Jinsi nilivyojifunza uchawi nikiwa ningali mdogo shuleni

Jinsi nilivyojifunza uchawi nikiwa ningali mdogo shuleni

Damu ya Yesu italilipa, ni kafara lililo bora kuliko damu za watu ulizotoa, Yesu anakuita,fungua moyo wako mfuate.

Yoh.1:29;
Siku iliyofuata, Yohana alimwona Yesu akimjia akasema, “Tazama, Mwana-Kondoo wa Mungu aichukuaye dhambi ya ulimwengu!

1Yoh.1:7
Lakini tukienenda nuruni, kama yeye alivyo nuruni, twashirikiana sisi kwa sisi na damu yake Yesu, Mwana wake, yatusafisha dhambi yote.

Ufu. 1:5

Ufunuo 1:5-6 BHN​

na kutoka kwa Yesu Kristo, shahidi mwaminifu, wa kwanza kufufuliwa kutoka kwa wafu, na ambaye ni mtawala wa wafalme wa dunia. Yeye anatupenda, na kwa damu yake ametufungua kutoka vifungo vya dhambi zetu, akatufanya sisi kuwa ufalme wa makuhani, tumtumikie Mungu, Baba yake. Kwake Yesu Kristo uwe utukufu na nguvu, milele na milele! Amina.
Hivi kafara ni nini?
 
Nyie wachawi mnaostafu ni wapuuz tu, hamna msaada wowote, kwa walio onewa kichawi, mtu anateseka na anahitaji msaada kama mimi hapa
mnapo ombwa msaidie mna baki nyuma, nawakati kwenye haya majukwaa mnajisifu kwa uhatari mlio nao huao ni upumbavu
 
Hayo yoote wewe niachie mimi.....sababu hata mie nilikiwa mchawi hasa tena wa kidunia....niliwahi fanya mikutano na shetani live!! namjua vilivyo....tena shetani ni mzuri kweli bonge la handsome....na tena akija leo na maajabu yake wengi mtamwamini.....amini nakwambia ukiniona ni wa kawaida sana lkn sisi enzi za uchawi tulijuana sana...hata ukiwa mgeni popote tulikushawishi ujiunge na kundi letu na tulifanikiwa sans mpaka leo wako ivo.....unapajua lungwim Occult??!...kuna thread zangu humu nimetoa ushuhuda
Mkuu hivi shetani asili gan ni mzungu mwafrika ,mhindi au ni Mchina.🤣
 
Hayo yoote wewe niachie mimi.....sababu hata mie nilikiwa mchawi hasa tena wa kidunia....niliwahi fanya mikutano na shetani live!! namjua vilivyo....tena shetani ni mzuri kweli bonge la handsome....na tena akija leo na maajabu yake wengi mtamwamini.....amini nakwambia ukiniona ni wa kawaida sana lkn sisi enzi za uchawi tulijuana sana...hata ukiwa mgeni popote tulikushawishi ujiunge na kundi letu na tulifanikiwa sans mpaka leo wako ivo.....unapajua lungwim Occult??!...kuna thread zangu humu nimetoa ushuhuda
Tupatie link za hizo nyuzi mkuu
 
Benki hazina mazindiko kuna kitu hapa huelewi. Sehemu zote ambazo ni PUBLIC, hata kama ni kwenye Bar za walevi wa pombe, kuna ulinzi wa Mungu wa hali ya juu, unaosababishwa na roho za watu ambao huwa wanakuwepo mahali pale. Kumbuka kuwa Mungu anawapenda watu wote bila kujali ni waovu au ni wazuri, hata jambazi pia analipenda na hivyo kila mtu aliye hai huwa ana ulinzi wa Mungu. Ni kiwango tu cha ulinzi kinachotofautian kati ya mtu mmoja na mwingine

Kwa hiyo Benki huwa kuna ulinzi wa Mungu wa hali ya juu kutokana na roho za watu ambazo huwa zinakuwepo mahali pale na kutokana na zile ambazo zilishawahi kuwepo mahali pale; na si Benki tu bali sehemu zote ambazo ni PUBLIC huwa zina ulinzi wa Mungu na ESPECIALLY sehemu ambazo watu huwa wanakusanyika kwa ajili ya kufanya SHUGHULI HALALI, ikiwemo MAOFISINI NA MAKANISANI, ukiachilia mbali sehemu zingine ambazo nazo ni PUBLIC pia lakini zina mambo ambayo huwa yanendelea pale yayotia shaka kidogo
Kwa hiyo kila sehemu ambayo ni PUBLIC, ina ulinzi wa Mungu wa hali ya juu kabisa bila kujali ni nini huwa kinaendelea pale; provided huwa wankusanyika pale binadamu aliowaumba kwa mfano wake
Unakuta kuna sehemu zingine PUBLIC lakini za ajabu kabisa, lakini still Mungu anakuwa na ulinzi wake mahali pale kwa sababu anakuwa anajua kuwa KUNA SAULI AMBAYE HUWA ANAKUWEPO MAHALI PALE, AMABAYE KESHO ANAMHITAJI AWE PAULO KWA AJILI YA WATU WAKE
Umesimuliwa na Nani...
 
Upo ila wanashambuliwa. Kunakuwa na mlango wa shambulizi. Aidha mmoja wao au baadhi yao wanakuwa ni mawakala wa shambulio hilo, au linakuwa ni la kutoka nje. Tuliposema kuwa BENKI kuna ulinzi wa Mungu, bado haimaanishi kwamba Benki hapawezi kuibiwa
Kwa hili la wanafunzi, katika hali ambayo ni plane kwamba hakuna mlango miongoni mwao na kwamba hakuna shambulio kutoka nje, ulinzi kwao kama sehemu ya public unakuwepo sawa tu na kwenye shule zingine
Kumbuka kuwa swala la uwepo wa ulinzi wa Mungu kwenye sehemu ambayo ni PUBLIC, haimaanishi kuwa sehemu hiyo haiwezi kushambuliwa, especially kunapokuwa na mlango. Kumbuka pia kuwa ulinzi wa Mungu kwenye PUBLIC ambayo ni kusanyiko la waumini kwenye Ibada Kanisani, ni tofauti na ulinzi wa Mungu kwenye sehemu PUBLIC ambyao ni kusanyiko la watu wanakunywa pombe. Hizi sehemu zote mbili zina ulinzi ila unatofautiana kulingana na maudhui ya kusanyiko kwenye sehemu husika.
Hakuna kiumbe lichopo hai hapa duniani leo, ambacho ulinzi wa Mungu ni sifuri, hakipo!
Acha uongoo bas bwashee
 
Back
Top Bottom