Daaa!! afadhali wewe yaani kaka yangu bana yeye alipata jimwanamke limepanda km janajeshi! kwanza kubwa ki umri mjisauti sasa utakaa chini!! Misuri hiyooo!! ilibidi tumwambie alitoroke!!
sasa tatizo lake kakangu bana, badala aende mbali!!! yeye kaenda mtaa wa pili!! mbaya zaidi kaenda kaa na kidemu!! weee!! mbona aliomba ardhi ipasuke?? nakwambia lilimfuata machana kweupeeee!!! likaingia likawakta bana weee!! vuruga kakang kajaribu kimbia likamdaka ivi,,,,..... jamani nyie?
ni ka masihara vile lkn......kuna watu ndo maana wakaka wanachukuaga vidada dogovidogo!! hakika nakwambieni wakaka usishobokee mijidada mtaumbuka one day! labda lisikupende lkn km unajua sarakasi na anafika mweeen!! utanitafuta!
lilikuwa likikamata kaka yangu hachomoki