Jinsi Ninavyopambana na Gharama za Usafi wa Nyumba na Mwili

Jinsi Ninavyopambana na Gharama za Usafi wa Nyumba na Mwili

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Leo nawaletea changamoto nyingine ninayokumbana nayo baada ya kuzungumzia gharama za maji ya kunywa na umeme. Safari hii ni kuhusu gharama za usafi wa nyumba na mwili:

a) Usafi wa Nyumba (Eneo la Maliwato)

Eneo la maliwato, ambalo lina choo na bafu, kwa Waingereza huitwa self-contained. Kwenye sehemu hii, natumia vifaa na bidhaa mbalimbali kama:
  • Sabuni za unga na maji,
  • Madawa ya kuua wadudu kama Jik na Dettol,
  • Sabuni zenye harufu nzuri, na
  • Pafyumu za hewa nzuri, za kupulizia na zile zisizohitaji kupulizwa.
Nyumbani kwetu tuna vyoo vya aina tatu:

1. Choo cha kukaa,
2. Choo cha kukojolea wanaume, na
3. Choo cha kukojolea wanawake.

Hii tumeweka ili kuzuia maambukizi kama UTI. Tunashirikiana na mke wangu kutumia choo cha kukaa pekee. Changamoto kubwa ni kwamba mimi nina passion ya usafi, hivyo kila siku nafanya usafi wa:
  • Choo,
  • Chumba cha kulala, na
  • Kitanda.
Baada ya kila saa mbili, husafisha sakafu ya maliwato kwa madawa na sabuni. Kila choo kikitumika (cha kike, cha kiume, au cha kukaa), nakisafisha tena kwa sabuni, madawa ya kuua wadudu, na kumalizia na sabuni zenye harufu nzuri. Baada ya hapo, napulizia pafyumu ya kuleta hewa safi.

Hii hali inagharimu sana. Watoto wangu hufadhaika na kuhoji matumizi makubwa ya sabuni na vifaa. Wanapokuja na wake au waume zao, huniuliza jinsi ninavyohakikisha usafi wa kiwango hiki. Ninawaeleza hatua kwa hatua huku mke wangu akicheka.

Pesa nyingi hutumika kwa bajeti ya vifaa hivi. Sipendi kabisa harufu mbaya, ndiyo maana nawekeza sana kwenye usafi wa eneo hili.

b) Usafi wa Mwili

Hapa, matumizi yangu ni makubwa pia. Ninatumia pesa kununua:
  • Vifaa vya kunyolea, sabuni yake, na aftershave,
  • Taulo za aina tatu (uso, mgongo na tumbo, na sehemu za siri),
  • Dawa ya mswaki na dawa za kusukutua mdomo.

Nina tabia ya kupiga mswaki mara tatu kwa siku na kusukutua pia mara tatu kwa siku. Kabla ya kutoka kwenda mjini, humuomba mke wangu aninuse mdomo ili kuhakikisha uko safi.

Huu ni ugonjwa wangu wa usafi ambao unanigharimu pesa nyingi sana. Watoto wangu huchukua jukumu la kununua vifaa hivyo kwa zamu huku wakicheka kuhusu tabia yangu ya usafi.

Ingawa usafi huu unanigharimu, najivunia kuwa na mazingira safi na mwili uliotunzwa. Ni changamoto inayohitaji bajeti kubwa, lakini inanipa utulivu wa akili na furaha ya maisha.
 
Leo nawaletea changamoto nyingine ninayokumbana nayo baada ya kuzungumzia gharama za maji ya kunywa na umeme. Safari hii ni kuhusu gharama za usafi wa nyumba na mwili:

a) Usafi wa Nyumba (Eneo la Maliwato)

Eneo la maliwato, ambalo lina choo na bafu, kwa Waingereza huitwa self-contained. Kwenye sehemu hii, natumia vifaa na bidhaa mbalimbali kama:
  • Sabuni za unga na maji,
  • Madawa ya kuua wadudu kama Jik na Dettol,
  • Sabuni zenye harufu nzuri, na
  • Pafyumu za hewa nzuri, za kupulizia na zile zisizohitaji kupulizwa.
Nyumbani kwetu tuna vyoo vya aina tatu:

1. Choo cha kukaa,
2. Choo cha kukojolea wanaume, na
3. Choo cha kukojolea wanawake.

Hii tumeweka ili kuzuia maambukizi kama UTI. Tunashirikiana na mke wangu kutumia choo cha kukaa pekee. Changamoto kubwa ni kwamba mimi nina passion ya usafi, hivyo kila siku nafanya usafi wa:
  • Choo,
  • Chumba cha kulala, na
  • Kitanda.
Baada ya kila saa mbili, husafisha sakafu ya maliwato kwa madawa na sabuni. Kila choo kikitumika (cha kike, cha kiume, au cha kukaa), nakisafisha tena kwa sabuni, madawa ya kuua wadudu, na kumalizia na sabuni zenye harufu nzuri. Baada ya hapo, napulizia pafyumu ya kuleta hewa safi.

