Jinsi nilivyojifunza uchawi nikiwa ningali mdogo shuleni

Jinsi nilivyojifunza uchawi nikiwa ningali mdogo shuleni

Mleta mada ameshakula Kona. Hiv huku jf Kuna nn jaman????? [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Bank zina zindiko kali sana, damu ya watu, na wanyama mbalimbali hutumika. Hamna Bank ambayo haijazika simba hapa Tanzania
Benki hazina mazindiko kuna kitu hapa huelewi. Sehemu zote ambazo ni PUBLIC, hata kama ni kwenye Bar za walevi wa pombe, kuna ulinzi wa Mungu wa hali ya juu, unaosababishwa na roho za watu ambao huwa wanakuwepo mahali pale. Kumbuka kuwa Mungu anawapenda watu wote bila kujali ni waovu au ni wazuri, hata jambazi pia analipenda na hivyo kila mtu aliye hai huwa ana ulinzi wa Mungu. Ni kiwango tu cha ulinzi kinachotofautian kati ya mtu mmoja na mwingine

Kwa hiyo Benki huwa kuna ulinzi wa Mungu wa hali ya juu kutokana na roho za watu ambazo huwa zinakuwepo mahali pale na kutokana na zile ambazo zilishawahi kuwepo mahali pale; na si Benki tu bali sehemu zote ambazo ni PUBLIC huwa zina ulinzi wa Mungu na ESPECIALLY sehemu ambazo watu huwa wanakusanyika kwa ajili ya kufanya SHUGHULI HALALI, ikiwemo MAOFISINI NA MAKANISANI, ukiachilia mbali sehemu zingine ambazo nazo ni PUBLIC pia lakini zina mambo ambayo huwa yanendelea pale yayotia shaka kidogo
Kwa hiyo kila sehemu ambayo ni PUBLIC, ina ulinzi wa Mungu wa hali ya juu kabisa bila kujali ni nini huwa kinaendelea pale; provided huwa wankusanyika pale binadamu aliowaumba kwa mfano wake
Unakuta kuna sehemu zingine PUBLIC lakini za ajabu kabisa, lakini still Mungu anakuwa na ulinzi wake mahali pale kwa sababu anakuwa anajua kuwa KUNA SAULI AMBAYE HUWA ANAKUWEPO MAHALI PALE, AMABAYE KESHO ANAMHITAJI AWE PAULO KWA AJILI YA WATU WAKE
 
Benki hazina mazindiko kuna kitu hapa huelewi. Sehemu zote ambazo ni PUBLIC, hata kama ni kwenye Bar za walevi wa pombe, kuna ulinzi wa Mungu wa hali ya juu, unaosababishwa na roho za watu ambao huwa wanakuwepo mahali pale. Kumbuka kuwa Mungu anawapenda watu wote bila kujali ni waovu au ni wazuri, hata jambazi pia analipenda na hivyo kila mtu aliye hai huwa ana ulinzi wa Mungu. Ni kiwango tu cha ulinzi kinachotofautian kati ya mtu mmoja na mwingine

Kwa hiyo Benki huwa kuna ulinzi wa Mungu wa hali ya juu kutokana na roho za watu ambazo huwa zinakuwepo mahali pale na kutokana na zile ambazo zilishawahi kuwepo mahali pale; na si Benki tu bali sehemu zote ambazo ni PUBLIC huwa zina ulinzi wa Mungu na ESPECIALLY sehemu ambazo watu huwa wanakusanyika kwa ajili ya kufanya SHUGHULI HALALI, ikiwemo MAOFISINI NA MAKANISANI, ukiachilia mbali sehemu zingine ambazo nazo ni PUBLIC pia lakini zina mambo ambayo huwa yanendelea pale yayotia shaka kidogo
Kwa hiyo kila sehemu ambayo ni PUBLIC, ina ulinzi wa Mungu wa hali ya juu kabisa bila kujali ni nini huwa kinaendelea pale; provided huwa wankusanyika pale binadamu aliowaumba kwa mfano wake
Unakuta kuna sehemu zingine PUBLIC lakini za ajabu kabisa, lakini still Mungu anakuwa na ulinzi wake mahali pale kwa sababu anakuwa anajua kuwa KUNA SAULI AMBAYE HUWA ANAKUWEPO MAHALI PALE, AMABAYE KESHO ANAMHITAJI AWE PAULO KWA AJILI YA WATU WAKE
Vii kuhusu wanafunzi wanaopigwa na radi wakiwa darasani ama bwenini?

hao huwa hawako PUBLIC na ulinzi wa Mungu unakuwa Haupo?
 
