Jinsi nilivyothibitisha Uchawi, hutoamini nakwambia!

Jinsi nilivyothibitisha Uchawi, hutoamini nakwambia!

Kwa mantiki hiyo, ina maana kwamba Mungu ni mchawi zaidi sio?
sijasema MUNGU ni mchawi,,,ila MUNGU ndio muumba wkila ki2 anaweza kufanya lolote kwa kutamka tu,,,ata wanyama,ndege,samakiwadudu dunia na kila ki2 ameumba yeye,,so MUNGU ni eternal,,sasa wachawi wanashirikiana na mashetani na majini kuharibu wa2,,,ujue shetani alikua kwa MBINGU hapo kale,,MUNGU akamwambia amsujudie adam shetani akakataa MUNGU akamuuliza kwa nini? shetani akamjibu mimi umeniumba kwa moto na upepo ila huyu umemuumba kwa udongo na maji,ndo MUNGU kamfukuza shetani,,,,,shetani akamwomba MUNGU ili amjaribu binadam na MUNGU akamruhusu shetani, shetani akamwahidi MUNGU hakika nitawapa vishawishi,juu yao,juu yao,kulia kwao,kushoto kwao na chini yao,,napo ndipo balaa lilipoanza,,,so shetani anajua mambo mengi sana ya siri kwani anao uwezo mkubwa,sana na maagent wake ndo hao wachawi,wapiga ramli.nk,na maagent wa MUNGU mapadre,wachungaji,mashehe,,,na wote wanaofanya kazi kwa uwazi kupitia vitabu vitakatifu,maagent wa shetani kazi zao wanazifanya kwa siri sana wanatupia vitu vya ajabu,,,mfano mtu wa MUNGU hana haja ya kuvaa hirizi wala kwenda kupiga ramli,bali anaishi kwa neno kumtemea MUNGU peke yake,,,m2 wa MUNGU hana haja ya kuvunja nazi njia panda wala kulala makaburini,kulikuwa
 
Mwezi uliopita nilikua porini tumefata gogo la kupikia,tulikua wawili,wakati tunarudi tukafika sehemu Kuna mti mkubwa tukapumzika ghafla harufu Kali ya marashi ikaanza kunukia na hakuna mazingira ya watu kuwa karibu maeneo hayo,tukajiongeza kimyakimya kuondoka eneo Hilo,tumefika umbali kama MITA 40 nikageka nyuma aisee niliona bonge la paka jeusi tulipokua tumekaa,sikumwambia mwenzangu mpaka tulipofika kambini.
 
sijasema MUNGU ni mchawi,,,ila MUNGU ndio muumba wkila ki2 anaweza kufanya lolote kwa kutamka tu,,,ata wanyama,ndege,samakiwadudu dunia na kila ki2 ameumba yeye,,so MUNGU ni eternal,,sasa wachawi wanashirikiana na mashetani na majini kuharibu wa2,,,ujue shetani alikua kwa MBINGU hapo kale,,MUNGU akamwambia amsujudie adam shetani akakataa MUNGU akamuuliza kwa nini? shetani akamjibu mimi umeniumba kwa moto na upepo ila huyu umemuumba kwa udongo na maji,ndo MUNGU kamfukuza shetani,,,,,shetani akamwomba MUNGU ili amjaribu binadam na MUNGU akamruhusu shetani, shetani akamwahidi MUNGU hakika nitawapa vishawishi,juu yao,juu yao,kulia kwao,kushoto kwao na chini yao,,napo ndipo balaa lilipoanza,,,so shetani anajua mambo mengi sana ya siri kwani anao uwezo mkubwa,sana na maagent wake ndo hao wachawi,wapiga ramli.nk,na maagent wa MUNGU mapadre,wachungaji,mashehe,,,na wote wanaofanya kazi kwa uwazi kupitia vitabu vitakatifu,maagent wa shetani kazi zao wanazifanya kwa siri sana wanatupia vitu vya ajabu,,,mfano mtu wa MUNGU hana haja ya kuvaa hirizi wala kwenda kupiga ramli,bali anaishi kwa neno kumtemea MUNGU peke yake,,,m2 wa MUNGU hana haja ya kuvunja nazi njia panda wala kulala makaburini,kulikuwa
Lakini mkuu hoja hapo ni mashindano au kuoneshana umwamba katika Uchawi. Nguvu ya Wachawi wa Farao dhidi ya Uchawi Uliotoka kwa Mungu kupitia Musa na Haruni.
 