Hii hali inagharimu sana. Watoto wangu hufadhaika na kuhoji matumizi makubwa ya sabuni na vifaa. Wanapokuja na wake au waume zao, huniuliza jinsi ninavyohakikisha usafi wa kiwango hiki. Ninawaeleza hatua kwa hatua huku mke wangu akicheka.

Pesa nyingi hutumika kwa bajeti ya vifaa hivi. Sipendi kabisa harufu mbaya, ndiyo maana nawekeza sana kwenye usafi wa eneo hili.

b) Usafi wa Mwili

Hapa, matumizi yangu ni makubwa pia. Ninatumia pesa kununua:
  • Vifaa vya kunyolea, sabuni yake, na aftershave,
  • Taulo za aina tatu (uso, mgongo na tumbo, na sehemu za siri),
  • Dawa ya mswaki na dawa za kusukutua mdomo.

Nina tabia ya kupiga mswaki mara tatu kwa siku na kusukutua pia mara tatu kwa siku. Kabla ya kutoka kwenda mjini, humuomba mke wangu aninuse mdomo ili kuhakikisha uko safi.

Huu ni ugonjwa wangu wa usafi ambao unanigharimu pesa nyingi sana. Watoto wangu huchukua jukumu la kununua vifaa hivyo kwa zamu huku wakicheka kuhusu tabia yangu ya usafi.

Ingawa usafi huu unanigharimu, najivunia kuwa na mazingira safi na mwili uliotunzwa. Ni changamoto inayohitaji bajeti kubwa, lakini inanipa utulivu wa akili na furaha ya maisha.
Amini nakuambia mkeo anavumilia tu ila inakera alafu samahani mzee ila hali yako ina ukaribu mkubwa sana na tatizo la kisaikolojia kuliko huo usafi unaoufisia,
Niliwahi fanya kazi na jamaa ana tabia kama hizo zako


Kwa kweli ni kero kubwa hebu fikiria kuna mtu anawahi kuamka na kufanya kazi zote za usafi kwa viwango tena ila yeye akiamka ataanza upyaa, atabadili shuka kila baada ya masaa matatu, atapiga deki kila nusu saa, akienda kuoga ni masaa manne,

Akimaliza hapo anasukutua mdomo na mouth wash lisaaa ni kwooo kwooo kwoooo ,

Akimaliza vyote anarudia kupitisha fagio tena na blah blah nyingi,

Nb, nilichokuja kugundua watu wa aina yenu kwanza mnapenda tu muonakane ni wasafi wakati ndani ya dhamira zenu hamko hivyo,

Pili kutokujiamini kuwa ni msafi,

Tatu ubinafsi, na hapa ndio mnakera wengi pale mnapoamini wengine woote hawawezi kusafisha sehemu vizuri kabisa zaidi yenu na uwe mkweli mkeo hili anakuchekea usoni tu ila unamboa ,

Usafi kweli ni muhimu sana ila kwa kiasi sio kama hivyo sasa
 
Leo nawaletea changamoto nyingine ninayokumbana nayo baada ya kuzungumzia gharama za maji ya kunywa na umeme. Safari hii ni kuhusu gharama za usafi wa nyumba na mwili:

a) Usafi wa Nyumba (Eneo la Maliwato)

Eneo la maliwato, ambalo lina choo na bafu, kwa Waingereza huitwa self-contained. Kwenye sehemu hii, natumia vifaa na bidhaa mbalimbali kama:
  • Sabuni za unga na maji,
  • Madawa ya kuua wadudu kama Jik na Dettol,
  • Sabuni zenye harufu nzuri, na
  • Pafyumu za hewa nzuri, za kupulizia na zile zisizohitaji kupulizwa.
Nyumbani kwetu tuna vyoo vya aina tatu:

1. Choo cha kukaa,
2. Choo cha kukojolea wanaume, na
3. Choo cha kukojolea wanawake.

Hii tumeweka ili kuzuia maambukizi kama UTI. Tunashirikiana na mke wangu kutumia choo cha kukaa pekee. Changamoto kubwa ni kwamba mimi nina passion ya usafi, hivyo kila siku nafanya usafi wa:
  • Choo,
  • Chumba cha kulala, na
  • Kitanda.
Baada ya kila saa mbili, husafisha sakafu ya maliwato kwa madawa na sabuni. Kila choo kikitumika (cha kike, cha kiume, au cha kukaa), nakisafisha tena kwa sabuni, madawa ya kuua wadudu, na kumalizia na sabuni zenye harufu nzuri. Baada ya hapo, napulizia pafyumu ya kuleta hewa safi.

