HahahahahahDah! Masharti mengine hayatekelezeki. Mtu na akili yako timamu eti unaenda kulala porini - unajiweka kwenye hatari ya kushambuliwa na wanyama wakali e.g. fisi., mbwamwitu, nyoka, wadudu warukao na watambaao, baridi n.k. kisa ni ili kuuona uchawi ambao HAUPO. Ni kwanini huo uchawi ukae maporini ilhali huku mtaani na mahotelini/guest bado kuna nafasi? Uchawi wa mchongo huo- Tupa kule.
Hilo la uwepo wa Uchawi NALIKATAA KATAKATA. Halipo ila lipo kwenye vichwa vya wajinga.Hahahahahah
Ila uchawi upo Hilo hata usikatae
Daaah aya SAWAHilo la uwepo wa Uchawi NALIKATAA KATAKATA. Halipo ila lipo kwenye vichwa vya wajinga.
Naam. Asante.Daaah aya SAWA
Daaah ayaHilo la uwepo wa Uchawi NALIKATAA KATAKATA. Halipo ila lipo kwenye vichwa vya wajinga.
Hakuna uchawi.We unalalaje hotelini kalale porini ndo utauona !!🤨😂
Nakazia hoja. Hakuna cha uchawi wala majini. Vyote hivyo ni FICTIONHakuna uchawi.
Na huwezi kuthibitisha ndo maana unaleta viroja.
Utajuaje kama uchawi upo kama hu-, practice uchawi wenyewe?Hahahaaa!
Blah blah nyiiingi lakini uthibitisho hakuna.
Wengine walisema niende Gambosi nikajionee mwenyewe. Nikaenda na sikuona chochote zaidi ya ujinga na umaskini tu.
Tanga nimefika. Nimelala sana Mkonge hotel enzi hizo. Sikuona uchawi wala nini.
Uchawi haupo.
The same to me i wishNi ngumu mtu kukuelewa! But ni raha sana kukutana na vitu vizuri namna hio... Ur luck broo.
Kuna watu mpaka wanazeeka hawajawahi kuona FUN things Kama hizo
Ndio,lkn haitakiwi kuuogopa na usikubali ukutie hofu,amini mungu pekee ndo wakuogopwa.Uchawii upo
Huwa naamka kunywa maji usiku Sasa nimekua naota mandoto MAGUMU MAGUMU na ya ajabu ajabu sinywi Tena maji usiku kabla ya kulala 🏃🏃🏃🏃Usinywe maji mengi kabla ya kulala, hayo ni maluwe luwe tu ya mkojo kubana!
Blah blah blah.Utajuaje kama uchawi upo kama hu-, practice uchawi wenyewe?
Ili ujue uchawi upo anza kuufanya na kuusoma vizuri.
Ujue miti yote na kazi zake,
Ujue mimea yote na kazi zake,
Ujue baadhi ya michoro ya kichawi na kazi zake,
Na pia ikiwezekana nenda kwa Mganga ukafanye utafiti ili ujue kama uchawi upo na unafanya kazi ama laa.
Hapo nitakuona umefanya la maana na unastahili kuwa na hiyo BLUE TICK.
Ushuhuda wangu kuhusu uchawi.
Alikuwepo Bamdogo wangu hakuwa amezaliwa na kifafa ila cha kushangaza alipofikisha miaka 31 alianza kudondoka kifafa.
Tulimpeleka hospitali kwa ajili ya matibabu lakini hali yake iliendelea kuwa mbaya.
Hapo Mzee ilibidi ajiongeze kujaribu upande wa asili Ili kunusuru uhai wa Bamdogo, Nakuambia haikupita hata siku 3 mgonjwa wetu alipona kabisa na mpaka leo ana miaka 44 hajawahi kuanguka tena, Na kwa maneno ya Mganga alitupiwa kifafa ( Sijui hii teknolojia inavyofanya Kazi).
Naamini wewe ni Msomi na unaweza kutenga mda wako kujifunza kitu kipya. No research no right to speak.
Lakini ukiwa mtu wa keyboard tu. Mpaka unafariki unaweza usishuhudie hii teknolojia ya asili inavyofanya kazi.
Nanukuu: "Naamini wewe ni Msomi na unaweza kutenga mda wako kujifunza kitu kipya. No research no right to speak".Utajuaje kama uchawi upo kama hu-, practice uchawi wenyewe?
Ili ujue uchawi upo anza kuufanya na kuusoma vizuri.
