Jinsi nilivyothibitisha Uchawi, hutoamini nakwambia!

Jinsi nilivyothibitisha Uchawi, hutoamini nakwambia!

Nanukuu: "Naamini wewe ni Msomi na unaweza kutenga mda wako kujifunza kitu kipya. No research no right to speak".
Sawa kabisa. Sasa ww unayetusemesha hapa (comment) tuanzie kwako. Leta Research findings zako hapa ili tuweze kukusikiliza. Tofauti na hapo; U have no right to speak.
Nyinyi mmezaliwa mjini kwaio Kuna mambo yamewapita Ila sisi ambao tumekulia bush vijijini tumeona mengi Sanaa.

Kinachukuliwa kioo kile/vile vya kujitazama unatakiwa uweke noti/ pesa ya noti.

Utaambiwa mpaka Yale yaliyo jificha moyoni mwako/ yaan mtu anaona mpaka mwisho wako/wazazi elimu/ yaani hizi sio hekaya congo DRC hapo.

Kuna dawa za kuzindika mashamba ukiiba / ukichuma embe ,chungwa, Pera, kitu chochote UMECHUMA ROHO YAKO..

KUNA VIDONO, KUNA VINGUTI, KUNA WATU WANA DAWA WAKIGONGWA NA NYOKA HAWAPATI TATIZO LOLOTE UNALIJUA HILI?

Kuna mti UNAITWA MZIMA ukichuma Jani lake ukaweka MFUKONI utakatiza sehemu ya hatari/ balaa mfano NYOKA, fisi, chatu, Simba, wanyama wote wata ku ignore unafika nyumbani salama... negative side hilo Jani ukiwa nalo linafunga bahati / unaweza pesa ikawa mbele yako usiione..

Wamasai huwa wanamafuta yao wakipaka wanyama wote hatari wanawakimbia kwa kusikia Ile harufu unalijua Hilo...Simba 🦁 mwenyewe akisikia Ile harufu ANATOKA nduki

Una jua Kuna mizimu,majini,wachawi, waganga, misukule?

UNALIJUA kaburi la MARTINE KIYEYUU?

Hapo UDSM Kuna maprofesa wamewai kufanya tafiti za WITCHCRAFT IN TANGANYIKA usha soma findings ZAO.
 
Hakuna kitu kama hicho.

Ulinganisho wako kati ya huo unaoitwa uchawi na hicho ulichokotolea mfano ni sawa na kulinganisha chungwa na kabila la wagagagigikoko.

Halafu maneno mengi ya nini? Malaria ina kanuni na taratibu zake za kiithibati. Inathibitishika.

Narudi zangu kulala. Ukiwa kuthibitisha uchawi kwa namna yoyote ile, niamshe.

Kama ambavyo huwa unahitaji uthibitisho wa daktari na si mwanasheria katika kujua hali yako kiafya. Ndivyo vivyo hivyo huwezi kupata uthibitisho wa ulozi kwa mtu asiye mlozi tena kupitia jf "speciality".

Ila kama upo bongo na upo radhi kuwekeza kwa ajili ya kuuthibitisha uwepo wa huo ushirikina. Nipo tayari kukutafutia, hizo contacts "free of charge".
 
Ndugu zangu wa JamiiForums, napenda kushiriki nanyi tukio la kushangaza lililotokea maishani mwangu, ambalo lilinionyesha wazi kuwa uchawi upo! Mpaka leo nikikumbuka usiku ule, mwili hunisisimka na maswali hayaishi kichwani mwangu.

Usiku wa Ajabu

Ilikuwa ni usiku wa manane, saa nane hivi. Nyumba ilikuwa kimya kabisa, kila mtu amelala, lakini ghafla niliamka nikiwa na hisia ngeni. Kulikuwa na ukimya wa ajabu, ukimya ambao hukufanya usikie hata sauti ya mapigo ya moyo wako. Nilihisi kama kuna mtu au kitu ndani ya chumba changu, ingawa mlango ulikuwa umefungwa na madirisha yakiwa salama.

