usjali kaka. niliwahi kuongea hapa kwamba magreti thinkaz tupo wachache na wewe sasa umeingia kwenye list. wengi wao hawakukuelewa. dah! u r a genius mkuu
Kuna heshima za aina mbili ktk uhusiano
1/ Heshima unayoweza kumpa mtu ambaye ni mzazi wako, dada/kaka yako, au ndugu yako/jirani yako yeyote. Hao unakuwa nao ktk uhusiano wa UPENDO
2/ Heshima unayoweza kumpa mtu ambaye ni mwenzi wako. Huyo unakuwa nae KIMAPENZI, KIUPENDO, KIURAFIKI na uhusiano wowote ule ulio mwema
she is my lovely sister . . . . .
I love her
i love you my lovely sister nilham
i love you too my brother as u do may allah protect us inshallah..kula pop hizo nimekuletea kutoka huuko nimekula nikaona nikuekee na wewe nikuleteee nyumbani heheeheh..