Ujue miti yote na kazi zake,
Ujue mimea yote na kazi zake,
Ujue baadhi ya michoro ya kichawi na kazi zake,
Na pia ikiwezekana nenda kwa Mganga ukafanye utafiti ili ujue kama uchawi upo na unafanya kazi ama laa.
Hapo nitakuona umefanya la maana na unastahili kuwa na hiyo BLUE TICK.
Ushuhuda wangu kuhusu uchawi.
Alikuwepo Bamdogo wangu hakuwa amezaliwa na kifafa ila cha kushangaza alipofikisha miaka 31 alianza kudondoka kifafa.
Tulimpeleka hospitali kwa ajili ya matibabu lakini hali yake iliendelea kuwa mbaya.
Hapo Mzee ilibidi ajiongeze kujaribu upande wa asili Ili kunusuru uhai wa Bamdogo, Nakuambia haikupita hata siku 3 mgonjwa wetu alipona kabisa na mpaka leo ana miaka 44 hajawahi kuanguka tena, Na kwa maneno ya Mganga alitupiwa kifafa ( Sijui hii teknolojia inavyofanya Kazi).
Naamini wewe ni Msomi na unaweza kutenga mda wako kujifunza kitu kipya. No research no right to speak.
Lakini ukiwa mtu wa keyboard tu. Mpaka unafariki unaweza usishuhudie hii teknolojia ya asili inavyofanya kazi.
Naam siogop ndo maana kwenye kila maombi yangu namshukuru Mungu kwa ulinzi wake dhidi ya watesiNdio,lkn haitakiwi kuuogopa na usikubali ukutie hofu,amini mungu pekee ndo wakuogopwa.
Huwa najiuliza hivi hizo tekinolojia kwanini zisitumike kutuletea maendeleo, au zikawa kama silaha dhidi ya mataifa makubwa hayo yenye dhuluma na ushenzi wa kila aina?Utajuaje kama uchawi upo kama hu-, practice uchawi wenyewe?
Ili ujue uchawi upo anza kuufanya na kuusoma vizuri.
Ujue miti yote na kazi zake,
Ujue mimea yote na kazi zake,
Ujue baadhi ya michoro ya kichawi na kazi zake,
Na pia ikiwezekana nenda kwa Mganga ukafanye utafiti ili ujue kama uchawi upo na unafanya kazi ama laa.
Hapo nitakuona umefanya la maana na unastahili kuwa na hiyo BLUE TICK.
Ushuhuda wangu kuhusu uchawi.
Alikuwepo Bamdogo wangu hakuwa amezaliwa na kifafa ila cha kushangaza alipofikisha miaka 31 alianza kudondoka kifafa.
Tulimpeleka hospitali kwa ajili ya matibabu lakini hali yake iliendelea kuwa mbaya.
Hapo Mzee ilibidi ajiongeze kujaribu upande wa asili Ili kunusuru uhai wa Bamdogo, Nakuambia haikupita hata siku 3 mgonjwa wetu alipona kabisa na mpaka leo ana miaka 44 hajawahi kuanguka tena, Na kwa maneno ya Mganga alitupiwa kifafa ( Sijui hii teknolojia inavyofanya Kazi).
Naamini wewe ni Msomi na unaweza kutenga mda wako kujifunza kitu kipya. No research no right to speak.
Lakini ukiwa mtu wa keyboard tu. Mpaka unafariki unaweza usishuhudie hii teknolojia ya asili inavyofanya kazi.
Exactly yes. Yan eti mtu uijue miti yote na kazi zake.uijue mimea yooote na blaablaah, uijue michoro ...Dah! Kweli ni blah blah blah kibao.Blah blah blah.
Watakuja hapa kukuambia ni maalum kwa Africans tu.Huwa najiuliza hivi hizo tekinolojia kwanini zisitumike kutuletea maendeleo, au zikawa kama silaha dhidi ya mataifa makubwa hayo yenye dhuluma na ushenzi wa kila aina?
Naam,au watakwambia wazungu ni hatari wanakinga zakutosha,ooh uwawezi bhana!!,, ooh unawaona wale Manchester ni wachawi balaa,hakuna lolote wala.Watakuja hapa kukuambia ni maalum kwa Africans tu.
😂 Acha kufananisha madeni na vitu vya kijinga, me mbona nina madeni ila sijawahi ona watu waki Float usikuMadeni yanakusumbua kenge wewe