Niliinama kidogo nikatazama chini ya kitanda—hakukuwa na kitu. Nikanyanyuka taratibu na kuwasha taa ya simu yangu, kisha nikapeleka macho dirishani. Ndipo nikamuona mtu akisimama nje ya nyumba yangu, umbali wa kama mita tano, akiwa hana kiatu na amevalia mavazi meupe yaliyochafuka. Uso wake haukuwa wazi, lakini mwili wake ulikuwa umetulia kimya bila hata kusogea.

Nilihisi hofu ikianza kunizidia, lakini nikajipa ujasiri. “Labda ni mwizi,” nilijiambia, nikachukua fimbo yangu ndogo niliyokuwa nayo chumbani. Nikaamua kumfuata taratibu ili nione kama kweli ni mtu wa kawaida au kuna jambo lingine.

Tukio Lisiloeleweka

Nilipofungua mlango na kutoka nje, cha kushangaza ni kuwa mtu yule alionekana kama vile anateleza ardhini badala ya kutembea! Hakutembea kwa miguu kama binadamu wa kawaida. Niliendelea kumfuata kwa tahadhari, lakini kila nilipomsogelea, alionekana kusogea mbali zaidi bila hata kukimbia.

Nilipojaribu kupiga kelele ili majirani wasikie, sauti yangu haikutoka! Nilihisi kama koo langu limefungwa ghafla, kama mtu aliyebanwa na mkono wa ajabu! Hofu ilinizidi, nikaanza kurudi nyuma haraka kuelekea ndani. Nilipofika mlangoni na kugeuka kutazama tena, yule mtu alikuwa ametoweka ghafla—kana kwamba hakuwahi kuwepo!

Ushahidi wa Ajabu

Siku iliyofuata asubuhi, nilipowaeleza majirani kuhusu tukio hilo, baadhi yao waliniambia kuwa jirani yetu mmoja alifariki usiku huo huo nikiwa napambana na kiumbe kisichoeleweka! Inasemekana mtu huyo alikuwa anahusishwa na vitendo vya ushirikina na alishawahi kushukiwa kuwa mchawi wa mtaa.

Kwa hakika, tangu siku hiyo, niliamini kuwa kuna vitu ambavyo akili ya kawaida haiwezi kuelewa. Mpaka leo, sijui yule mtu alikuwa nani hasa, wala alitowekaje bila hata kusikika. Uchawi upo ndugu zangu, na mimi nimeshuhudia kwa macho yangu!

Je, umewahi kukutana na tukio kama hili? Niambie!
Mkuu amka unakaribia kukojoa kitandani, amka chapu
 
Nyinyi mmezaliwa mjini kwaio Kuna mambo yamewapita Ila sisi ambao tumekulia bush vijijini tumeona mengi Sanaa.

Kinachukuliwa kioo kile/vile vya kujitazama unatakiwa uweke noti/ pesa ya noti.

Utaambiwa mpaka Yale yaliyo jificha moyoni mwako/ yaan mtu anaona mpaka mwisho wako/wazazi elimu/ yaani hizi sio hekaya congo DRC hapo.

Kuna dawa za kuzindika mashamba ukiiba / ukichuma embe ,chungwa, Pera, kitu chochote UMECHUMA ROHO YAKO..

KUNA VIDONO, KUNA VINGUTI, KUNA WATU WANA DAWA WAKIGONGWA NA NYOKA HAWAPATI TATIZO LOLOTE UNALIJUA HILI?

Kuna mti UNAITWA MZIMA ukichuma Jani lake ukaweka MFUKONI utakatiza sehemu ya hatari/ balaa mfano NYOKA, fisi, chatu, Simba, wanyama wote wata ku ignore unafika nyumbani salama... negative side hilo Jani ukiwa nalo linafunga bahati / unaweza pesa ikawa mbele yako usiione..

Wamasai huwa wanamafuta yao wakipaka wanyama wote hatari wanawakimbia kwa kusikia Ile harufu unalijua Hilo...Simba 🦁 mwenyewe akisikia Ile harufu ANATOKA nduki

Una jua Kuna mizimu,majini,wachawi, waganga, misukule?

UNALIJUA kaburi la MARTINE KIYEYUU?

Hapo UDSM Kuna maprofesa wamewai kufanya tafiti za WITCHCRAFT IN TANGANYIKA usha soma findings ZAO.

