Jinsi nilivyojifunza uchawi nikiwa ningali mdogo shuleni

Hivi kafara ni nini?
 
Nyie wachawi mnaostafu ni wapuuz tu, hamna msaada wowote, kwa walio onewa kichawi, mtu anateseka na anahitaji msaada kama mimi hapa
mnapo ombwa msaidie mna baki nyuma, nawakati kwenye haya majukwaa mnajisifu kwa uhatari mlio nao huao ni upumbavu
 
Mkuu hivi shetani asili gan ni mzungu mwafrika ,mhindi au ni Mchina.🤣
 
Tupatie link za hizo nyuzi mkuu
 
Umesimuliwa na Nani...
 
Acha uongoo bas bwashee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…