Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Wengi hawajui kwamba Puma na Adidas ni ndugu yaani ni brainchild ya mtu na kaka yake ambao waligombana na mpaka wanafariki walikuwa na chuki kubwa baina yao hata hawakuzikana, hio ni story ndefu na ya siku nyingine ila kuweza kuipata unaweza ukatafuta kuhusu The Dassler brothers yaani Adolf ("Adi") and Rudolf ("Rudi") Dassler..
Sasa hawa walikuwa na Kampuni ya Viatu na walikuwa na business model ya kusign mastar (Mfano Jesse Owens kwenye Olympic ya Ujerumani); baada ya kugombana kila mmoja akaunda Kampuni yake Adidas (Adi) na Puma (Rudolf) sasa hawa jamaa mpaka wanazeeka walikuwa bado wanajaribu kuharibiana na kuhakikisha kila mmoja anamzidi mwenzake, ugomvi huu ulifikia hadi kwa watoto wao ambao walikuja kuwa ndio wasimamizi wa Kampuni husika..,
Kipindi cha WordCup ya 1970; hawa watoto wa hao makaka wasiopendana walifahamu kabisa kwamba hakuna Star zaidi ya Pele na kila mmoja akitaka kumpa mkataba avae kiatu chake wangepandishiana dau na mpaka wote kufirisika, Hivyo wakaingia Gentleman agreement (PELE PACT) kwamba hakuna wa kumsign Pele.., yaani yoyote ni sawa ila sio Pele...
Sasa ilikuwa ni jambo la kushangaza na kushitua baada ya World Cup kuanza wadau wa Adidas kuona Pele amevaa Puma..., na sio kuvaa tu bali alifanya trick ya kujifanya anafunga kamba ya Kiatu hivyo TV zote majumbani kwa wote wenye TV kwa kipindi hicho waliweza kuona PUMA.....
View: https://youtu.be/ZpYlGhsAXLE?si=4uxtBfLAtmLHmG8i
Sasa hawa walikuwa na Kampuni ya Viatu na walikuwa na business model ya kusign mastar (Mfano Jesse Owens kwenye Olympic ya Ujerumani); baada ya kugombana kila mmoja akaunda Kampuni yake Adidas (Adi) na Puma (Rudolf) sasa hawa jamaa mpaka wanazeeka walikuwa bado wanajaribu kuharibiana na kuhakikisha kila mmoja anamzidi mwenzake, ugomvi huu ulifikia hadi kwa watoto wao ambao walikuja kuwa ndio wasimamizi wa Kampuni husika..,
Kipindi cha WordCup ya 1970; hawa watoto wa hao makaka wasiopendana walifahamu kabisa kwamba hakuna Star zaidi ya Pele na kila mmoja akitaka kumpa mkataba avae kiatu chake wangepandishiana dau na mpaka wote kufirisika, Hivyo wakaingia Gentleman agreement (PELE PACT) kwamba hakuna wa kumsign Pele.., yaani yoyote ni sawa ila sio Pele...
Sasa ilikuwa ni jambo la kushangaza na kushitua baada ya World Cup kuanza wadau wa Adidas kuona Pele amevaa Puma..., na sio kuvaa tu bali alifanya trick ya kujifanya anafunga kamba ya Kiatu hivyo TV zote majumbani kwa wote wenye TV kwa kipindi hicho waliweza kuona PUMA.....
View: https://youtu.be/ZpYlGhsAXLE?si=4uxtBfLAtmLHmG8i