Wengi husema hawaujui uchawi, aidha hawana experience nao haswa waliokuzwa ushuani ama ughaibuni na kuna wengine wanajua ila hawawezi kukubali mbele za watu ili waoneka wemestaarabika.


Mimi binafsi nishasema, kama watu wataniona barbaric kwa kuamini uchawi upo na iwe hivyo. Ila siwezi kusema uongo ili nionekane civilized
 
Kama ambavyo huwa unahitaji uthibitisho wa daktari na si mwanasheria katika kujua hali yako kiafya. Ndivyo vivyo hivyo huwezi kupata uthibitisho wa ulozi kwa mtu asiye mlozi tena kupitia jf "speciality".

Ila kama upo bongo na upo radhi kuwekeza kwa ajili ya kuuthibitisha uwepo wa huo ushirikina. Nipo tayari kukutafutia, hizo contacts "free of charge".
Bullshit.
 
Nyinyi mmezaliwa mjini kwaio Kuna mambo yamewapita Ila sisi ambao tumekulia bush vijijini tumeona mengi Sanaa.

Kinachukuliwa kioo kile/vile vya kujitazama unatakiwa uweke noti/ pesa ya noti.

Utaambiwa mpaka Yale yaliyo jificha moyoni mwako/ yaan mtu anaona mpaka mwisho wako/wazazi elimu/ yaani hizi sio hekaya congo DRC hapo.

Kuna dawa za kuzindika mashamba ukiiba / ukichuma embe ,chungwa, Pera, kitu chochote UMECHUMA ROHO YAKO..

KUNA VIDONO, KUNA VINGUTI, KUNA WATU WANA DAWA WAKIGONGWA NA NYOKA HAWAPATI TATIZO LOLOTE UNALIJUA HILI?

Kuna mti UNAITWA MZIMA ukichuma Jani lake ukaweka MFUKONI utakatiza sehemu ya hatari/ balaa mfano NYOKA, fisi, chatu, Simba, wanyama wote wata ku ignore unafika nyumbani salama... negative side hilo Jani ukiwa nalo linafunga bahati / unaweza pesa ikawa mbele yako usiione..

Wamasai huwa wanamafuta yao wakipaka wanyama wote hatari wanawakimbia kwa kusikia Ile harufu unalijua Hilo...Simba 🦁 mwenyewe akisikia Ile harufu ANATOKA nduki

Una jua Kuna mizimu,majini,wachawi, waganga, misukule?

UNALIJUA kaburi la MARTINE KIYEYUU?

Hapo UDSM Kuna maprofesa wamewai kufanya tafiti za WITCHCRAFT IN TANGANYIKA usha soma findings ZAO.

Ishu ya kaburi la Kiyeuyeu ishajibiwa mara nyingi sana na tanesco online na humu. Ilikua ishu ya fidia.

Utafiti wa UDSM uliishia kusema hakuna uthibitisho.

Ukitaka kumficha muafrika muwekee maarifa kwenye vitabu. Mngekuwa mnasoma mngekuwa mmeshayajua haya kitambo ila mmejazwa ujinga na kila siku mnasimuliana ujinga huo huo kama hizi story za mleta uzi. Mazwazwa mnaamini na nyie mnaenda kusimulia.

Mtakua mazwazwa hadi lini nyie mitanganyika kuamini vitu kwa kuambiwa tu?

 
N

Ngoja baadae nita andika Uzi mwingine apa wa jamaa yangu mmoja alikutana na jini porini

Hearsay stories again. Kisa umesimuliwa umeamini na wewe unasimulia kwamba ndo tutakuamini? Labda mazwazwa wenzio.

Hata useme umeenda chini ya bahari at Bermuda triangle na kurudi kichawi bila proof ni story za kijinga tu.

Kwa hizi story zenu nagundua tatizo la TZ sio CCM bali wananchi wengi bado wana upeo finyu sana.
 
Wengi husema hawaujui uchawi, aidha hawana experience nao haswa waliokuzwa ushuani ama ughaibuni na kuna wengine wanajua ila hawawezi kukubali mbele za watu ili waoneka wemestaarabika.


