Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikagundua kuwa panya anaweza kutumika kwa mambo mabaya na mazuri Nimeanza kuwafundisha panya kuzijua noti na kuzibeba yaani kuhamisha kutoka sehemu moja kwenda nyingine, kuzitafuta zilipo ikiwa ni ndani na kuzileta nje.
Zoezi ni gumu lakini naendelea vizuri nitaleta mrejesho nikifikia mwisho hivyo naomba ushauri zaidi kwa wataalamu wa kufundisha wanyama.
sidhani wabuni vitu vingine kama kugundua madawa ya kulevyahivi dunia ya sasa bado kuna mabomu ya kupanda ardhin?
kwanini yakose..?hivi dunia ya sasa bado kuna mabomu ya kupanda ardhin?