Mwezi uliopita nilikua porini tumefata gogo la kupikia,tulikua wawili,wakati tunarudi tukafika sehemu Kuna mti mkubwa tukapumzika ghafla harufu Kali ya marashi ikaanza kunukia na hakuna mazingira ya watu kuwa karibu maeneo hayo,tukajiongeza kimyakimya kuondoka eneo Hilo,tumefika umbali kama MITA 40 nikageka nyuma aisee niliona bonge la paka jeusi tulipokua tumekaa,sikumwambia mwenzangu mpaka tulipofika kambini.
ndio ivo mkuu,,wa2 wanabisha kwani hawasomi
 
The human mind is limited in the knowledge of most things. Because the mind was created to understand better only the things that the five sensory organs can capture, it becomes hard to believe in the existence of the abstract world and the supernatural. Though there are a few people who involve first hand in magic and witchcraft it is still hard for them to make the society believe in the existence of those things because once they do so their character will be questioned by people around them.
The west has dominated most civilizations in the world and most people try to dance to it's mad beat unknowingly. The west has devoted itself into scientific research and they only believe in the existence of what can be proven by science. Things such as myth and abstract phenomenon are hard to be researched on that's why the west dismisses them often as made up or weak thinking. The concept of God, angels, jinn (good and evil ones), the hereafter (eschatology, hell and paradise) and witchcraft are believed by people who're considered traditionalists and conservative of the old religious scriptures. In their desperate attempt to try and understand everything they dismiss the existence of God saying that he's an invalid noumenon and they've come up with countless made up theories about the cradle of life and every existence such as big bang theory and the evolution of man.
What I'm trying to say is a human mind cannot fathom each and everything because the mind was created with limits that it can never break out from. God created jinns, he created the hereafter, he created angels, he created witchcraft and lastly he created human beings with some little fallible brains that always fight hard to comfort it's failure to understand things which are not meant to be fully understood by them. The abstract world is there to remind a human being how weak he is and thus he at the end needs to forfeit in his irrational struggles to account for everything and bow down to the creator with respect and gratitude. Don't overwork your minds trying to deny things above your tiny brains understanding capacity while you don't even remember your life in the womb yet you believe you lived in there for nine long months alive and healthy. If you can't remember your life in the womb then that should be the answer that our minds are limited.
 
Mwezi uliopita nilikua porini tumefata gogo la kupikia,tulikua wawili,wakati tunarudi tukafika sehemu Kuna mti mkubwa tukapumzika ghafla harufu Kali ya marashi ikaanza kunukia na hakuna mazingira ya watu kuwa karibu maeneo hayo,tukajiongeza kimyakimya kuondoka eneo Hilo,tumefika umbali kama MITA 40 nikageka nyuma aisee niliona bonge la paka jeusi tulipokua tumekaa,sikumwambia mwenzangu mpaka tulipofika kambini.
Mlipofika kambini ndo ukamwambia sio au Hadi leo bado hujamwambia?? Hamkuulizana chochote kwanza kabla ya kuondoka? Mkuu; umbali wa mita 40 ni almost nusu ya uwanja wa mpira kutoka goli moja hadi lingine i.e. pale unapowekwa mpira ili mechi ianze. Kwa size umbo la Paka sio rahisi kumwona tena ukizingatia tayari mko na maruweruwe kichwani na mnatembea haraka kujinusuru na msichokijua. Mbona Hii inaweza kuwa ni :AYAYASip: ?
 
The human mind is limited in the knowledge of most things. Because the mind was created to understand better only the things that the five sensory organs can capture, it becomes hard to believe in the existence of the abstract world and the supernatural. Though there are a few people who involve first hand in magic and witchcraft it is still hard for them to make the society believe in the existence of those things because once they do so their character will be questioned by people around them.
The west has dominated most civilizations in the world and most people try to dance to it's mad beat unknowingly. The west has devoted itself into scientific research and they only believe in the existence of what can be proven by science. Things such as myth and abstract phenomenon are hard to be researched on that's why the west dismisses them often as made up or weak thinking. The concept of God, angels, jinn (good and evil ones), the hereafter (eschatology, hell and paradise) and witchcraft are believed by people who're considered traditionalists and conservative of the old religious scriptures. In their desperate attempt to try and understand everything they dismiss the existence of God saying that he's an invalid noumenon and they've come up with countless made up theories about the cradle of life and every existence such as big bang theory and the evolution of man.
What I'm trying to say is a human mind cannot fathom each and everything because the mind was created with limits that it can never break out from. God created jinns, he created the hereafter, he created angels, he created witchcraft and lastly he created human beings with some little fallible brains that always fight hard to comfort it's failure to understand things which are not meant to be fully understood by them. The abstract world is there to remind a human being how weak he is and thus he at the end needs to forfeit in his irrational struggles to account for everything and bow down to the creator with respect and gratitude. Don't overwork your minds trying to deny things above your tiny brains understanding capacity while you don't even remember your life in the womb yet you believe you lived in there for nine long months alive and healthy. If you can't remember your life in the womb then that should be the answer that our minds are limited.
Na kweli ww ni "Moto uteketezao" i.e. blazing inferno
 