Vii kuhusu wanafunzi wanaopigwa na radi wakiwa darasani ama bwenini?

hao huwa hawako PUBLIC na ulinzi wa Mungu unakuwa Haupo?
Upo ila wanashambuliwa. Kunakuwa na mlango wa shambulizi. Aidha mmoja wao au baadhi yao wanakuwa ni mawakala wa shambulio hilo, au linakuwa ni la kutoka nje. Tuliposema kuwa BENKI kuna ulinzi wa Mungu, bado haimaanishi kwamba Benki hapawezi kuibiwa
Kwa hili la wanafunzi, katika hali ambayo ni plane kwamba hakuna mlango miongoni mwao na kwamba hakuna shambulio kutoka nje, ulinzi kwao kama sehemu ya public unakuwepo sawa tu na kwenye shule zingine
Kumbuka kuwa swala la uwepo wa ulinzi wa Mungu kwenye sehemu ambayo ni PUBLIC, haimaanishi kuwa sehemu hiyo haiwezi kushambuliwa, especially kunapokuwa na mlango. Kumbuka pia kuwa ulinzi wa Mungu kwenye PUBLIC ambayo ni kusanyiko la waumini kwenye Ibada Kanisani, ni tofauti na ulinzi wa Mungu kwenye sehemu PUBLIC ambyao ni kusanyiko la watu wanakunywa pombe. Hizi sehemu zote mbili zina ulinzi ila unatofautiana kulingana na maudhui ya kusanyiko kwenye sehemu husika.
Hakuna kiumbe lichopo hai hapa duniani leo, ambacho ulinzi wa Mungu ni sifuri, hakipo!
 
Umesema ulikula nyama za watu,sasa ulijuaje kua zile zilikua nyama za watu?,au zilikua zimebandikwa tag?

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
kwanza unaambiwa kabisa kuwa ndg hizi tunakula nyama za watu na lengo letu ni kadha wakadha.
Pili radha yake ni tamu sana. Ever happen ukionja tu kamwe huachiii.
Tatu ni nyekundu kiasi sana kuliko nyama za kawaida.
Minofu yake imeshikamana vyema.
Ni laini mno kiasi cha kutafunika.
Utamu wake si kawaida.
Mengine ongezeni wachawi wenzangu.....
Hkn mchawi maskini Duniani...yale mnayo yaona wakiyaishi ni viini macho bin mazingaombwe tu...lkn kiundani heee!!ni matajiri hatare!!! Weee!! Fikiria tu mtu analala na mke hata wa Rais na kuzaa watoto...ni kawaida hiyo kweli??...wachawi wapo kwa madaraja km vyeo vya jeshi mnaowakamata hao ni sawa na makuruta tu ambao wamekosa nidhamu jeshini......lkn brigedier wa kichawi maweee!!..mtasugua sana.linawacheck tu ivi!! ......tena akitaka anamuokoa kiubweteee huku nyie mnafurahi mmeua mchawi....yeye kuumbe anaishi kivingine mweee!! Ukisikia binadamu wengine ni zaidi ya walivyo......anaweza kukupiga minyoto usizae katu..hata ukizaa toto halina manufaa linakuwa teja la kuliwa tigo...tena mbele yako linagombewa km mpira wa kona... Au wanakufanya mnajinyonga kwa sababu kidogo tu kizazi chako chote....chunguza wale wote walio jinyonga binafsi. Huko nyuma!! Baba/mama....babu nk huko nyuma walifanya matukio ya kuwaona wachawi na kuwapiga na askwambie ntu mchawi anaishi miaka bwena!
 
Ninahangaika kujinasua, sijui nitawezaje kuachana na kadhia hii
mbona rahisi tu dogo....wee!! nambie tu!! Uko wapi na tukutane wapi tukupe dawa ya kujinasua na mtaji wa kutosha kumudu maisha..

Njoo kwa NGO yetu ufaidi.....ili uwaokoe na wengine lkn uwe tayari kutumikka kanisani..
 
Kwani unadhani mpaka na utu uzima alionao hajui kuwa yule alikua Fisi...!?
Amefanya kwa Makusudi.....
mbwembwe za uandishi, ana usimuliaji mzuri na ni mwandishi mzuri pia, natamani angeendelea, kujua aliyokutana nayo.
 
mbona rahisi tu dogo....wee!! nambie tu!! Uko wapi na tukutane wapi tukupe dawa ya kujinasua na mtaji wa kutosha kumudu maisha..

