Jinsi panya wanavyofundishwa kugundua mabomu SUA Morogoro kitengo cha APOPO

Jinsi panya wanavyofundishwa kugundua mabomu SUA Morogoro kitengo cha APOPO

SUA zinaenda kusoma takataka zilizokosa nafasi UDSM na mzumbe

Hizo takataka ndio zifanye research za maana hivyo I can't imagine , pia rank ya sua Tanzania na Afrika ikoje

Pumbaaf , nyie BRN Akili zenu zina makamasi
 
Nawapongeza sana watafiti wetu.serikali iwekeze zaidi ktk utafiti. Si kumpa chenge wa vijisenti.
 
SUA zinaenda kusoma takataka zilizokosa nafasi UDSM na mzumbe
acha uzembe wa kufikiria, kwa taarifa fahamu kama hujui-miaka ile ya tisini (sijui weweulikuwa na umri gani), wanafunzi walio disco pale SUA, walienda wakajiunga na UDSM waka perform vizuri huko, SUA yaliwashinda... wengine ni my classmates. Siwezi wataja hapa.

Sasa jiulize kama SUA wanakwenda walio feli inakuwaje, hao hao wakajiunga na UDSM wakati failures. Inaonesha ww bado ni mtoto haujakua kiakili. Namshukuru Mungu nilipata nafasi ya kusoma na kumaliza salama pale SUA, waliosoma pale, wanajua nini maana ya kusoma Sokoine University of Agriculture. Enzi hizo pale kulikuwa hakuna warembo.......chezea sayansi wwweeeee!!!!!!! si ajabu hata wewe ilikukimbiza, natania tu!!!! ila kama limekupata pole
 
Hyo mm niliipata tangu mwaka 2006,, pale sua.
 
acha uzembe wa kufikiria, kwa taarifa fahamu kama hujui-miaka ile ya tisini (sijui weweulikuwa na umri gani), wanafunzi walio disco pale SUA, walienda wakajiunga na UDSM waka perform vizuri huko, SUA yaliwashinda... wengine ni my classmates. Siwezi wataja hapa.

Sasa jiulize kama SUA wanakwenda walio feli inakuwaje, hao hao wakajiunga na UDSM wakati failures. Inaonesha ww bado ni mtoto haujakua kiakili. Namshukuru Mungu nilipata nafasi ya kusoma na kumaliza salama pale SUA, waliosoma pale, wanajua nini maana ya kusoma Sokoine University of Agriculture. Enzi hizo pale kulikuwa hakuna warembo.......chezea sayansi wwweeeee!!!!!!! si ajabu hata wewe ilikukimbiza, natania tu!!!! ila kama limekupata pole

achana na punguan huyo, anaisifia UDSM wakat ndio chuo kinachoongoza kwa utoa mambumbu, mtu anamaliza UDSM lakn hata kuandika barua ya application anashindwa. Ww kalagabaho tatzo ubongo wako umesinyaa ndio maana huwez kufikir mbele zaidi
 
Last edited by a moderator:
acha uzembe wa kufikiria, kwa taarifa fahamu kama hujui-miaka ile ya tisini (sijui weweulikuwa na umri gani), wanafunzi walio disco pale SUA, walienda wakajiunga na UDSM waka perform vizuri huko, SUA yaliwashinda... wengine ni my classmates. Siwezi wataja hapa.

Sasa jiulize kama SUA wanakwenda walio feli inakuwaje, hao hao wakajiunga na UDSM wakati failures. Inaonesha ww bado ni mtoto haujakua kiakili. Namshukuru Mungu nilipata nafasi ya kusoma na kumaliza salama pale SUA, waliosoma pale, wanajua nini maana ya kusoma Sokoine University of Agriculture. Enzi hizo pale kulikuwa hakuna warembo.......chezea sayansi wwweeeee!!!!!!! si ajabu hata wewe ilikukimbiza, natania tu!!!! ila kama limekupata pole
uongo uliokamilika
 
achana na punguan huyo, anaisifia UDSM wakat ndio chuo kinachoongoza kwa utoa mambumbu, mtu anamaliza UDSM lakn hata kuandika barua ya application anashindwa. Ww kalagabaho tatzo ubongo wako umesinyaa ndio maana huwez kufikir mbele zaidi

kuipambanisha SUA na UDSM ni sawa na kumpambanisha 50 cent na Daz baba
Achen Udsm ipambanishwe na vyuo kama OXFORD na CAMBRIDGE
Kukipambanisha na SUA ni kukikosea heshima chuo hiki kitukufu
 
Last edited by a moderator:
acha uzembe wa kufikiria, kwa taarifa fahamu kama hujui-miaka ile ya tisini (sijui weweulikuwa na umri gani), wanafunzi walio disco pale SUA, walienda wakajiunga na UDSM waka perform vizuri huko, SUA yaliwashinda... wengine ni my classmates. Siwezi wataja hapa.

