Jinsi nilivyotokea kuvutiwa na mbuzi

Jinsi nilivyotokea kuvutiwa na mbuzi

msukule mzembe

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2022
Posts
253
Reaction score
302
EBOOOO ENASEKETESHAAAAA SANA


Tafadhali rejea mada hapo juu, [emoji28][emoji28][emoji28]

Mimi msukule mzembe wiki hii katika pita pita zangu katika jiji hili la daslamu nikiwa nipo off kikazi nikasema ngoja nikatembee kidogo, nikatoka home pande za mbagala na kagari kangu kadogo,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Nikiwa njiani pande za temeke polisi likatokea kundi moja la mbuzi likiwa na mbuzi wapatao 20+, mbuzi hao walikua wanavuka barabara. ikabidi nisimamishe gari, niwapishe wapite kwanza kisha na mimi ndo niendelee na safari zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wale mbuzi walikua wanenona sana, yani wana afya na nyama tele hadi nikawatamani. kwakua nilikua sina mahali pa kwenda ila kuzunguka tuuu, nikasimamisha gari nikashuka nikawafata wale mbuzi nyuma nyuma ili nijue wanapokaa. nikaona wanaelekea makaburi ya taifa, hapi Nika acha kuwafatilia[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Nikawafata wazee walikua kijiweni wanacheza draft, nikawauliza wale mbuzi wa nani, wakasema wale mbuzi ni pori hawafugwi wanaishi kivyao , wengine wakasema wale ni watu wamegeuzwa kua mbuzi , wengine wakasema wale misukule[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Mimi nikasema sikubali, kama hawamilikiwi na mtu basi nitaiba mmoja , na kweli mungu si athuman nikakaa hadi jioni nikamvizia mmoja nikamkamata saizi nipo ghetto nakula nyama ya mbuzi [emoji28][emoji28][emoji28].

Nahuyu mbuzi nikimmaliza nitamfata mwingine, kuanzia sasa ni kula mbuzi tuuu hadi rahaaaaa[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]

Enaseketeshaaaaaaaaaaaaa thanaaaaaaa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji23]
 
Ukashuka kwenye magari Kako ukaanza kuwafata mbuzi,ukawafataaaa ukaona wanatokomea kwenye makaburi ya taifa!!

Sasa hivi unakula kitoweo cha mbuzi wa makaburini..basi sawa
 
Back
Top Bottom