Tatizo uliparamia karai la vyombo 🤣🤣
Nilichungulia kupitia dirisha la chumbani nikawa siamini ninachokiona nafikicha macho nione vzuri halafu kulikuwa na kambalamwezi nikaona hapana ngoja nikachungulie kupitia dirisha la sebleni, nimefunua pazia nikarusha jicho huko naona watu lkn ni vivuri yani unawaonea ks lkn kuwatambua hata kuwa mark sura ni vigumu ss Ile kulazimisha macho yaone kupita uwezo nikawa nafikicha na vidole ss Ile kurudisha mkono chini nikajikuta nimepita na masifuria yaliyokuwa juu ya ndoo. Na game ikawa imeishia hapo
 
Vipi kama huo uchawi ni jina la teknolojia ya kiafrika ambayo huwezi kuiona kwa macho kama ambavyo unajua una malaria ila huwezi kuviona vimelea kwa macho bila kupitia microscope..

Sasa kama wewe unaaminishwa unaumwa malaria kwa dalili tu pasipo kuthibitisha kwa microscope "mwenyewe" Kwa sababu huna utaalamu huo, kwa nini umuone mtu mwendawazimu kwa kuamini anarogwa na akaponywa na mtaalamu kwa sababu tu "hujauona huo uchawi kwa macho"..
Hakuna kitu kama hicho.

Ulinganisho wako kati ya huo unaoitwa uchawi na hicho ulichokotolea mfano ni sawa na kulinganisha chungwa na kabila la wagagagigikoko.

Halafu maneno mengi ya nini? Malaria ina kanuni na taratibu zake za kiithibati. Inathibitishika.

Narudi zangu kulala. Ukiwa kuthibitisha uchawi kwa namna yoyote ile, niamshe.
 
Na inaonekana kazi Yako ni ya kushinda ofisini muda wote, utaonaje matukio kama haya mkuu tembea sehemu mbali mbali hasa Tanga huko na sumbawanga wao wanajiita swax
Hahahaaa!

Blah blah nyiiingi lakini uthibitisho hakuna.

Wengine walisema niende Gambosi nikajionee mwenyewe. Nikaenda na sikuona chochote zaidi ya ujinga na umaskini tu.

Tanga nimefika. Nimelala sana Mkonge hotel enzi hizo. Sikuona uchawi wala nini.

Uchawi haupo.
 
Mlipofika kambini ndo ukamwambia sio au Hadi leo bado hujamwambia?? Hamkuulizana chochote kwanza kabla ya kuondoka? Mkuu; umbali wa mita 40 ni almost nusu ya uwanja wa mpira kutoka goli moja hadi lingine i.e. pale unapowekwa mpira ili mechi ianze. Kwa size umbo la Paka sio rahisi kumwona tena ukizingatia tayari mko na maruweruwe kichwani na mnatembea haraka kujinusuru na msichokijua. Mbona Hii inaweza kuwa ni :AYAYASip: ?
Kuhusu umbali pembeni kwenye mti kulikua na jiwe na paka alikua juu ya jiwe, kuhusu marashi tuliambiana palepale,swala la paka tulivofika ndio nikasema..
 
Hahahaaa!

Blah blah nyiiingi lakini uthibitisho hakuna.

Wengine walisema niende Gambosi nikajionee mwenyewe. Nikaenda na sikuona chochote zaidi ya ujinga na umaskini tu.

Tanga nimefika. Nimelala sana Mkonge hotel enzi hizo. Sikuona uchawi wala nini.

Uchawi haupo.
We unalalaje hotelini kalale porini ndo utauona !!🤨😂
 
We unalalaje hotelini kalale porini ndo utauona !!🤨😂
Dah! Masharti mengine hayatekelezeki. Mtu na akili yako timamu eti unaenda kulala porini - unajiweka kwenye hatari ya kushambuliwa na wanyama wakali e.g. fisi., mbwamwitu, nyoka, wadudu warukao na watambaao, baridi n.k. kisa ni ili kuuona uchawi ambao HAUPO. Ni kwanini huo uchawi ukae maporini ilhali huku mtaani na mahotelini/guest bado kuna nafasi? Uchawi wa mchongo huo- Tupa kule.
 
Back
Top Bottom