Forex, kaka nina dreams kubwa, ngoja niseme KUBWAA sana in capital letters ili kutia msisitizo. Na nataka kuuleta huu mgodi Bongo, afe simba afe mmasaai nitapambana na mamlaka mpk kieleweke. Nchi nyingi sana za Afrika wananchi wake wamefichwa kuhusu siri nzito ya utajiri uliopo kwenye hii biashara. Hakuna serikali wala financial institutions itakayotaka mwananchi ajue kutrade maana watu wakipata uelewa kuhusu hii kitu hakuna mtu ataingiza pesa zake fixed account, hakuna mtu ataingiza pesa zake kwenye DSE nk nk.

But all in all tutafika tu. Kama wenzetu Afrika kusini waliweza kwanini na sisi tusiweze. Nikiweka kila kitu sawa kuhusu paper works na mikataba fulani fulani then nitarudi kuanzisha uzi kuhusu hiyo kitu. Inabidi huu 'umasikini' tupambane nao kwa akili sana, tuubane mpk kwenye kona ya nyumba, tuupe kichapo aina ya 'kifo cha mende'.
Safi sana kijana mwenzangu, tunasubiri hilo somo la forex trade tuanze kupiga pesa. Mkuu usisahau kunitag b'n hahahahhaa japokua najua uko busy kinoma noma
 
Mkuu formula ya kuku hiyo ni siri ya mtengenezaji na huwa zinauzwa. Kwa kukusaidia tafuta Dr mzuri wa mifugo atakutengenezea formula na wewe utampa chake. Ontario piga ua hawezi kikupa formula yake, hiyo ni siri ya jeshi mkuu.

Mimi mwenyewe Niko kwenye mchakato wa kutafuta formula yangu, na usikae ukategemea utaipata formula kirahisi namna hiyo.

Alafu mkuu Ontario yeye formula yake alinunua naivasha Kenya. Ila formula pia huwa inabadilika kulingana na mazingira
Samahani mkuu, imetokea kama unanifahamu sana sana sana, hadi suala la kununua formula ulijulia wapi boss?! Sijawahi hata siku 1 kupost hapa JF kuhusu miradi yangu ya kilimo.
 
Samahani mkuu, imetokea kama unanifahamu sana sana sana, hadi suala la kununua formula ulijulia wapi boss?! Sijawahi hata siku 1 kupost hapa JF kuhusu miradi yangu ya kilimo.
Kupitia huu Uzi uliniispire sana mkuu kufikia Mimi kuanza kuwaza vitu vikubwa mno ambavyo soon naanza kuvitekeleza, so niliamua nikufuatilie sana mpaka kujua vyote hivyo, na kila kitu ulichosema hapa ni kweli japo kuna mabashite wanapinga.

Afu kumbe ulipokulia ni mazingira jirani tu na home, na mitaa yenu nimepiga sana tuition kipindi hicho. Salute mkuu wewe ni mentor wangu usijali japo nimekuzidi mwezi mmoja hahahahahaa
 
Here is where I belong... Hapa ndipo ninapopigiaga Pesa.. Kiteto ndio mitaa yangu... Nalima pia.. Jumatatu naenda kiteto kuvuna.. Tutafutane tupeane fursa mkuu.. I own tractors too japo sio zangu ni za baba yangu ila ndio napigia kazi. Tutafutane mkuu kama hutojali... Sitakupm maana umesema hutak PMs ila mm naomba yako... Pambana mkuu... I'm a University graduate too ila kazi zmekua ngetwa na ukibahatika mshahara wa hovyo sana...
 
Boss, hiyo article ya mwananchi ambayo walitranslate kutoka article ya gazeti la The citizen iliniletea usumbufu mkubwa sana sana. Yani hawa journalists wa Bongo niliwavua vyeo wote na kuwadharau.

Kabla gazeti halijatoka niliwaambia kuna vitu wasiviandike kabisa, lkn hivyo vitu ndio walivitumia kama headlines. Yani acha tu, ningekua najua sheria au ht kujuana na Tundu Lissu tungekimbizana mahakamani.

Nashukuru sana pia kwa complements zako, kuna kipindi nilikua natamani nitumie kipaji changu cha uandishi kupiga pesa, lkn nikaona huko pesa hakuna, but ipo siku nitaandika kitabu kuhusu maisha yangu, nasubiri tu nifike level fulani ambayo sitahitaji kujiintroduce ili watu wanitambue.

... Kuhusu Forex, kaka nina dreams kubwa, ngoja niseme KUBWAA sana in capital letters ili kutia msisitizo. Na nataka kuuleta huu mgodi Bongo, afe simba afe mmasaai nitapambana na mamlaka mpk kieleweke. Nchi nyingi sana za Afrika wananchi wake wamefichwa kuhusu siri nzito ya utajiri uliopo kwenye hii biashara. Hakuna serikali wala financial institutions itakayotaka mwananchi ajue kutrade maana watu wakipata uelewa kuhusu hii kitu hakuna mtu ataingiza pesa zake fixed account, hakuna mtu ataingiza pesa zake kwenye DSE nk nk.

But all in all tutafika tu. Kama wenzetu Afrika kusini waliweza kwanini na sisi tusiweze. Nikiweka kila kitu sawa kuhusu paper works na mikataba fulani fulani then nitarudi kuanzisha uzi kuhusu hiyo kitu. Inabidi huu 'umasikini' tupambane nao kwa akili sana, tuubane mpk kwenye kona ya nyumba, tuupe kichapo aina ya 'kifo cha mende'.
Wakati tunasubiri Somo la Forex
watu wanaweza kupitia hii website
Learn Forex Trading With BabyPips.com kwa kuanzia
 
Mkuu kuna huu msimu wa mwezi wa 6-8 kule kilombero kwenye uvunaji wa mpunga. Unafunga teller unasomba mizigo kutoka kule mashambani kuleta town kwenye magodown na mashine za kukoboa.

Ule ndio msimu wa pesa, achana na huu wa kulima. Nausubiria vby mno hapa.
Mkuu unajua hii story yako imenisisimua sana na imenitoa machozi.!! Hakika vijana tumelala sana kaka fanya mpango na mm hiyo ya kusomba mazao niwe pamoja na ww, pls fanya hivyo.!!
 
Umenikumbusha ujana wangu! Nilipokosea,ni kuchanganya juhudi binafsi na ajira za serikali! Mabosi wengi hawapendi,watakuhamisha sana vituo vya kazi. Umefanya vyema kutochanganya mambo,na kujiajiri and you are perfectly correct.
 
Back
Top Bottom