Sasa jiulize kama SUA wanakwenda walio feli inakuwaje, hao hao wakajiunga na UDSM wakati failures. Inaonesha ww bado ni mtoto haujakua kiakili. Namshukuru Mungu nilipata nafasi ya kusoma na kumaliza salama pale SUA, waliosoma pale, wanajua nini maana ya kusoma Sokoine University of Agriculture. Enzi hizo pale kulikuwa hakuna warembo.......chezea sayansi wwweeeee!!!!!!! si ajabu hata wewe ilikukimbiza, natania tu!!!! ila kama limekupata pole

Ha ha ha umesema ukweli. Enzi ya mama Pereka na kambarage..kulikuwa hakuna warembo. Hata wavaa vimini hawakuwepo.
Ha ha ha ha.
 
uongo uliokamilika
Ningetaja majina ya watu hapa ambao wali disco SUA wakajiunga na UDSM, na wakaosha huko. Na kwa sasa wengine i big fish in the country. Kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa na below ya kufikiri ndiyo maana unasema huu ni uongo. Wenye above wanajua nimeandika nini, wewe una below usibinshane na mimi mwenye above ya kufikiri na kuona
 
kuipambanisha SUA na UDSM ni sawa na kumpambanisha 50 cent na Daz baba
Achen Udsm ipambanishwe na vyuo kama OXFORD na CAMBRIDGE
Kukipambanisha na SUA ni kukikosea heshima chuo hiki kitukufu

Umeilewa mada au unaandika tu usichokijua
Tunahitaji research zilizofanyika zenye manufaa kwa taifa na dunia ,haya SUA wamefanya tueleweshe na ya UDSM sio kuleta ngonjera hapa
 
kuipambanisha SUA na UDSM ni sawa na kumpambanisha 50 cent na Daz baba
Achen Udsm ipambanishwe na vyuo kama OXFORD na CAMBRIDGE
Kukipambanisha na SUA ni kukikosea heshima chuo hiki kitukufu
Nimesoma SUA, shule ya pale wewe huiwezi. UDSM kina umri mkubwa sio material makubwa, na shule ya pale ni laini, usiniulize nimejuaje. Najua kwa sababu nilitaka kujua, nikajua kuwa iko hivyo. Hivyo ulivyovitaja shule yao sio ngumu ila vina umri mkubwa. Hujiulizi kwanini MST, ambacho siyo kikongwe lakini ndiyo kinashika namba moja kila mwaka duniani.... nenda kasome higher degree pale SUA tuone kama utatoka salama!!!! chezea SUA weweeeee!!!!!

inawezekana hata wewe, ni mwoga wa masomo ya Sayansi.
 
acha uzembe wa kufikiria, kwa taarifa fahamu kama hujui-miaka ile ya tisini (sijui weweulikuwa na umri gani), wanafunzi walio disco pale SUA, walienda wakajiunga na UDSM waka perform vizuri huko, SUA yaliwashinda... wengine ni my classmates. Siwezi wataja hapa.

Sasa jiulize kama SUA wanakwenda walio feli inakuwaje, hao hao wakajiunga na UDSM wakati failures. Inaonesha ww bado ni mtoto haujakua kiakili. Namshukuru Mungu nilipata nafasi ya kusoma na kumaliza salama pale SUA, waliosoma pale, wanajua nini maana ya kusoma Sokoine University of Agriculture. Enzi hizo pale kulikuwa hakuna warembo.......chezea sayansi wwweeeee!!!!!!! si ajabu hata wewe ilikukimbiza, natania tu!!!! ila kama limekupata pole

Unapozungumzia chuo kikuu hapa Tanzania unazungumzia chuo kikuu cha dsm. Na unapotaja university jua unazungumzia UDSM. Any way wee endelea kujifariji na panya wako.
 
Unapozungumzia chuo kikuu hapa Tanzania unazungumzia chuo kikuu cha dsm. Na unapotaja university jua unazungumzia UDSM. Any way wee endelea kujifariji na panya wako.

Nina wasiwasi na Elimu yako
 
Back
Top Bottom