Jinsi nilivyonusurika kung'atwa na nyoka wakati nataka kumuokoa

Jinsi nilivyonusurika kung'atwa na nyoka wakati nataka kumuokoa

Pamoja na ujasiri wangu wote lakini ninaogopa Sana nyoka
 
Ni ukweli na uhakika mzee. Fight and flight ndio adui wa nyoka. Ila huyo nyoka mlimuonea, yeye kaishi na yie siku zote hajawadhuru ila nyie kumuona tu mumemuua. Sio vyema
Tusingemuua angeleta madhara kwenye uhai wetu sasa usiku unalala nae ukijichanganya ukamlalia wakati unajigeuza ndo umekwisha Mzee! Kuna viumbe havisaidiki Kwa sababu ya tabia zake mfano Simba ukimkuta kanaswa na mtego unafikiri utamnasua??
 
Nini fast aid ukiumwa na nyoka na hospital ni mbali?
Kuna mawe maalumu ya kunyonya sumu ya nyoka pale anapokung'ata! Unalipachika sehemu ya mwili ulipong'atwa!
Hakikisha unalo ndani ya nyumba au kama shughuli zako ni za porini tembea nalo.
 
Kuna mawe maalumu ya kunyonya sumu ya nyoka pale anapokung'ata! Unalipachika sehemu ya mwili ulipong'atwa!
Hakikisha unalo ndani ya nyumba au kama shughuli zako ni za porini tembea nalo.
Kuna baadhi ya sumu hayo mawe hayawezi mpaka linapasuka
 
Kuna baadhi ya sumu hayo mawe hayawezi mpaka linapasuka
Kuna mawe maalumu ya kunyonya sumu ya nyoka pale anapokung'ata! Unalipachika sehemu ya mwili ulipong'atwa!
Hakikisha unalo ndani ya nyumba au kama shughuli zako ni za porini tembea nalo.
Hayo mawe yanafanya kazi kwenye nyoka wa africa tu kwakua wengi hawana sumu. Ila kwa nyoka wa nchi zingine hayo mawe hayafanyi kazi ndio maana madaktari hawashauri kuyatumia. Wewe unang'atwa na nyoka hawa wa nyumbani unasema jiwe limekusaidi. Hapana si kweli.

Ili ujue hilo jiwe halifanyi kazi uking'atwa na Black Mamba usilitegemee kimbia hospital. Utakufa bure
 
Pamoja na ujasiri wangu wote lakini ninaogopa Sana nyoka
Nyoka kama sio Black Mamba hua sio wagomvi. Sema muonekano wake ndio unatishia amani na macho yake yale
 
Tusingemuua angeleta madhara kwenye uhai wetu sasa usiku unalala nae ukijichanganya ukamlalia wakati unajigeuza ndo umekwisha Mzee! Kuna viumbe havisaidiki Kwa sababu ya tabia zake mfano Simba ukimkuta kanaswa na mtego unafikiri utamnasua??
Mngembeba mkamtupa au mngemfukuza tu angeondoka. Nyie roho mbaya zenu mkamuua
 
Truth is one.

We can only present it, it belongs to no one. It is one.

People have a tendency to associate the presenter with the truth he is presenting. Even identify him/her with it. It normal for humans. That i because we know a man to be what he thinks therefore he is. Mtu ni mawazo yake.

However, I am interested to see what my other fellows have commented.

And careful, with that line of thinking you may find yourself associated with all these Id's as one!!. Mmmh the thought of it is amaizing. Imagine someone creating four Ids with different pseudonyms just to keep delivering different (and same) angles of truth🤯🤯😳🤔🤔. Actually sounds like a great idea. Isn't it?
 
But you can saw it, with your own eyes.

Those two replies by use international language "The language of Queen Elizabeth" but I'm bit far away from them by use Bantu language "Kiswahili" Compatriot.

One of the distinction.
 
Truth is one.

We can only present it, it belongs to no one. It is one.

People have a tendency to associate the presenter with the truth he is presenting. Even identify him/her with it. It normal for humans. That i because we know a man to be what he thinks therefore he is. Mtu ni mawazo yake.

However, I am interested to see what my other fellows have commented.

And careful, with that line of thinking you may find yourself associated with all these Id's as one!!. Mmmh the thought of it is amaizing. Imagine someone creating four Ids with different pseudonyms just to keep delivering different (and same) angles of truth🤯🤯😳🤔🤔. Actually sounds like a great idea. Isn't it?
Mkuu umetumia akili kubwa kujibu jambo dogo🤔
 
My bad , i didn't notice sir
Well now i can say I'm none of the other two
As is if i am the third one😅.
Hua sikoseagi my instincts😎
Flying Dutchman ni naodha aliekua cursed to sail the see forever untill the judgement day.
Upo kinyume kidogo.
Flying Dutchman ni jina la meli inayoendeshwa na Davis Jones ambae yupo cursed kutokukanyaga ardhi siku zote awepo kwenye maji.
Itafahamika pia kwann nmeichukua kama pseudo name yangu
Say it, wanna connect with R. Holiday
 
Ni sifa nzuri kufananishwa na wengine Companion🙏
Kwangu nalikubali na kulipokea kwa mikono miwili, lakini ni watu watatu tofauti.

Nafikiri ingependeza kwa kuelezea mfanano wetu Mate.
But you can saw it, with your own eyes.

Those two replies by use international language "The language of Queen Elizabeth" but I'm bit far away from them by use Bantu language "Kiswahili" Compatriot.

One of the distinction.
Kutokana maandiko yetu humu kila mmoja kuna jinsi anavyosound, You n Dutchman mnafanana the way you sound
 
Msikae kimya ndugu zangu, Uhakika Bro FlyingDutchman kama mtu anaweza kuona mfanano uliopo kati yetu ni vyema kila mmoja akafungaka na kudhihirisha mfanano huo.

Ni vyema tumthibitishie hoja aliyoileta ni sahihi na tumekubaliana nayo wote watatu ama tumdadavulie na aone utafouti uliopo kati yetu. That's It

I'm greater fan of all of you✌️, be free to flow without a fear, doubt or hesitant.
 
Back
Top Bottom