Jinsi nilivyougua miaka mingi na kunusurika kifo baada ya kurogewa uchawi wa bundi

Jinsi nilivyougua miaka mingi na kunusurika kifo baada ya kurogewa uchawi wa bundi

Unafoka kama vile unalipa... Hahaa ukiona chai au haikuvutii unaachana nayo
Sasa hivi huyo dada ana miaka kama 75, ina maana ametolewa mwali akiwa na miaka 30 [emoji849]. Kwa kawaida mwali wanatolewa na miaka 13-18

Halafu huu mtindo wa itaendelea mmeutoa wapi? Bongo movie?

Kuna yule jamaa wa "Visa Mikasa vya Kusaka Utajiri", hajaendelea mpaka leo ... Ni Chizi Maarifa sijui
 
Huyu jamaa anacheza na akili zenu, kwanza sio mzee, pili sio mjinga kama anavyo wahadithia kwamba hakumaliza darasa la saba, tatu hata jinsi anavyoandika anajikosesha makusudi kwenye baadhi ya maneno.

Hebu muangalie hapa akiwa anachangia mada kwa kutumia akili zake timamu bila kujifanya kichaa, halafu fananisha na anavyoandika kwenye huu uzi wake.View attachment 1736354

Mkui hapo mbona ID iliyojibu kiakili ni hiyo sayoda? Na the dreamer ame quote hiyo comment kwa kujibu kikawaida tu.

Bado hujatengeza hoja strong.

Jipange
 
Mzee baba, hatupo bungeni kulumbana lumbana. Kama akili zako zina charge vizuri, ukisoma kipengele alichoandika The Dreamer hapo chini kuuliza maswala ya recruitment, halafu ukafanya comparison na jinsi anavyoandika na kuwaaminisha watu humu kwenye hii story.

Majibu utakuwa nayo.
Bhana eee sawa sisi tunataka story tu awe mtu mzima awe kaishi la saba shauri yake
Mbona tunakesha kuangalia ma series ya uongo kabisa unajua kabisa hii haiwezekani lakini tunatoa macho
 
Mzee baba, hatupo bungeni kulumbana lumbana. Kama akili zako zina charge vizuri, ukisoma kipengele alichoandika The Dreamer hapo chini kuuliza maswala ya recruitment, halafu ukafanya comparison na jinsi anavyoandika na kuwaaminisha watu humu kwenye hii story.

Majibu utakuwa nayo.

Punguza mchecheto hii story bado haijaisha.
Maybe baada ya kupona shemeji alimrudisha shuleni.
Tusubiri mwendelezo.
 
Mzee baba, hatupo bungeni kulumbana lumbana. Kama akili zako zina charge vizuri, ukisoma kipengele alichoandika The Dreamer hapo chini kuuliza maswala ya recruitment, halafu ukafanya comparison na jinsi anavyoandika na kuwaaminisha watu humu kwenye hii story.

Majibu utakuwa nayo.

Huko umeenda mbali sana, hata huu mwandiko na mpangilio wa tory sio wa darasa lasaba.

By the way kwenye story hakuna sehemu aliosema kaishia lasaba. Usimjaji mtu mapema hivo, tulia soma story bila kiswaswadu.

Mwisho tutajua kama ni chai au real.
 
Hata hvyo najitahidi maana simu yenyewe ya wife ,mtoto alidondosha simu kutoka kitandani mpk uvunguni ikavunjika binafsi natumia kitochi kwa ss kwa hiyo naweza nikaandika ghafla wife huyo utasikia naomba simu mara moja hapo inabdi nikatishe story si unajua wanawake boss.
Tuko tayari kukununulia simu taja namba yako hapa tukitumie pesa ya simu

Sent from my Nokia 2 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa anacheza na akili zenu, kwanza sio mzee, pili sio mjinga kama anavyo wahadithia kwamba hakumaliza darasa la saba, tatu hata jinsi anavyoandika anajikosesha makusudi kwenye baadhi ya maneno.

Hebu muangalie hapa akiwa anachangia mada kwa kutumia akili zake timamu bila kujifanya kichaa, halafu fananisha na anavyoandika kwenye huu uzi wake.View attachment 1736354
Fuatilia story bro maana ndio kwanza inaanza ,uenda maswali yako yote yakajibiwa kwenye episode zinazofuata
 
Sasa mbona huendelea na story, au ndio safari ya kutupeleka Telegram imeanza?
 
