Jinsi nilivyonusurika kufa leo asubuhi

Niko vizuri sana mkuu ila ni kutaka kujaribu vitu vipya ndio yakatokea hayo.
sasa ungekufa ukijaribu, ridhika na ulivyo, nina uhakika ukimwambia wife ataomba talaka
 
Ungekufa kizembe sana kisa kutaka kupambana na mbususu. Ungekufa tungekuzika kwa huzuni kisha tomorrow we shall be lowering your wife's panty as we giggle at how stupid you were.
πŸ˜‚
Hata hivyo ningeacha kiumbe changu tumboni kwa mama yake kinasubiri legacy yangu kuiendeleza.
 
Kitunguu Saumu ni punje tu we unaweka vya buku kabisa mtandaon kila mtu daktari ,kwan we huna nguvu za kiume mpaka uongoze?
Niko poa mkuu nilitaka kuwa strong zaidi.
 
Vipi Dawa Imeongeza Perfomance?
Kuna Vitu Vingine Mtakuja Kujiua We Unakunywa Juice ya Pilipili Unategemea Nini??
Tena Pilipili Za Tsh 1000πŸ˜…πŸ˜…πŸ™ŒπŸ™Œ
πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapana mkuu nilitapika yote
 
Usijekuta tunachat na marehemu hapa...
 
Madud
Madude ya hivi ukipewa uyafanyie postmorterm unaomba wakuache pekee yako unayatia walau vibao vitatu alafu unawaita ndugu na mashaidi waendelee kutazama maana ni lijinga la karne
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Daktari watakushtaki Hahaha Maana Siku hizi wana Haki Mpaka za Marehemu πŸ˜…
 
Mkuu nenda kacheki kama una vidonda vya tumbo...fanya hivo mapema
 
Ama haya ma chips mayai yamevuruga mifumo mwilini kwenu mpaka mnatafuta vitu vya ajabu kushitua mishipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…