Jinsi nilivyojifunza uchawi nikiwa ningali mdogo shuleni

Endeleza stori
Alaf wachawi huwa mnadanganywa sana maana kila mmoja anasema alipanda cheo akawa mkubwa afrca yote.
 
Habari ya mechi na shule ikayeyuka.....mwal yeye alifanyiwa nn?
Au alikuwa na mpango huo sema akasingizia mechi?

Haya mganga wa shule
 
Uongo huoo
 
Kama jina lako ni la kusadikika basi hata stori itakuwa ni ya?.........
 
Umesema ulikula nyama za watu,sasa ulijuaje kua zile zilikua nyama za watu?,au zilikua zimebandikwa tag?

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…