Endelea...
Walivyonifikisha Dar shemeji na dada hawakukawia walikaa siku mbili maandalizi yakafanyika nikapelekwa hospital ya binafsi maarufu kama Hindu Mandal ,siku hizi mmezoea kuiita Shree Hindu Mandal hospital maarufu sana kwa kipindi hicho katika jiji la Dar Es Salaam .

Endelea..

Sina kumbukumbu sahihi kwa kipindi hicho maana sasa hivi jiji limejengeka sana nasikia mpaka kuna barabara zinazopisha juu kwa juu,enzi hizo barabara nyingi zilikuwa vumbi hata kariakoo nyumba nyingi zilikuwa za udongo hakukuwa na maghorofa kama kipindi hiki lakini nafikiri hospital hii ilikuwa karibu na mtaa wa India kama unaenda shule ya Zanaki.

Mkuu naona kama una miksi sana mitaa ya Dar, jaribu kuliweka sawa hilo kadiri uandikavyo...

Pale juu umeandika habari za Keko Magurumbasi kuwa Kariakoo...

Baadaye tena umeandika miaka hiyo mji ulikuwa wafika hadi Mbagala, halafu Ubungo ilikuwa pori...(mmhhh!!)

Hapa tena naona waandika shule ya Zanaki kuwa mtaa wa India karibu na Hindu Mandal, wakati hii shule ipo Upanga na hospitali iliyo karibu ni ya Regency...

Kitu pekee cha karibu na hiyo shule kiitwacho Hindu Mandal ni zile flats za Kumbharwada ambazo zipo mtaa wa Olimpio ile barabara ambayo mbele inakutana na Bibi Titi Rd.
 
Mkuu naona kama una miksi sana mitaa ya Dar, jaribu kuliweka sawa hilo kadiri uandikavyo...

Pale juu umeandika habari za Keko Magurumbasi kuwa Kariakoo...

Baadaye tena umeandika miaka hiyo mji ulikuwa wafika hadi Mbagala, halafu Ubungo ilikuwa pori...(mmhhh!!)

Hapa tena naona waandika shule ya Zanaki kuwa mtaa wa India karibu na Hindu Mandal, wakati hii shule ipo Upanga na hospitali iliyo karibu ni ya Regency...

Kitu pekee cha karibu na hiyo shule kiitwacho Hindu Mandal ni zile flats za Kumbharwada ambazo zipo mtaa wa Olimpio ile barabara ambayo mbele inakutana na Bibi Titi Rd.
Magurumbasi kulikuwa na mtaa unaitwa kariakoo au kariakoo ndogo ni mtaa wa watu mafukara sana kulikuwaga na virabu vya pombe ya kienyeji vingi sana ndio maana paliitwa kariakoo kutokana na pilikapilika za hicho kitongoji.

Unaweza ukaulizia kwa wenyeji wa Dar km huo mtaa bado upo,maana ni miaka mingi sana.
 
Mkuu naona kama una miksi sana mitaa ya Dar, jaribu kuliweka sawa hilo kadiri uandikavyo...

Pale juu umeandika habari za Keko Magurumbasi kuwa Kariakoo...

Baadaye tena umeandika miaka hiyo mji ulikuwa wafika hadi Mbagala, halafu Ubungo ilikuwa pori...(mmhhh!!)

Hapa tena naona waandika shule ya Zanaki kuwa mtaa wa India karibu na Hindu Mandal, wakati hii shule ipo Upanga na hospitali iliyo karibu ni ya Regency...

Kitu pekee cha karibu na hiyo shule kiitwacho Hindu Mandal ni zile flats za Kumbharwada ambazo zipo mtaa wa Olimpio ile barabara ambayo mbele inakutana na Bibi Titi Rd.
Soma kwa umakini kupata utamu wa simulizi ,usisome kwa kutafuta makosa ya kiuandishi .Ni sawa na kumchunguza bata japo ni mtamu lakini ukimchunguza hautoweza kumla.
 
Soma kwa umakini kupata utamu wa simulizi ,usisome kwa kutafuta makosa ya kiuandishi .Ni sawa na kumchunguza bata japo ni mtamu lakini ukimchunguza hautoweza kumla.
Wewe endelea na stori yako mkuu...

Lakini sasa kwa wale wanaoifahamu Dar es Salaam miaka nenda rudi, hiyo mikanganyiko inakuwa inavuruga uhalisia...

Rekebisha hilo basi
 
Back
Top Bottom