Njoo kwa NGO yetu ufaidi.....ili uwaokoe na wengine lkn uwe tayari kutumikka kanisani..
Mkuu kwenye post ya juu umesema wewe ni mchawi pia. Je mfano katika kuwanga ni vitu gani vya ajabu unavishuhudia kwenye manyumba ya watu? Mfano mtu wa dini akifanya maombi yake bado unaweza kwenda kuwanga?! Pia ukienda kuwanga umeshawahi kwenda kwa mchawi mwenzako akakushtukia?!
 
kwanza unaambiwa kabisa kuwa ndg hizi tunakula nyama za watu na lengo letu ni kadha wakadha.
Pili radha yake ni tamu sana. Ever happen ukionja tu kamwe huachiii.
Tatu ni nyekundu kiasi sana kuliko nyama za kawaida.
Minofu yake imeshikamana vyema.
Ni laini mno kiasi cha kutafunika.
Utamu wake si kawaida.
Mengine ongezeni wachawi wenzangu.....
Hkn mchawi maskini Duniani...yale mnayo yaona wakiyaishi ni viini macho bin mazingaombwe tu...lkn kiundani heee!!ni matajiri hatare!!! Weee!! Fikiria tu mtu analala na mke hata wa Rais na kuzaa watoto...ni kawaida hiyo kweli??...wachawi wapo kwa madaraja km vyeo vya jeshi mnaowakamata hao ni sawa na makuruta tu ambao wamekosa nidhamu jeshini......lkn brigedier wa kichawi maweee!!..mtasugua sana.linawacheck tu ivi!! ......tena akitaka anamuokoa kiubweteee huku nyie mnafurahi mmeua mchawi....yeye kuumbe anaishi kivingine mweee!! Ukisikia binadamu wengine ni zaidi ya walivyo......anaweza kukupiga minyoto usizae katu..hata ukizaa toto halina manufaa linakuwa teja la kuliwa tigo...tena mbele yako linagombewa km mpira wa kona... Au wanakufanya mnajinyonga kwa sababu kidogo tu kizazi chako chote....chunguza wale wote walio jinyonga binafsi. Huko nyuma!! Baba/mama....babu nk huko nyuma walifanya matukio ya kuwaona wachawi na kuwapiga na askwambie ntu mchawi anaishi miaka bwena!
Hebu mambo yenu yawekeni kwenye maandishi ili tuone namna ya kuwasaidia kuboresha technology yenu
 
mbona rahisi tu dogo....wee!! nambie tu!! Uko wapi na tukutane wapi tukupe dawa ya kujinasua na mtaji wa kutosha kumudu maisha..

Njoo kwa NGO yetu ufaidi.....ili uwaokoe na wengine lkn uwe tayari kutumikka kanisani..
Unafahamu kafara langu? Utalilipa na nini?
 
Benki hazina mazindiko kuna kitu hapa huelewi. Sehemu zote ambazo ni PUBLIC, hata kama ni kwenye Bar za walevi wa pombe, kuna ulinzi wa Mungu wa hali ya juu, unaosababishwa na roho za watu ambao huwa wanakuwepo mahali pale. Kumbuka kuwa Mungu anawapenda watu wote bila kujali ni waovu au ni wazuri, hata jambazi pia analipenda na hivyo kila mtu aliye hai huwa ana ulinzi wa Mungu. Ni kiwango tu cha ulinzi kinachotofautian kati ya mtu mmoja na mwingine

Kwa hiyo Benki huwa kuna ulinzi wa Mungu wa hali ya juu kutokana na roho za watu ambazo huwa zinakuwepo mahali pale na kutokana na zile ambazo zilishawahi kuwepo mahali pale; na si Benki tu bali sehemu zote ambazo ni PUBLIC huwa zina ulinzi wa Mungu na ESPECIALLY sehemu ambazo watu huwa wanakusanyika kwa ajili ya kufanya SHUGHULI HALALI, ikiwemo MAOFISINI NA MAKANISANI, ukiachilia mbali sehemu zingine ambazo nazo ni PUBLIC pia lakini zina mambo ambayo huwa yanendelea pale yayotia shaka kidogo
Kwa hiyo kila sehemu ambayo ni PUBLIC, ina ulinzi wa Mungu wa hali ya juu kabisa bila kujali ni nini huwa kinaendelea pale; provided huwa wankusanyika pale binadamu aliowaumba kwa mfano wake
Unakuta kuna sehemu zingine PUBLIC lakini za ajabu kabisa, lakini still Mungu anakuwa na ulinzi wake mahali pale kwa sababu anakuwa anajua kuwa KUNA SAULI AMBAYE HUWA ANAKUWEPO MAHALI PALE, AMABAYE KESHO ANAMHITAJI AWE PAULO KWA AJILI YA WATU WAKE
Nyie mnapinga tu nguvu za kichawi
 
Back
Top Bottom