wanachonifurahisha watu wa SUA, akifundisha hata panya tu, tayari profesa. hao wote ukichunguza uprof wao, utavunjika mbavu. nina jamaa yangu mmoja alisoma pale, akawa mganga wa kuku...hahaha, amesomea kozi nyingine sasaivi yupo kwenye kushauri watu wa ukimwi...akili zao ndogo mno.
wameshindwa kusaidia tz na kilimo kwanza, hatuna vitabu vingi vya kiswahili vinavyoweza kuandikwa hata na mwanafunzi wa mwaka wa mwisho tu mfano: jinsi ya kufuga kuku, jinsi ya kufuga nguruwe, jinsi ya kufuga ng'ombe etc, jinsi ya kulima mahindi, mpunga, migomba, miwa etc....wavisambaze kwa watu ordinary huko mtaani, sio lazima viende kwa wasomi wa chuoni hapo tu au kwenye shule zinazofundisha agriculture tu.....mambumbumbu yanang'ang'ania kuuza madawa ya kilimo tu. hayagundui dawa hata moja, hayagundui mbegu bora hata moja,
mbona kenya wenzetu wanagundua mbegu bora ya wanyama na mimea sana? chuo cha SUA kina faida gani hapa tz? mtanai kumejaa mbegu feki, wananchi wengi hawatumii mbegu bora kwasababu hazipo, livestock ni mbegu mbaya ya kizamani iliyodumaaa....