Mimi binafsi nishasema, kama watu wataniona barbaric kwa kuamini uchawi upo na iwe hivyo. Ila siwezi kusema uongo ili nionekane civilized
Kwenye kutoa KAFARA huwa anaitajika kiumbe. Mfano kuku..

Ukimchukua kuku ukamkata kichwa GAFLA na kumuachilia yule kuku atahangaika huku na kule mwisho atakata ROHO.

Sasa ni nadra Sana kuku kufa akiwa Chali nakwambia ni nadra Sanaa...Katika uislamu Kuna vitabu vipo vya uganga.

Kwaio ukitoa kafara ya kuku ukamkata kichwa GAFLA na kumuachilia ATAKAPO KUFA KUNA STILI MBALI MBALI ATAKAZO KUA AMELALA NA MAANA ZAKE.

HII DUNIA SIO KWA JINSI UNAVYO IONA..INA MAMBO MENGI SANAA..WANABISHA TU ILA UCHAWI UPO NA UNAFANYA KAZI.

Screenshot_20250224-163058.png
 
Ishu ya kaburi la Kiyeuyeu ishajibiwa mara nyingi sana na tanesco online na humu. Ilikua ishu ya fidia.

Utafiti wa UDSM uliishia kusema hakuna uthibitisho.

Ukitaka kumficha muafrika muwekee maarifa kwenye vitabu. Mngekuwa mnasoma mngekuwa mmeshayajua haya kitambo ila mmejazwa ujinga na kila siku mnasimuliana ujinga huo huo kama hizi story za mleta uzi. Mazwazwa mnaamini na nyie mnaenda kusimulia.

Mtakua mazwazwa hadi lini nyie mitanganyika kuamini vitu kwa kuambiwa tu?

Asante kwa kejeli maneno ya ovyo ovyo.
Maneno tupu yasiyo na maana yeyote.
Hayati MAGUFURI aliwai kukutana na tukio la bulldozer kushindwa kung'oa mti ili barabara ipite ikabidi waongee na wazee wa pale ndipo likafanyika tambiko mambo yakaenda sawa ingia kwenye you tube utajionea.

LIKUD aliwai kusimulia visa vya BIBI FISI alie kua mchawi Sana maeneo ya bugando mwanza..kwa walio wai kufika pale bara bara ya bugando wataona barabara imepinda ni kwa ajir ya kumpisha BIBI FISI huyu bibi alikua hatari mpaka Nyerere physically alienda kuongea nae kumwomba apishe ujenzi wa barabara.
Inasemwa ma engineer walishindwa kubomoa nyumba ya udongo ya bibi FISI

Jitahidi kujielimisha punguza matusi na jazba zisizo na sababu wewe still ni mchanga Sana kwenye hii fani ya sorcerer,witch, power 🗣️

Jitahidi kujielimisha pia nakushaur uwe na pure drinking water hapo pembeni mkuu.
 
Asante kwa kejeli maneno ya ovyo ovyo.
Maneno tupu yasiyo na maana yeyote.
Hayati MAGUFURI aliwai kukutana na tukio la bulldozer kushindwa kung'oa mti ili barabara ipite ikabidi waongee na wazee wa pale ndipo likafanyika tambiko mambo yakaenda sawa ingia kwenye you tube utajionea.

LIKUD aliwai kusimulia visa vya BIBI FISI alie kua mchawi Sana maeneo ya bugando mwanza..kwa walio wai kufika pale bara bara ya bugando wataona barabara imepinda ni kwa ajir ya kumpisha BIBI FISI huyu bibi alikua hatari mpaka Nyerere physically alienda kuongea nae kumwomba apishe ujenzi wa barabara.
Inasemwa ma engineer walishindwa kubomoa nyumba ya udongo ya bibi FISI

Jitahidi kujielimisha punguza matusi na jazba zisizo na sababu wewe still ni mchanga Sana kwenye hii fani ya sorcerer,witch, power 🗣️

Jitahidi kujielimisha pia nakushaur uwe na pure drinking water hapo pembeni mkuu.

Itakua unaamini pia excavator ilishindwa kubeba fimbo ya Nyerere. Wajinga hawaishi hakika.
 
Back
Top Bottom