Ya kale dhahabu
JF-Expert Member
- Oct 25, 2023
- 317
- 495
Sawa, hongera pia kwa kuzingatia usafiNavijua,ama nahisi sijaeleza vizuri maana hivikata vile vinavyozidi urefu wa pua na kutokeza nje,hiyo ndio maana yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, hongera pia kwa kuzingatia usafiNavijua,ama nahisi sijaeleza vizuri maana hivikata vile vinavyozidi urefu wa pua na kutokeza nje,hiyo ndio maana yangu
Shukrani sanaSawa, hongera pia kwa kuzingatia usafi
ShukraniHahah aisee sijawahi kuwa busy na maisha kiasi hiko.
Hongera mzee wetu mstaafu maisha ni kuchagua na wewe umechagua fungu lako uliloliona jema.
shem letu litazimia..🤣Nimeipenda hiyo staili ya kumwomba mkeo akunuse mdomo kabla ya kwenda mjini.
Nitai apply.
saa mbili husafisha sakafu ya maliwato kwa madawa na sabuni.
Nina tabia ya kupiga mswaki mara tatu kwa siku na kusukutua pia mara tatu kwa siku. Kabla ya kutoka kwenda mjini, humuomba mke wangu aninuse mdomo ili kuhakikisha uko safi.

Natumia dedorant za kupulizia aina 2,ambazo ni old spice na brut,pia natumia roll on zake,pafyumu nayotumia ni one man,ambavyo sio ghali sana show,japo mara nyingi natumiwa na wanangu ambao wanaishi nje ya nchi.Kuhusu mavazi nikiwa nyumbani navaa tshirts na kaptura au track suit tu,ambazo hutumia uzi kutaitibkiunoni,sivainkabisa nguo zinazotumia mkanda,na viatu ni sandals,napotoka kwenda maybe pub,pia navaa kaptura na suruali ambazo zina tumia mkanda,tshirts na rana na soksi fupi,napoenda kufundisha au kwa mtoko maalumu navaa suruali,mashati ya mikono mifupi au mirefu,suruali ama zq cadets au za vitambaa ambazo ni specials,na viatu vya ngozi,hivyo vitu vyote ama huvinunua napokuwa safari nje ya nchi kutembelea wayoto ama wao wananitumia,suti pia navaa sana na zipo nazisonesha hapa mwanza au dar na mara nyingi huwa namfuatilia sana yule jamaa kwenye tiktok rhodes ndie role model wangu kwenye kuvaaHongera sana. Hivyo viwango vya usafi ni vya hali ya juu. Kuna maarifa nimeongeza hapa.
Je, unaweza kutudokeza kuhusu uvaaji wako, mafuta unayojipaka na manukato unayojipulizia?
Asante sana kwa ushirikiano wako. Sisi wastaafu watarajiwa tunajifunza mengi kutoka kwenu mliotutangulia.Natumia dedorant za kupulizia aina 2,ambazo ni old spice na brut,pia natumia roll on zake,pafyumu nayotumia ni one man,ambavyo sio ghali sana show,japo mara nyingi natumiwa na wanangu ambao wanaishi nje ya nchi.Kuhusu mavazi nikiwa nyumbani navaa tshirts na kaptura au track suit tu,ambazo hutumia uzi kutaitibkiunoni,sivainkabisa nguo zinazotumia mkanda,na viatu ni sandals,napotoka kwenda maybe pub,pia navaa kaptura na suruali ambazo zina tumia mkanda,tshirts na rana na soksi fupi,napoenda kufundisha au kwa mtoko maalumu navaa suruali,mashati ya mikono mifupi au mirefu,suruali ama zq cadets au za vitambaa ambazo ni specials,na viatu vya ngozi,hivyo vitu vyote ama huvinunua napokuwa safari nje ya nchi kutembelea wayoto ama wao wananitumia,suti pia navaa sana na zipo nazisonesha hapa mwanza au dar na mara nyingi huwa namfuatilia sana yule jamaa kwenye tiktok rhodes ndie role model wangu kwenye kuvaa
asanteNywele za pua na masikio zina kazi maalum.
Nywele za pua ni kusafisha hewa unayovuta
Nywele masikio ni kunasa vumbi na wadudu watakao ingia masikioni
Kamasi na Nta za masikio vyote vipo kwa ajili ya kazi maalum uvitoe kwa kiasi
Domo langu linanukia marashi ya karafuu.shem letu litazimia..🤣
sawaDomo langu linanukia marashi ya karafuu.
Hapana choo changu ni cha kukaa na wala sio cha fahari sana ni bei ambayo mtu yoyote anamudiTumekujua ila uho ni ufahari wa jf ila tukija haoo choo ni cha kulenga
unajua rafiki,mimi ni zao la tamaduni mbili,mama yangu ambae ni marehemu alikuwa mtanzania ila baba ambae nae ni marehemu alitokea nchi moja ya ulaya magharibu,sasa tamaduni zote mbili mimi ziliniathiri,na usafi nimerithi kwa mama ingawa attention to details on any matter,nimerithi kwa babaAsante sana kwa ushirikiano wako. Sisi wastaafu watarajiwa tunajifunza mengi kutoka kwenu mliotutangulia.
Bwana fimbo Mimi nina kuamini Wala usiniweke kwenye kundi la wasiokuamini.Wana bodi najua wengine mnafanya mzaha,wengine hamuelewi mnaandika nini,lakini ukweli ni kwamba huo ndio uhalisia wangu,na nina furaha jinsi nilivyo,na wmotional intelligence yangu ni kubwa sana naweza kuhimili,matusi,kejeli,karaha na vituko vya kila aina
shukranBwana fimbo Mimi nina kuamini Wala usiniweke kwenye kundi la wasiokuamini.
dua la kuku,au tamaa ya fisi akiusubiri mkono wa binadamu,subiri sana ukichoka nenda ukajambe mbele ya safariMstaafu limbukeni ngoja yaishe hayo maokoto utaacha kuleta thread zisizo na kichwa wala miguu..
Thanksshukran