Hii hali inagharimu sana. Watoto wangu hufadhaika na kuhoji matumizi makubwa ya sabuni na vifaa. Wanapokuja na wake au waume zao, huniuliza jinsi ninavyohakikisha usafi wa kiwango hiki. Ninawaeleza hatua kwa hatua huku mke wangu akicheka.

Pesa nyingi hutumika kwa bajeti ya vifaa hivi. Sipendi kabisa harufu mbaya, ndiyo maana nawekeza sana kwenye usafi wa eneo hili.

b) Usafi wa Mwili

Hapa, matumizi yangu ni makubwa pia. Ninatumia pesa kununua:
  • Vifaa vya kunyolea, sabuni yake, na aftershave,
  • Taulo za aina tatu (uso, mgongo na tumbo, na sehemu za siri),
  • Dawa ya mswaki na dawa za kusukutua mdomo.

Nina tabia ya kupiga mswaki mara tatu kwa siku na kusukutua pia mara tatu kwa siku. Kabla ya kutoka kwenda mjini, humuomba mke wangu aninuse mdomo ili kuhakikisha uko safi.

Huu ni ugonjwa wangu wa usafi ambao unanigharimu pesa nyingi sana. Watoto wangu huchukua jukumu la kununua vifaa hivyo kwa zamu huku wakicheka kuhusu tabia yangu ya usafi.

Ingawa usafi huu unanigharimu, najivunia kuwa na mazingira safi na mwili uliotunzwa. Ni changamoto inayohitaji bajeti kubwa, lakini inanipa utulivu wa akili na furaha ya maisha.
Kwa kazi hizo utapata muda wakutembeza fimbo ya ukwaji kweli!

Au fimbo imeshavunjika?
 
Amini nakuambia mkeo anavumilia tu ila inakera alafu samahani mzee ila hali yako ina ukaribu mkubwa sana na tatizo la kisaikolojia kuliko huo usafi unaoufisia,
Niliwahi fanya kazi na jamaa ana tabia kama hizo zako


Kwa kweli ni kero kubwa hebu fikiria kuna mtu anawahi kuamka na kufanya kazi zote za usafi kwa viwango tena ila yeye akiamka ataanza upyaa, atabadili shuka kila baada ya masaa matatu, atapiga deki kila nusu saa, akienda kuoga ni masaa manne,

Akimaliza hapo anasukutua mdomo na mouth wash lisaaa ni kwooo kwooo kwoooo ,

Akimaliza vyote anarudia kupitisha fagio tena na blah blah nyingi,

Nb, nilichokuja kugundua watu wa aina yenu kwanza mnapenda tu muonakane ni wasafi wakati ndani ya dhamira zenu hamko hivyo,

Pili kutokujiamini kuwa ni msafi,

Tatu ubinafsi, na hapa ndio mnakera wengi pale mnapoamini wengine woote hawawezi kusafisha sehemu vizuri kabisa zaidi yenu na uwe mkweli mkeo hili anakuchekea usoni tu ila unamboa ,

Usafi kweli ni muhimu sana ila kwa kiasi sio kama hivyo sasa
Ngoja nikwambie,mke wangu kwanza bado ni mtumishi,na pia toka namtongoza dei one tumelala nae alinikuta hivyo wakati huo ni na miaka 28 hadi hivi sasa niko hivyohivyo,hivyo ananijua,anaenjoy,anafurahi na ananijivunia sana,na still anajifunza vitu vingi kutoka kwangu.Shida kubwa iko kwako kwa kudhania,hiyo dunia ya dhahania,inakusumbua wewe,kwakuwa kwa akili yako unadhani hivyo vitu havifanyiki,pole,acha kuhisi hii ndoa ina miaka 40,isingedumu kiasi hicho kama angekuwa anaboreka,maana yeye pia ni msomi
 
Back
Top Bottom